Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Haya ndio maamuzi ya kisiasa dhidi ya chama kinachotawala nchi kwani maamuzi ya kitahalumu yamewekwa kando na kulinda maslai yao kwa kufunika kombe mwanaharahu apite. Wanafunzi wa udom kwa wale...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wakuu wa kinyanyiko mpooooo . Watoto wa mjare na kaaya mpooooooo . Salaamu zenu kutoka kwa mama kiungai na sogoi .halafu wakuu tulikuwa natu vifaidi vitoto vya zanaki na mara moja moja jangwani...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
TANZANIA imeanza kutekeleza mpango wa kuajiri maelfu ya walimu wa masomo ya Sayansi na Hisabati kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ikiwa ni njia ya kukabiliana na upungufu wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni miezi nane toka wanafunzi wa chuo cha St.Joseph wamalize mwaka wa nne lakini mpaka leo hawafanyiwa graduation kwa kisingizio kwamba wanamtaka waziri mkuu Pinda au Jk ndio awe mgeni rasmi na kwa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari, Wapendwa, ningependa nijiendeleze kielimu kwa kupata elimu kwa njia ya Online. Nini advantages and disadvanteges za kusoma online? Pia mwenye list ya vyuo ambavyo vinatoa huduma hiyo...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Ninahitaji kupata uzoefu wa utafiti ili nami nianze tafiti zangu mwenyewe kama mpo wazoefu nijulisheni nije kupata uzoefu nipo tayari kufanya kazi nanyi kwa kujitolea(volunteering). Please naomba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimemaliza Elimu yangu Pale CBE 2007 Graduation ilikuwa 2008 eti mpaka leo huu mwaka wa 3 vyeti havijatoka sababu vinachapishwa Uingereza sasa sijui tunaelekea wapi? Ndio hicho kinachofanya chuo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
it is free!!very free!! Get spotted by your employer! welcome to an open day seminar on oracle certification program scheduled to take place at MASENO UNIVERSITY-IAT CAMPUS on 1st July 2011 from...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Written by Shifa Mwesigye & Hussein Bogere Wednesday, 29 June 2011 20:51 In Kiryandong*o hospital’s morgue lay 18 tiny bodies – 15 on the floor and three on a concrete slab...
0 Reactions
1 Replies
941 Views
Hi everybody!! Nawakaribisha marafiki wote katika mtandao mpya na wa kisasa wa kijamii wa Kitanzania uitwao WasomiForum, WasomiForum inakupa uwezo wa kufanya discussion, private conversation na...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Ndugu zangu, natumia modem ya airtel na nimejiunga na data wiki kifungu cha 15000/. La kushangaza net iko very slow. Naomba msaada namna ya kurecover. Yaani natakiwa nisubiri kwa zaidi ya dakika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TAARIFA KWA WANAFUNZI WOTE WA MWAKA WA TATU CHUO CHA SANAA NA SAYANSI ZA JAMII; CHUO KIKUU CHA DODOMA WANAFUNZI WOTE WA MWAKA WA TATU CHUO CHA SANAA NA SAYANSI ZA JAMII WALIOSIMAMISHWA MASOMO...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Jaman leo nimejikuta nalikumbuka hili jina la kiingereza ambalo linatumiwa sana kwenye shule za msingi likimaanisha Mwalimu wa Zamu. Lilikuwa very common miaka hiyo sijui kwa sasa kama bado...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndu zangu, nimefuta data zangu toka kwenye computer tena kwenye recycle bin! Naweza kuzirudisha vip wakuu? Nahitaji msaada wenu wa nguvu kwangu
0 Reactions
6 Replies
2K Views
The Bill and Melinda Gates Foundation will continue to assist Tanzania in research in health and agriculture sectors.The Foundation co-chair, Mr Bill Gates, assured President Jakaya Kikwete of the...
0 Reactions
0 Replies
856 Views
http://youtu.be/VAzmC0uYKAY
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CHADEMA WASHINDA UCHAGUZI WA URAISI DUCE. KATIKA HALI ISIYO YA KAWAIDA, UCHAGUZI ULIOJAA HISIYA ZA KICHAMA CHA CHADEMA NA CCM,, ANAYE TUHUMIWA NI MGOMBEA KWA TIKETI YA CHADEMA KASHINDA USHINDI WA...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba mwalimu wa kunifundisha kubold heading hapa kwenye jukwaa letu la JF
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wandugu naomba kwa yeyote mwenye access ya free E-Resources kwa science & Technology anisaidie make nahitaji ku-access papers mbali mbali ambazo zitanisaidia kupata mawazo tofauti kutoka kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wadau wa JF currently kuna mchakato wa kozi ya pre-entry ya dipoloma kwa wanafunzi wa masomo ya sayansi na hisabati pamoja na kiingereza wenye ufaulu wa S na E. Na kwabahati mbaya wamekuja...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…