Ne apply chuo ni mwezi sasa nimepata status hii, inamaana gani ?
Naombeni mnisaidie plz.
Current application round is closed for internal processing of applications. Please keep on checking in...
Ushauri wangu, majina yatakapotoka leo au wiki hii jiridhishe na chuo husika ndio uconfirm..ikiwemo ada ya chuo (usifanye confirmation kwa kuangalia loan board, wakati mwingine ni bahati tu)...
Samahani ndugu zangu naomba msaada jinsi ninavyoweza kubadili course niliochaguliwa ya civil engineering kuwa computer Engineering hapo chuoni Dit nitakapo
Kuna hizi shule Tanzania wanasema ni za vipaji, Kisimiri, Kilakala, Ilboru, Kibaha, Mzumbe n.k.
Je, kwa matokeo ya hivi karibuni bado zinastahili kuwa za vipaji(special school)?
Present
Simple
Present simple form
I go to the cinema every week
Past
Past simple form
I went to the cinema last week
Future
Will + bare infinitive
I will go to the cinema with you...
Nina swali japo sio la msingi sana kwanini Kama matunda ni muhimu kwa afya kwanini Sasa wanyama Wengi tunaowafuga hawapewi au hawali matunda kwa mfano wakina mbwa ukiwapa ndizi au machungwa hawali?
Habari,
Naomba kujua ni kozi gani ya Certificate au Diploma ambayo nikisoma ndani yake kuna mafunzo ya Ultrasound? Na pia ni vyuo gani wanatoa kozi hiyo?
Natanguliza Shukurani.
Hii dhuluma kwa walimu zitaisha lini?kwa halmashaur ya wilaya babat afisa taaluma sekondari wilaya amelipwa 270,000/wakuu wa shule wanajiita kamat ya mitihan 240,000.waalimu waliosahisha kwa siku...
Naombeni kujua ni kozi zipi zenye uwezekano mkubwa wa kupata mkopo kwa uhakika, mimi nmeomba economics and agribusiness, vipi nikibahatika kudahiliwa, nitaweza pata mkopo kwa uhakika?
Habari za majukumu,
Jaman nnaomba ushaur course ip itakua nzur kwang kusomea na yenye soko kwa sasa nmemaliza katika mchepuo wa egm nilikuwa naiwaza architecture na mambo kuhusiaana na aardhi...
Samahani ndugu zangu, hivi nikisoma diploma ya information technology ninaweza nikaja kuchukua degree ya computer science au haiwezekani, please nisaidieni ndugu zangu.
Mawazo yote yanaheshimiwa,
Msaada unahitajika kwa wahitimu wa diploma. Ni kozi gani zinaweza kuwa na uwanja mpana kwa government, private na hata kujiajiri kati ya hizi?
1: Bachelor of Community...
Wakuu poleni kwa majukumu bila shaka mnaendelea na majukumu ya kila siku.
Kuna mdogo wangu ana Diploma ya information technology (IT).
Naomba kuuliza kama kwa diploma hyo anaweza soma bachelor...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.