Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wanachuo wa chuo cha uhandisi udsm wametimuliwa leo saa sita mchana
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hey elites there is new site 4 u,which is special 4 discussion of different issues.the site is special 4 all universities and college students of tanzania.you can open this site on ur mobile 4n or...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pongezi ziwaendee wanamapinduzi na wanaharakati wote wa UDSM, kwa kazi nzuri mliyoifanya jana. Nnaamini siku zote haki hailetwi ulipo bali unaifwata huko huko iliko, mifano hai ni harakati za...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Sifuri hizi wenyewe ni JK, Lowassa Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 02 February 2011 Tuseme Ukweli VIONGOZI wakuu wa nchi wamefikia mahali sasa hawaambiliki. Ushauri wa kitaalam...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wale waliosoma lutengano High school mpo? siwasikii kabisa. hebu tujikumbushe kidogo jamani. Mnakumbuka ile milima ya kuelekea ushirika??????
0 Reactions
5 Replies
5K Views
CHAMA cha Wahandisi Washauri Tanzania (ACET), kimesema kuwa idadi ya wanawake wahandisi Tanzania ni ndogo ukilinganisha na nchi nyingine kwani mpaka sasa wahandisi waliopo ni wanne. Akizungumza...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Je, kamati za shule za Msingi na Bodi za shule za Sekondari zinajuwa wajibu wake katika usmamizi wa Taaluma na matumizi ya fedha za Ruzuku {MMEM na MMES} zitolewazo na serkali?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa kuangalia harakaharaka migomo ya wanafunzi Tumaini na SAUT inaweza kuwa na maana lakini tukiangalia gharama za uendeshaji sidhani kama kutoa ada ya milioni 2.5 ni kubwa namna hiyo kama hawa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wapendwa wana jukwaa la elimu,nina maswali mengi kuhusu chimbuko la binadamu,baadhi ya maswali hayo ni , -je,chimbuko la binadamu ni arusha ? -kufuatana na elimu ya biblia tumeumbwa kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
KITOVU CHA MAANDAMANO YA WANAFUNZI VYUO VIKUU HIKI Si tena habari ya kusimuliwa.Kila macho na masikio yanaona na kusikia yanayotokea.Karibu Vyuo vikuu vyote vimeshaandamana kulalama juu ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wimbi la migomo na maandamano sasa limetua Mbeya. Wanafunzi wa Chuo cha Teofilo Kisanji (TEKU) jioni hii wamegoma na kuandamana katika maeneo ya Chuo chao hali ilyowaklazimisha wazee wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nashangazwa na hii hali. Kwanini tusubiri matukio ndio yatuibulie mijadala juu ya mambo muhimu kama kiwango cha elimu. Je, kama matokeo ya mwaka huu yangekuwa wanafunzi wamepasi kwa asilimia 80...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Serikali yaunda tume ya vyuo vikuu • Itachunguza utata wa mikopo ya wanafunzi na Happiness Mtweve, Dodoma RAIS Jakaya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Twendako giza, Maoni VIONGOZI wakuu wa nchi wamefikia mahali sasa hawaambiliki. Ushauri wa kitaalam waliopewa juu ya uboreshaji elimu waliupuuza; wakakumbatia siasa ili wajisifu. Mzaha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Bodi ya mikopo kutinga kortini kwa kutowadai wakopaji Mtanzania Sunday, 06 February 2011 21:54 Daniel Mjema,Moshi WAKILI mashuhuri wa kujitegemea nchini, Albert Msando amesema anakamilisha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nataka kufanya Research ya Mabadiliko ya kila mara ya bei ya Korosho. Nisaidieni, Research topic/Tittle niiwekeje?!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
:sad: ujue kuna vichwa vibovu vingi kibongo bongo but vinazidiana ubovu. Suala la waziri wa elimu kwenda kukaa na wasomi wa chuo kikuu cha Dar halafu akashindwa kuongea nao jambo la maana kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Professor Michael Sandel presents a lecture from his Harvard course in Political Philosophy. He explores the morality of murder and asks if there can ever be a case for killing. Theme nzima...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanachuo wa chuo kikuu kishiriki cha SAUT, tawi la Mwenge wameingia kwenye mgomo wao rasmi toka asbui wakishnikiza kutekelezwa kwa madai yakiwemo ya kucheleweshewa hela ya kuikimu. Source, wanachuko.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Toka jana nipo Mbeya. Muda si mrefu nimepita mbele ya geti la chuo cha Theofilo Kisanji University Mbeya. Nimeona kuna FFU wanarandaranda ndani ya eneo la chuo huku baadhi ya wanafunzi wakikimbia...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…