Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu habari za mihangaiko.. Nilikuwa naomba, kujuzwa vitu vifuatavyo kuhusu chuo cha wanyapori , Pasiansi wildlife, kilichopo Mwanza. 1. Sifa za kujiunga na hicho chuo 2. Kozi zitolewazo 3...
1 Reactions
6 Replies
11K Views
Habari zenu wana jf.. mimi nina bachelor (B.sc.ed), nafikiria kujiunga open university ..nataka kuchukua MBA mwaka huu..ila nahitaji-ushauri kwanza je chaguo langu ni sahihi kwa hali ya...
0 Reactions
50 Replies
12K Views
Bodi ya Mikopo (HESLB ) Yasitisha Mikopo Ya Walimu Wanafunzi Waliompiga Mwanafunzi Mbeya | MPEKUZI
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Naomba kuuliza ndugu,
0 Reactions
11 Replies
2K Views
nipende kutanguliza shukrani zangu za dhati kwanza kwa mwenyezi mungu....... Kabla ya kuandika Uzi huu... Wadau naombeni kama kuna civil eng student wa UDSM hapa JF atupange kidogo sisi first...
2 Reactions
43 Replies
9K Views
Habari zenu wakuu! Naombeni msaada wenu kwa yeyote anayefahamu shule ya advance level ambayo ada yake ni bei nafuu naomba anijulishe... Iwe ya mchanganyiko au hata ya boyz tu. Naomba...
1 Reactions
46 Replies
24K Views
Ili tuelewane vizur naomba kutumia lugha ya nyumbani. Nina mdogo wangu anaitajika kuingia kidato cha kwanza mwaka 2017 nilikuwa naitaji kufahamu bei ya shule za secondary iliyo na bordind ambayo...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Msaada anayefahamu shule za bei nafuu za secondary Tanzania ambazo ni za bweni na ni za private lakin pia ni mchanganyiko na ambazo ada yake ni kati ya 1m-2m Msaada tafadhali
1 Reactions
34 Replies
21K Views
Post deleted
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Kozi nyingi chuo kikuu zina hesabu siku hizi, so km ulijidanganya kwamba utakimbia hilo somo sahau, ni kozi chache sana tena zisizo na tija ndo hazina hesabu, zamani Hesabu ilikuwa km elective ila...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
KUMBUKA KUZINGATIA UTARATIBU WA KUTUMA MAOMBI KAMA IFUATAVYO Wahitimu wa kidato cha nne waliohitimu kuanzia mwaka 2015 hadi 2019 wanaruhusiwa kutuma maombi. Waombaji wa Mafunzo ya Ualimu katika...
0 Reactions
0 Replies
10K Views
Wakuu habari, Yeyote anayejua naomba anifahamishe, ni wapi hivyo vyuo vilipo, gharama zake na muda wa kusoma
0 Reactions
28 Replies
10K Views
Habarini za muda Wana jamvii Kama kichwaa Cha habari kinavo jieleza hapo juu. Nilikua nahitaji msaada wa mtu anawezaje Kuhama chuo kikuu Fulani kwenda Fulani baada ya semester moja au baada ya...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Naomba ushauri au elimu au Ufahamu kuhusu ubora wa simu za Samsung toleo la M series.. Na Ubora wa Simu za oppo na series ipi ni bora Na ushauri kama nataka kuchukua simu kati ya hayo makampuni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nataka iwe ya kisasa na Lengo ni kuiongeza chumba cha kulala na dinning room na kupanua jikon, pamoja nipate na store, . Ilivyo kwasasa ndio hivyo Ktk picha na ramani ya sasa ndio hiyo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau nimebahatika kuitwa Interview ya hawa jamaa, naomba mwenye uzoefu tafadhali nataka nikaongeze jiwe la Pili kwa Trump. Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habar ya kazi wakuu, nahitaji kusoma masters. Naomba mwenye uelewa wa hizi kozi ipi ni nzuri zaidi na ni Vyuo gani hutoa hizi kozi. Asanteni
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habarini za jion wadau wa JF, Naomba msaada wa kuunganishwa kwenye magroup ya watsap ya mafundi wa vifaa tiba kwa njia yoyote ile,ata kwa kutumia link. Asanteni.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenye uelewa na hii kozi ya maendeleo ya jamii(community development) inayotolewa SUA anasaidia ni wapi utafanya kazi na je ni kozi yenye soko kwa sasa?
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Back
Top Bottom