Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari za leo, Kama nilivyoelezea hapo juu, nahitaji ushauri wenu. Mimi nimaliza shule Mwaka 2019 lakini matokeo yalikuja mabaya, yaani nilifeli hivyo lengo langu lakutaka kurudia mtihani Mimi...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Wakuu habari ya majukumu? Tafadhali naomba kufahamishwa ni wakati gani hasa wa kufanya taratibu za kuomba mkopo wa HESLB? Je, ni mara tu baada ya kumalizika mitihani ya kidato cha sita au ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
jamani nilikuwa naomba kuuliza dirisha la udahili kwa kozi za afya september intake kwa ngazi za stashahada na astashahada kwa mwaka wa masomo 2021/2022 litafunguliwa lini kwa vyuo vya serikali...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Kwani Ufaulu Kidato cha Nne ni Lazima ili Kusomea Ufundi? Kwa mfano, kijana anataka kusoma mafunzo ya ufundi (VTC/VETA/NTA Level IV): Kwa nini baadhi wanaweka masharti ya kwamba alete cheti cha...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau? Hivi Kwani Mwanafunzi anakaa miaka Mingi anasoma tuu mwisho anamaliza hana ujuzi? Kama zamani iliwezekana Kupunguza Madarasa kwanini Sasa hivi ishindikane? Elimu yetu Primary...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Everything is f*cked,a book about hope. Author Mark Manson. Je unakubaliana kwa kiasi gani na yaliyoandikwa humu. What are your opinions about this book?
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamii, Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa kwanza nasoma Shahada ya jinsia na maendeleo hapa Dar es salaam. Naomba ushauri ni fani ipi ya ziada ambayo naweza kuisoma...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyoeleza wenye uzoefu watujuze cha kufanya. Asante
0 Reactions
97 Replies
11K Views
kuelekea ajira mpya za walimu hebu tuwe wakweli wanaJF ni mwalimu yupi anaandaliwa vizuri kiuwezo na kimaadili pamoja na mbinu za kufundisha kati ya diploma na degree? ikumbukwe kuwa mwalimu wa...
4 Reactions
355 Replies
52K Views
Hamjambo wana JamiiForum? Naombeni mnijuze, mtoto wangu kamaliza form six wiki hii iliyoisha. Amesoma kombi ya HGE, hivi ni kozi zipi anaweza kusoma katika level ya university? Natanguliza...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Napenda sana mambo ya astronomy nimesoma sana mambo hayo kwenye mitandao ...nisehem gan mtandaon nawexa kupata machapisho mazur yaliyopangiliwa kuhusu anga za majuu
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari, Ninaomba kujua chuo Tanzania kinachotoa degree ya Mass Communications kwa holiday studies, yaani unajisomea nyumbani unakuwa unaenda kufanya mtihani. Ahsante
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Taaluma yangu ni mwalimu, Sina ajira lkn naipenda kazi yangu Sana, Nina wazo la kufungua tuition na nursery School ambayo nitahitaji kufundisha kwa kutumia projector, ila nashindwa mtu wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa waombaji wa ajira za ualimu ,mm katika mfumo wa Maombi napitia changamoto kitaka kuongeza taarifa za sekondari(form six) nkiandika index number mfumo unaleta ujumbe huu“ index number does not...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Ajira za Ualimu zimetangazwa na Vijana wengi wameanza kuchangamkia Ajira ili waende kulitumikia Taifa na kuendeleza taaluma zao, lakini Walimu waliopewa kipaumbele ni Walimu wa Sayansi, Hesabu na...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza . Naweza pata chuo kinachofundisha hizo lugha hapo juu? Natanguliza shukurani
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu habar! Hongere kwa waislam kuuona na hatimaye Eid imewadia. Nikienda moja moja kwenye mada, Zamani kulikuwa na utaratibu wa udahili wa wanafunzi katika elimu ya juu kuomba vyuo kupitiwa Tcu...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Yaani haujashika hata chaki haujaanza hata kuandika wanafunzi hawajakuelewa kuwa unafundisha vibaya au vizuri unaanza kujisifu tu mm ninajua kufundisha bila hata kusolve hata swali moja...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Taarifa muhimu kwa Wanafunzi waliomaliza Kidato cha Nne, mwaka 2020 Waziri Jafo ametangaza utaratibu wa wahitimu wa Kidato cha Nne mwaka 2020 kubadilisha Tahasusi(Combination) za Kidato cha Tano...
-1 Reactions
181 Replies
27K Views
Back
Top Bottom