Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kuna barua imesambaa mitandaoni ikionyesha mkuu wa chuo cha sauti akishinikiza Wanaoshindwa kulipa ADA kupigwa penalty Sio Jambo JEMA na la busara kulikalia kimya WAPO WATOTO WENYE shida je...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nawasalimuni kwa jina la JMT Ni muda kitambo umepita (yapata miezi minne) toka matokeo ya kidato cha NNE yatoke, lakini hadi leo selections/placements hazijatoka. Ni vyema kasi iliyopo katika...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Nina mdogo wangu kamaliza form four mwaka jana kapata dv two ya 18. Amechaguliwa kwenda advance akasome HGl. Sitaki aende ukizingatia ajira huko mbele ni ngumu, kuna uwezekano wowote wa kuweza...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Nilitami wangu awe wa kwanza class Ila kaniangusha
2 Reactions
10 Replies
938 Views
Kama title inavyosema...naanza mimi GALANOS
2 Reactions
63 Replies
4K Views
Habari za mchana wananzengo Mito, Mifereji na vyanzo vingine vya maji hutiririsha maji yake kuelekea baharini Naombeni kuuliza, ni kwanini bahari haijai?
4 Reactions
101 Replies
9K Views
Hi bosses, Nimemaliza diploma ya clinical medicine 2011. Sasa na-plan kupiga shule this year, ila kuna kitu kinanitatiza with regards to GPA inayohitajika wakati wa admission. Ile paper ya...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Jamani yeyote mwenye link ya kuvipata vitabu mbalimbali ya Physics kwa class 12/ form six na vinginevyo atusaidie mana kuna link niliona humu mwezi uliopita ka sijakosea Ila saivi sioni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
0 Reactions
1 Replies
542 Views
Habarini za muda wana jamvii kama kichwaa cha habari kinavo jieleza hapo juu kuna tofauti gani wa ubora wa Elimu unaotolewa chuo kikuu cha kilimo morogoro SUA na ile inayotolewa chuo kikuu cha...
1 Reactions
42 Replies
7K Views
Hili lifike mahala husika.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Utaratibu huu ambao ndio kama sera ya vyuo vikuu vingi nchini kiliwemo Chuo Kikuu cha Dar -es-Salaam, sio tu umepitwa na wakati, bali pia haufai kwani unachangia vyuo kuwa na walimu ambao...
26 Reactions
90 Replies
11K Views
Salamu kwenu wakuu, Kuna kijana amepata D ya physics, C ya biology na Chemistry na math kapata F, jumla ana Division 2. Je, huyu course za Afya vyuo vya serikali au binafsi anaweza kukubaliwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, habari ? Mi napenda tusaidiane kuhusu course ya Bachelor of philosophy with education (inatolewa SAUT-Mwanza) -what next kwa atakae-graduate first degree ya hiyo course? (Betterment...
0 Reactions
2 Replies
721 Views
Waalimu naomba mnisaidie hii, Ratiba ya mwaka inaonesha ni tarehe ipi shule za serikali zinategemea kufungwa kwa likizo hii ya June 2021 na tarehe ya kufungua pia...?
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari wakuu, Nataka kujua gharama za ada na michango mingine kwa mtu akichaguliwa toka Form Four kwenda chuo ni zipi?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamii msaada naitaji heading kwa ajili yakuandika project
0 Reactions
1 Replies
523 Views
Nchi jirani ya uganda kwa wenye diploma kuanzia gpa 2.7 wanaweza kuomba kujiunga na vyuo vikuu lakini tanzania tumeweka gpa 3.0. Hata nchi za ng'ambo kama malaysia china na zingine wanakubali...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom