Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Watu mliowahi kufanya mtihani mgumu wa uhasibu wa utumishi wa umma (GOVERNMENT STANDARD ACCOUNTANCY EXAMINATION). Je, hii ni mitihani gani? Ukimaliza na kufaulu unapata/unatunukiwa nini? Kuna...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Huwa nakaa nafikiri hivi hii shule tunayosoma na tunaosomesha hivi ina umuhimu saaana? Sipo kuharibu fikra ya mtu ila ngoja niseme yangu na ku-comment chochote ruksa ila sio povu ok. Kiupande...
0 Reactions
0 Replies
686 Views
Waziri wa tamisemi: Seleman jafo ametoa nafasi ya kubadilika tahsusi. Amesema dirisha hilo litafunguliwa leo mpaka tarehe 11-4-2021 amesema wataruhusiwa kubadili machaguo ya chuo au advance na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari, Wadau naomba mnisaidie shule za private kidato cha tano ya bweni, zinazopokea reseaters (wanaorudia mtihani kidato cha nne) iwe wilaya yoyote ya Njombe. Ambayo wako vizuri iwe ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana jukwaa habari zenu, kwanza kabisa ningependa kuwapa pole ndugu jamaa na marafiki walioguswa kwa namna moja ama nyingine katika janga hili lililoikumba dunia kwa sasa ugonjwa wa covid-19, pia...
3 Reactions
75 Replies
8K Views
Naomba ushauri toka kwenu wataalamu wa taaluma na ufundishaji kutokana na tabia niliyoisikia ktk shule hii. Nina mtoto ninayemsomesha ktk shule hii ya Bendel memorial iliyoko moshi eneo la soweto...
5 Reactions
165 Replies
24K Views
Zamani enzi za ujinga tulikuwa tukiaminishwa ukiwa kipanga then ukisoma PGM (GEOGRAPHY, PHYSICS & MATHEMATICS) ndio ticket pekee ya kuwa rubani. Vyuo vingi au karibu vyuo vyote vya urubani...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakulungwa habari, nahitaji kujifunza kupiga gitaa na kinanda naomba kufahamu shule iliyopo maeneo ya mwenge au ubungo!! Natanguliza shukrani
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Soma kwa umakini DOCUMENT hii. Kama utakuwa makini na kuna biashara ambazo unazifanya basi inaweza kuwa mwanzo wa kuepuka kuendelea kupoteza fedha zako kujifunza vitu ambavyo havina msaada kwenye...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Napata changamoto ya kuomba kuhitimu baada ya kuwa na carryover mwaka wa mwisho
1 Reactions
12 Replies
1K Views
A workshop on 'Leadership Skills among Youth' was organised recently by Uslub services group for students of Amar Singh College in Jammu and Kashmir's Srinagar. Education ANI| Srinagar (Jammu And...
1 Reactions
1 Replies
407 Views
Kwa kweli watu wa Mzumbe wamenitamanisha sana.... hebu na sie wa Mkwawa tukumbukie enzi......ukisikia hiki kipande cha Singo hili unakumbuka nini Mkwawa Shule twaipenda, Mkwawa Shule twaipenda...
0 Reactions
27 Replies
7K Views
The College History in brief. The origin of the College of Business Education (CBE) is closely linked to the history of the Nation itself. It was soon after Independence on 9th December 1961...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mhe. Kimei, Mbunge wa Vunjo, amekosoa vikali mazoea ya kutukuza elimu ya "ma degree na ma PhD," akidai yanapotezea watoto muda. Hoja iliyoungwa mkono kwa nguvu na Spika Ndugai aliyelitaka bunge...
24 Reactions
152 Replies
12K Views
Ivi inakuaje mtu unapply chuo kinaitwa St. Joseph then ukiingia unapelekwa institute unaitwa MARY IMMACULATE INSTITUTE OF TECHNOLOGY is this fair jaman vijana baadhi tunapata changamoto kubwa juu...
0 Reactions
2 Replies
835 Views
Mimi nlikuwa ni mwanachuo wa chuo Kikuu huria lakini nilipofika mwaka wa pili niliandika barua ya kusitisha masoma na kuondolewa kabisa kwenye system ya chuo hicho ili niweze kujiunga na vyuo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Maana likizo zote siku hizi hakuna watoto wanasoma muda wote likizo fupi zote imefutwa kiaina watoto mpaka wanachoka balaa, maafisa elimu wanakomaa eti watoto wasome wala hawaangalii kupumzika...
4 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari Wana JF, Inawezekana Mining engineer kusoma master of civil (structural) engineering? Na Kuna uwezekano wa kupata fully funded sponsorship ya kusoma master?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Swali la kwanza limekosewa http://www.math.ubc.ca/~israel/m215/roo/ Jibu lake liko kwenye attachment hiyo hapo chini. Ni jibu na si njia ya kufikia jibu hilo. Aliyefanya swali hili atakuwa...
0 Reactions
2 Replies
872 Views
Wakuu samahanini hivi awa madalali Sioux wa nyumba makubwa au hisa ambao ni binafsi na serikalini huwa wanasomea au ni ujuzi binafsi?
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom