Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jana wkati taarifa ya uteuzi ya wabunge watatu iliyotoka Ikulu, kuna kitu kimenishangaza. Hivi lugha iliyotumika hapo chini ni sahihi? au Ikulu hawajui kiswahili? MWISHO Imetolewa na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
habari wana jf. naombeni msaada wa kitaalamu kuhusu usafi wa mwili. huwa najiuliza sana. kama kuoga ni usafi, taulo huchafuliwa na nini? watalaam wa afya watupe majibu ya kitalaam
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Hapa naamini sitopata mtu hata mmoja.Nikimpata naamini mvua ya mawe inaweza kunyesha hapa JF. Haya Tuanze na Mazengo,Pima,Meeen,Gaguti,Soap,Mugube,kusenha na Mtaalamu wa kilimo Prosefor...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
  • Poll Poll
Karl Marx huyu huyu unayemjua, anasema endapo mtu anataka kujua the position of the teacher in any society one must look at the value his/her society places in education the organization of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamvi Je kuna hadithi yeyote unayokumbuka kwente vile vitabu vya Primary English for Tanzanian Schools. Mr & Mrs Daudi, Baraka Neema etc Unakumbuka Hesabu Za magazijuto????? Unakumbuka...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kuna vyuo vingi vya kufundishia unesi ambavyo havijasajiliwa na serikali haichukui hatua,pia wanafunzi wa vyuo hivyo haiwatambui,mbona sasa haivisajiliau kuvifuta?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana JF ni vyuo gani vya elimu ya juu vinaendeshwa/ongozwa kisiasa?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimepoteza Mawasiliano na hawa Ndugu zangu Keffa Mkongwa na Betty Singano wote waliwahi soma Njombe Secondary Kidato cha tano na sita. Walikuwa class mate wangu. mwenye taarifa nao kati yao...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
kwa wale wenye sifa au ndugu zao wajalibu kuomba scholaship hii hapa Government Scholarships – Developing Countries Scholarship Awards within the Foreign Development Assistance Programme -...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba msaada hivi katika 'A' level ukichukua combination ya HKL (History, Kiswahili, Language) mtu hutegemea kazi zipi atakapoendelea?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
For those interested and of a background in C#, Excel, Access, Delphi, JavaScript, Visual Basic, an easy route into web development is available in morfik 3.0. A recent acquisition of morfik by...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati umefika sasa kuanza rasmi harambee kwa ajili ya kuwalipia watoto wetu ada za vyuo vya elimu ya juu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
SHULE ya msingi Mazizi iliyoko kata ya Gwata, tarafa ya Mikese, wilaya ya Morogoro imefaulisha mwanafunzi mmoja katika kipindi cha miaka saba iliyopita ilipoanzishwa shule hiyo. Akizungumza...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni kweli preta inaweza kuwa ngumu kuelewa but ninachomaanisha ni kwamba every successfull man amestruggle vya kutosha. Achilia mbali mafisadi coz wale si watafutaji, bali wanyonyaji!!!:cool:
0 Reactions
1 Replies
975 Views
Salaam wanajamii. Naomba msaada wakuu kuhusu scholarship ya shahada ya uzamili nje au ndani ya nchi. Nimehitimu shahada ya kwanza ya elimu(Bachelor of Education) UDSM mwaka 2005. Natamani...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Utafiti unaonyesha jinsi watoto wetu wanavyopata elimu duni. Fuatilia utafiti huo hapa chini http://www.twaweza.org/uploads/files/Je_watoto_wetu_wanajifunza.pdf
1 Reactions
1 Replies
1K Views
:thinking: Dah! Wandugu nimekwama kidogo naumri nao umesoge naombeni mnikumbushie swala moja tu. Nataka kuandika HIstoria ya maisha yangu kutokana na kwamba nimepitia maswaibu mengi sana sasa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ebwana washkaji tuskate tamaa ktk swala zima la Education as we as more you struggle as more you succefull so mazee na waungwan wote wa MABUGHA CDTTI Haswaaa Tongora kaza buti mwana.:thinking:
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu nimesikia kile chuo kikuu cha kilimo wanafunzi wameanza kulipia cheti cha degree pamoja na trancript. sana mimi nauliza hii ccm inatupeleka wapi? ada yenyewe hatuwezi kulipa hizo 40%...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau: Sijui kama na shule nyingine kuna tatizo kama hili:- Binti yangu amemaliza kidato cha nne "Kisutu Girls" mwezi huu na Graduation ilikuwa tarehe 26 Oct 2010. Kama ilivyo kawaida wamepewa...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…