Hello Habarini za wanajamii forum?
Nahitaji kusoma degree ya Bachelor of science in Energy Resources Open University kwa anaefaham namna ya usomaji wa masomo ya science katika chuo hiki anisaidie...
Habari za Leo ndugu na marafiki.
Leo nitaelezea hatua za kufuata wakati wa kufanya maombi ya full funded scholarship ya kusoma nje ya nchi.
Basi ili walau kupata mwanga wapi pa kuanzia fuatana...
Karibuni jamani mchangie mawazo yenu kuhusu hii mada mtu anaweza akaendelea kuchukua boom Kama ameacha chuo lakini Bado hakufuta usajili wake katika chuo chake.
Kumekuwa na tabia chafu ya kuweka mazoea mabaya na wanachuo kiasi kwamba walimu wanapokea pesa ili kuwafaulisha wanachuo na watoto wa kike baadhi yao wanalazimika kujitoa miili yao.
Hii imezoeleka...
Habari wana jukwaa,
Mwezi July namaliza bachelor degree yangu nikiwa nime specialize kwenye physics.
Natamani nikimaliza nipate scholarship ya kwenda nje nikasome material physics.
Naombeni...
If magnetic flux of 6t2 + 7t mwb what is the induced Emf in 2seconds!!!! atakaepata hil swali kuna zawadi nono itatolewa.
Kumbuka 6t2 ni six times t square
Welcome
Habari Wana jamii forum, hivi Kuna uwezekano mining Engineer kuweza master of science in Pavement Engineering?
Majibi yeni ndio msaada wangu.
Asanteni sana.
Kwako mheshimiwa waziri wa OR-TAMISEMI napenda wizara yako itambue kuwa mfumo wa waalimu Tanzania wanaandaliwa kwa mitihani na kufaulu kwa Madaraja tofauti hivyo wizara yako kupendekeza kigezo...
Naombeni msaada, nasikia selection za kwenda five2021 zimetoka .. Nilikua naomba msaada wa link itakayonipeleka moja kwa moja kwa selection hizo maana na google lakini sizipati. Msaada wenu please 🙏
Mimi ni kijana umri 26 nimehitimu kidato cha 6 2019 HGE matokeo yalikuwa EDE. Napend Sana niende chuo ila maisha yamenipiga Sana nmesoma kama PC nilikosa ada na mwaka huu nimerudia somo moja la...
Habari za leo wakuu, nimechaguliwa Diploma in Mining Engineering katika Chuo cha Madini Dodoma, naomba kujua mwenye uelewa wowote kuhusu
1.source nzuri za materials
2.njia nzuri za kutumia katika...
Habari za asubuhi wanajamvi,
Samahani naomba mwenye vitabu hivi PDF anisaidie tafadhali
1. Rich Dad Poor Dad
2. Why A students Work for C students
3. Cash Flow Quadrant
Vitabu vyote hivi...
Habari wanaJF, ni tumaini langu humu kumejaa watalaamu wa Finance and Accounting.
Mie ninahitaji kujifunza na kusoma Finance personally.. kwa hivyo nahitaji recommendations ya vitabu Bora...
Habari za wakati huu,
Mimi ni Mwanafunzi wa Chuo kikuu, mwaka wa kwanza katika fani ya uhasibu. Naomba msaada katika mambo yafuatayo:
1.Nahitaji kuhama fani kutoka uhasibu na kuhamia fani...
Bodi ya UGAVI na MANUNUZI Tanzania Kuna Nini mbona mambo yamesimama tatizo lipo kwa Nani hasa watu wametuma maombi ya kusajiliwa tangu mwezi wa Tisa 2020 Lkn hamna usajiri unaofanyika, mitihani...
Habari za usiku ndugu zangu? Nahitaji msaada namana ya ku apply nacte vyuo vya afya. Nimejaza taarifa zote lakini hakuna kinachoendelea.
Hatua ya kwanza nimefungua ukurasa wa kujisajili na...
Habari za majukumu wakuu,
Natanguliza samahani kwa usumbufu.
Naomba kuuliza kuwa, kwa wale vijana waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo kwenye kambi za JKT, inaruhusiwa kutoa udhuru na kuripoti...
Habari wadau ,naomba mnisaidie kidogo kwa wale wanaokifahamu vizuri chuo Cha uongozi wa mahakama LUSHOTO, kina ubora kiasi gani na nitakapomaliza naweza kuhudumia jamii kwa kuaminika nikawapa...
Habari wakuu,
Naomba msaada wa kimasomo kwa atakayeguswa ama anaefaham mashirika yanayotoa misaada ya kimasomo kwa ngazi ya cheti.
Natamani sana kuendelea na masomo ila hali ya kimaisha ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.