Habari wadau wangu , naomba kujua jina la shule hapa Tanzania inayofundisha ki jeruman au kifaransa nataka mwanang akasemee hapo mwakani nadhamiria ajue lugha mbili kijeruman na kingereza au...
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza, nikisomea Shahada ya jinsia na maendeleo. Kutokana na ukweli ulioko katika Soko la ajira nadhani huu ndio muda sahihi kwangu kujipanga katika kutafuta fani...
Ukweli utaratibu uliofanya TCU wasitambue watu waliosoma engineering science kwenda kuchukua degree hasa za science kiukweli utaratibu huu unaumiza sana watu waliosoma shule za ufundi kama...
Habari wakuu...poleni na kazi
nlikuwa naomba mnipe mwanga kidogo kuhusu hizi theories on the origin of the earth
nebular theories
protoplanet theory
encounter theory
big bang theory
fission theory...
Habari zenu wakuu,
Mwaka jana niliona fursa za kusoma nje nkaamua nijaribu kuomba, ila sikupata, pamoja na kuambatanisha vigezo vyote na documents kamili zilizohitajika.
Mfano mzuri ni hizi...
Habari zenu wakuu! Naomba msaada kwa anayejua vizuri kuhusu degree ya law enforcement na kanuni zinazohitajika ili kusoma kozi hii, na ni wapi inapatikana tofauti na udsm. Mimi nasubiri matokeo ya...
Secret code ambazo ulikua uzijui kwenye simu yako [emoji350]
Kuna Mambo mengi yamejificha ya Siri kuhusu simu zetu tunazozitumia lakini atuzifahamu hivyo tunazichukulia poa sana simu bila kujua...
NGAZI YA ELIMU
(1) UFUNDI STADI
(2) UFUNDI
(3) VYUO VIKUU
(4) UTAALAMU
(5) ELIMU HAINA MWISHO
10
Shahada ya Uzamivu
Shahada ya Uzamivu
<<===
9
Shahada ya Uzamili
Shahada ya Uzamili...
Napataje salary slip jaman nimetuma picha ili mjue nilipo fikia kila nikijaribu kujisajir inagomaa inaload muda baadae inakata
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu, nina mdogo wangu amemaliza chuo(degree),2019,ila kutokana kukosekana ajira, anahitaji akasomee kupamba maharusi, na mambo ya saluni ili afungue saluni ajipatie angalau hela...
Wakuu nataka kujiunga na chuo hiki mnamo mwezi wa 9 ikiwezekana, ushauri wenu tafadhali kuhusu ubora wa chuo hiki pamoja na uzuri wa course hii ili nisije nikaingia chaka.
Habari wakuu,
Naomba niende Moja kwa Moja kwenye mada husika
Wakuu naombeni msaada ili niweze kupata platform itakayonipa nafasi ya kunisajilia uwezo na kipaji changu cha kuimba ili kutengeneza...
Ni mnufaika wa HESLB jambo lililonipelekea kuandika uzi huu ni kwamba sikuweza kusaini pesa ya meals and accommodation ya mara ya pili hii ni kutokana na kuwa na pesa ambayo binafsi niliona...
Habari zenu jaman mi ni mwanachama mpya. Nilikuwa naomba kuuliza ivi wale wanaofanyaga uchunguzi wa udongo ni walisomea course gani chuo naombeni mnijuze hapo.
Kama kichwa kinavojieleza hapo, Kwa taarifa zilizotolewa na serikali katika kudhamini hayo mafunzo ilikuwa mafunzo yaanze kesho tar 17 May 2021. Lakini mpaka sasa walioomba hawajapewa feedback...
Kigezo cha mtoto mbaye amesoma private schools asipate mkopo si sahihi. Wazazi wengine wanakuwa wamestaafu, wameacha kazi, wamekufa etc, kutumia kigezo hicho ni kutowatendea haki.
Au pia uwezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.