Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wadau sio wanafuzi wengi wana access na Internet na baadhi yao hasa wa sekondary hawana taarifa uwa internet inaweza kuwa chanzo cha elimu . Unakuta mwanafuzi ana strugle na physics au hesabu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
shule za private wanafaulu sana kuliko shule za serikari?wakati vifaa,walimu na vatabu wanavyotumia ni vya haina moja?
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Jamani tulipokuwa chuo tulikuwa tight hata mtaani pia?show yourselves up guys
0 Reactions
16 Replies
2K Views
hi to everyone! Jamani ivi wapi ntapata chuo kizuri kwa kujifunza driving here in DAR. na pamoja na kupata driving license class E or D,it will cost how much and it will take how long. thnx.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Et ma-TCU inasemekana wanatoa matokeo ya selekshen ya chuo ni 8th sep.!duh.....wanatuweka home mwaka mzima!
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Science Says He's A Relative. God Says He's Not! The Truth About Evolution Or; Don't Let Satan Make A Monkey Out of You! Proof That Evolution is a Hoax!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani nahitaji kufanya mtihani wa kidato cha sita mwakani mwezi wa pili.Je bado sijachelewa?Hakuna namna ninayoweza kutumia ili niweze kufanya mtihani mwakani,?Nilikwama kupata fedha ya malipo ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana JF? Kuna hii course ilikuwa inaitwa General Certificate in Engineering (GCE), ilikuwa inatolewa DIT!!! Ilikuwa sifa za kuiingia hii course ni kwa yeyote aliyemaliza darasa la saba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana JF naomba mtu yeyote anayejua jinsi ya kujiunga na actuarial society ya Uingereza anijuvye pia aniambie ada huwa ni pound ngapi? Pia na web ambayo itanisaidia kupata notisi nzuri kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani mi nina maswali matatu tu;Hivi mtu aliyemea statistics mfano B.A in Statistics anaweza kufanya kazi zipi? Swali la 2;Kipi ni bora aidha kusoma B.A in Statistics au B.A in Statistics and...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
The Dekeyser & Friends Foundation invites applications by young people from different countries, cultures and social strata to attend the Engage in Conservation Project. The project will be...
1 Reactions
0 Replies
892 Views
Serikal kufukuza wanafunzi Udom ni suluhisho la kumaliza migomo? Chakusikitisha wazir waelimu alitangaza wanapewa field, kesho yake wakafukuzwa, Huu ni usanii ndani ya elimu au ni nini?.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tuliopita Lugalo Sec School Iringa Tujikumbushe hapa Hapa ndipo tulipokua tunaimba ule wimbo wa shule na mwishoni tunamalizia "Hakuna haki bila wajibu". Shule hii ilikua na Wing A na B. Wanafunzi...
0 Reactions
14 Replies
12K Views
Siku zinapita na miaka inaenda,iwapo kuna member toka Shinyanga Commercial Institute humu ndani 2kumbukane jamani. safari za 'USHI',mambo ya 'mlingoti'.... Nasikia imekuwa ni chuo cha ualimu...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Hiv kubadibadili mitaala ya elimu bila kutoa vitabu vya kufundishia ni haki?.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ni kweli chanzo cha kushuka kwa elimu ni lugha kwasababu lugha inayotumika kufundishia mashuleni ni lugha ngeni.Inatakiwa kiswahili kipewe kipaumbele zaidi kuliko linavyofanywa kama somo shuleni.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Picha ya Mwanafunzi HATI YA KIAPO YA MWANAFUNZI Mimi, ……………………………….,Muislamu/Mkristo/Mpagani, nikiwa na akili zangu timamu na bila kushurutishwa, NAAPA NA KUTHIBITISHA kwamba; 1. Mimi ni...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Wakuu naomba mwenye information juu ya ongezeko ya pesa za bodi.napenda kufahamu iwapo ongezeko hili ni kwa ajili ya wanafunzi wa ndani ya nchi pekee au linaafect hata wale walio nje ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HABARI WANDUGU. Katika kusaka masomo ya masters, naona OUT imetulia, masters-MBA inaprogramme nzuri-marketable na wanatoa through 3 options; distance learning, evening mode-dsm only na...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Back
Top Bottom