Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania leo Alhamisi Julai 11, 2019 limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019 Katika matokeo hayo yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta...
8 Reactions
265 Replies
40K Views
Wanajamvi nimekuwekea link ya moja kwa moja kuangalia machagulio ya SHULENI na tahasusi kwa SHULENI zote Tanzania Uchaguzi wa Kidato cha Tano na Vyuo vya Kati, 2021
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Kwa anae fahamu vyuo vya Afya Tanzania vinavyo fundisha course ya anaesthesia nielekeze
1 Reactions
6 Replies
2K Views
By considering The definition of TENSE. Which state that tense is the contrast of the verb to indicate time. Through the above definition I'm arguing that in English language there is only two...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari ndugu zanguni, Swali. Mwaka 2016 serikali ilifuta mchujo wa kidato cha pili, swali langu walirudisha tena ama bado watoto wanaserereka kwenda kidato cha 4. Na kama walirudisha ni lini? Asante
0 Reactions
5 Replies
841 Views
Natanguliza shukrani wakuu, Hivi n kwa nini idadi ya waombaji wengi katika vyuo tajwa hapo juu uwa inakuwa kubwa kuliko vyuo vingine, kila mwaka,wenye kuvijua vizuri vyuo hivi atoe mwongozo.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wanaojianda na mitihani ni vizuri ukushea na wenzako baadhi ya past papers , zilizokwishafanyika za MCT . Nimeambatanisha PRE INTERNSHIP EXAM, October 2021. Baadae nitaweka post internship...
3 Reactions
3 Replies
5K Views
Vipaji vya sanaa mbalimbali watoto huzaliwa navyo, wengine hujifunza kwa kuona kwa watoto wenzao na kuweza kumudu na hatimaye kuwa na uwezo katika sanaa husika. Mara nyingi vipaji vya watoto wetu...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina dogo anasoma shule hizi za kulipia std 7 ee bhana wanasoma kuanzia saa 12 asbh wanapumzika saa nne muda kidogo tu saa nne na nusu wanarudi darasani mpaka saa nane. Wanaenda kula wakirudi...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu ninatamani kuongeza ujuzi kwenye eneo la statistical software za kufanyia data analysis. Natamani kupata professional short-course Ili kujinoa zaidi kwenye Excel, SPSS, AMOS (Advanced Level)...
5 Reactions
6 Replies
665 Views
Wadau poleni na majukumu. Tangu juzi mfumo wa kujaza online self form kwa wanafunzi wa kidato cha nne mwaka jana 2021 ulipofunguliwa nimejaribu kumjazia kijana wangu ila kuna changamoto naikuta...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
habari wana jamii forum. naomba kuuliza kwa anaejua vzr anieleweshe, mm nasoma bachelor OUT(open university of Tanzania) ila nataka mwishoni mwa mwaka huu niombe kwenda kuanza bachelor Mzumbe ili...
2 Reactions
8 Replies
782 Views
Open University kuna Masters of Education, UDOM ipo Masters of Education in Management and Administration Wadau, chuo gani ambacho utasoma na kumaliza kwa wakati bila vingingamizi toka chuo husika
0 Reactions
2 Replies
946 Views
Nimesoma sehemu kuwa mmea huo una protini nyingi kwa kulisha mifugo, hasa wanyama wanaocheua. Sijaona sehemu wanapoelezakuhusu wanyama wengine. Je, inafaa pia kwa kulisha nguruwe na akapanufaika...
0 Reactions
1 Replies
401 Views
Shikamooni, Mimi ni form four graduate na Nina mpango wa kwenda college for further studies. Nina division 2 na nimebalance science subjects zangu zote pamoja na computer studies Kwa wastan wa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu habari,hivi ni kwa nini ni rahisi kupata gpa kubwa vyuo vya binafsi kuliko vyuo vya serikali hasahasa kwa ngazi ya diploma
3 Reactions
15 Replies
4K Views
katika maisha Kuna changamoto mbalimbali na Mapito mengi ambayo kila mtu huwa anayapitia na kuyakabili pia kanuni hizi nimezifanyia uchunguzi wakina na kuona wengi wamefanikiwa 1. kumtangualiza...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Baada ya kuulizana kwa muda sasa TCU wamefunguka na kutoa ufafanuzi. Tafadhali tuzingatie. VYUO NA PROGRAMU ZILIVYOZUILIWA KUDAHILI WANAFUNZI WA MWAKA WA KWANZA KWA MWAKA WA MASOMO 2017/18 1.0...
0 Reactions
263 Replies
50K Views
Wandugu, shule ya msingi Gongolamboto Jeshni inapatikana kwenye halmashauri ya jiji Ilala, kuna kodi au makusanyo yanafanyika pale ambayo natamani kujua ikiwa ni utaratibu wa kawaida au kungineko...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Wadau nauliza kati ya hizo mbili ni ipi ina uwanja mpana zaidi wa fursa? Au kama kuna nyingine bora zaidi ya Social science nayo pia unaweza kutushirikisha Karibuni
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom