BODI YA MIKOPO YAZIDI KUWAKANDAMIZA WATANZANIA MASKINI: RAIS WETU TUSAIDIE KATIKA HILI
Anaandika Justus Mbawala, 0753 917802 (Copy And Paste)
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru sana mama...
Habari zenu ndugu zangu,
Naomba nipate muundo wa barua ya uhamisho kutoka Chuo kwenda Chuo kwa mtu yoyote anayefahamu. Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza ninayehitaji kuhama kutoka Dar es...
Wakuu kwenye zile stage za kujaza kuomba mkopo online kutoka bodi ya mkopo wa elimu ya juu kwenye kipengele cha GUARANTOR DETAILS kuna sehem inataka adimision letter ya mdhamini au nitakuwa nimekosea?
Nataraji Wakuu mpo salama na familia zenu.
Naomba kujua kuhusu elimu ya udereva.
Je, unaweza kusomea udereva wa magari makubwa kabla ya kusomea magari madogo?
Tufahamu kuwa mhusika hana ujuzi...
Habari ,
Ninasikitika kusema kuwa jambo ambalo laonekana kuwa dogo, hilolohilo limekatisha ndoto za vijana wengi nchini Tanzania, nimefanya application ya mkopo ili niendelee na chuo kikuu...
Habari wakuu,
Kuna wadogo zetu walimaliza kidato cha sita na matokeo yao yanatarajia kutoka karibuni, kwa sasa wanakaribia kwenye mchakato wa kujaza vyuo na uchaguzi wa shahada watazochukua. Ni...
Tumesoma siku nyingi kidogo - Nimemaliza form Six 1994 hivyo kuna vitu nimeshasahau. Nataka kujua kuhusu division One mpaka Zero.
Division 1naelewa ina anzia point 3 ---- mpaka ngapi?
Division 2...
jamani kuna mdogo wangu kachaguliwa kozi ya environmental science and management pale ardhi hv hyo kozi ni nzuri? na inahusu nini? na vipi kuhusu ajira zake?
Heri ya mwaka mpya Jf members! ,naomba anayefahamu namna ya kuandika barua ya ruhusa ya kwenda kusoma (university) kwa watumishi wa umma,nataka nikaongeze maarifa
Wakuu poleni na majukumu, naomba kujuzwa chuo kinacho toa mafunzo ya udereva kizuri cha uhakika na chenye gharama nafuu mkoani Arusha. Asante sana[emoji120]
Najua unahitaji kuwa na GPA y 3.5 kupata sifa ya kujiunga na MD by TCU standards! Katika daily practice, kuna mwombaji aliyepokelewa MUHAS with this qualification? Nisaidieni information please...
Wakubwa shikamooni,habarini jamani.
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 24,nimemaliza mwaka 2020 clinical officer.Natafuta nafasi ya kazi kwenye vituo cha afya chochote,au uuzaji...
Habarii!!hivi hakuna chuo chengine cha bei nafuu kama Veta Ada 150,000 kwa week mbili??mdogo wangu anataka kusoma hii kozi ya Database??ameenda veta wamemwambia mpka wawe wawili Ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.