Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Leo limetoka tangazo la kuwataka kurudi chuoni wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) college of Informatics and Vitual Education. Chuo hiki kilifungwa tar 28.04.2011 baada ya maandamano ya siku...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni mara nyingine tena wanafunzi wa SUA tukiwa tunaanza tena mitihani ya mwisho wa mwaka mimi kama mmojawapo nawatakia mtihani mwema na pia Mungu aweze kutujalia afya njema katika hiki kipindi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Graduate yupi bora kati ya huyu wa Mzumbe alienda field miezi 3,na huyu wa UDSM alienda field mwezi 1 na nusu,.,naomba msinishambulie mimi bali mshambulie thread,nawasilisha.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna mtafaruku mkubwa ndani ya Chuo cha elimu ya biashara kampasi ya Dodoma. Mwaka 2009 kuna baadhi ya wanafunz waliokuwa mwaka wa pili (Advanced diploma) ktk matokeo yao ya semister ya nne...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Makerere University is tenth best in Africa - In2EastAfrica 3 Feb 2011 … The top nine universities are in south Africa, with the University of Cape Town at number one. … in2eastafrica.net >...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
As great thinkers naomba tujadili ubora wa hiki chombo katika utekelezaji wake @kutoa taarifa kwa wadau kuhusu maombi na ugawaji wa mikopo @timeliness katika kutoa mikopo wakati inapotakiwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HI ndugu zangu wa jamiiforum, kwanza kabisa namshukuru mwenyezi mungu kwa kunikutanisha nanyi kwani inaaminika kuwa jamiiforum ni mtandao uliojaa wasomi na watu wenye upeo mkubwa wa kufikili, kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, tafAdhali naomba kujua the best tanzanian boys secondaryschool.yaani best kwa academic,morals na iwe religious (christian).natanguliza shukrani
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau, habari zenu. Jamani kati ya hizo hapo option za MBA, ipi ipo hot mtu akiamua kuopt? Natakiwa kuchagua among those option. Sina Background ya chochote kati ya hicho, ila nafanya MBA, na...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
wanafunzi wa elimu ya juu walitoa madai ya msingi ya kuongezwa kwa hela ya chakula na malazi (boom) kutoka sh5000 mpaka sh 10000. serikali imetoa sh 7500 hela hii bado haitoshi ukizingatia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wandugu kuna habari ambazo s njema kwa waliojiandikisha kufanya mitihan ya board ya ugavi NBMM!ni hivi:mwanafunzi haruhusiw kufanya mitihani zaidi ya minne kwa wakati mmoja!hii ina maana kwamba...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
rafiki yangu anataka kununua ford escape xlt,2002. Wakuu nisaidieni data zake hasa utumiaji wa mafuta, spares n.k nawakilisha
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wanawake walio wengi nchini hali yao kiuchumi ni mbaya ukilinganisha na mchango wao katika jamii, hali hii imechangia wanawake wachache kufikia nafasi za juu kabisa katika taaluma,siasa, na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sunday, 17th July, 2011 Print article President Museveni hands over a potrait of former Tanzania President Mwalumu Julius Nyerere. The picture was...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi,Wadau naomba mnisaidie. Natafuta scholarship kwa ajili ya masters ili kusoma hapa nyumbani kwa mwaka huu 2011/2012. Kila mwaka Utumishi huwa wanatoa Belgium scholarship kwa wanafunzi wa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kila kukicha watu wanaibuka na mpya. Fungua picha ucheke kidogo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanafunzi wengi wanafuja posho wanazolipwa Imeandikwa na Mwalimu Stanislaus Kigosi; Tarehe: 14th July 2011 @ 23:20 Imesomwa na watu: 136; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndg,naomba utaratibu ninaoweza kuufanya,kulalamikia lecturer ambaye amenicarrisha,kwa kukataa kusahihisha asignment paper yangu,na hataki kuirudisha.mtihani unafanyika alhamisi.naweza kufanya nn...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie wanaJF kuweza kuandaa hii soln ya (1) 3M NaOH in 500ml, (2) 0.5% Tween-20 from 1%Tween-20 Thanx
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nitashukuru sana kama mtaitembelea hiyo tovuti (Philip Emeagwali - A Father of the Internet - Pioneer of the Supercomputer - Biography) kila wakati na pia naomba muisambaze kwa vijana wetu na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom