Nimefanya field nimemaliza ofisi fulani ya Serikali cha kushangaza wanatupiana mpira kunijazia log book! Hadi sasa hivi sijajaziwa kila mtu hataki kunijazia, nifanyeje?
Hapa kuna mkang'anyiko wa Malengo ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Shule za Msingi wanafunzi wanafundishwa somo la TEHAMA. Angalau nadharia wanayotoka nayo huko Msingi ingeliendelezwa pale...
Habari wakuu, naomba kupewa ushauri na uzoefu wenu juu ya maisha ya uanafunzi kati ya UDOM na IFM katika suala zima za mazingira ya kuishi na gharama za maisha
#Hoja_Ya_Wanafunzi_wa_UDOM
( By Mh. Halima Mdee, MB)
Watu wengi wanaohoji nini kiini cha tatizo la wanafunzi wa UDOM? Wamefanya nini? Kwanini wamefukuzwa? Kwanini iwe usiku wa manane? Nini hatma...
Kuna scholarship kuanzia Bachelor's degree. Fuata maelekezo. Kila la kheri!
We are thrilled to announce that PolyU is still open for applications for its PolyU Entry Scholarship, which are...
Read the following poem and then answer the questions that follow:
Your pain
Yet more my pain
Shall suffocate oppression
Your eyes
Yet more my eyes
Shall be speaking of revolt
Your scars
Yet...
Salaam kwenu,
Nina mdogo wangu kahitimu chuo .Ana Degree ya ualimu lakini anataka akasomee ktu kingine ambacho kitampa chance nzuri ya kujiajiri au kuajiriwa. alitaka akasomee kmojawapo kati ya...
Wanafunzi Chuo Kikuu cha Ardhi wajawa hofu
2008-07-28 16:02:48
Na Job Ndomba,Jijini
Wanafunzi zaidi ya 150 wa Chuo Kikuu cha Ardhi wamejawa hofu ya kukosa sifa za kuendelea na masomo...
Kuna mdogo amepata nafasi ya kwenda kusoma chuo nchini India ,mpaka sasa ana mwaka na zaidi yaani toka mwaka Jana janga la Corona lilipoanza mpaka sasa.Vyuo vingi nje nchi India vimefungwa...
Wakuu kwema,
naomna msaada wa shule nzuri (mazingira na performance) za kidato cha tano na sita zinazopatikana mkoani Kilimanjaro na Arusha
Note
- Iwe boarding
- Mchepuo wa science na biashara...
Habari wakuu!
Naomba kujua shule ya serikali nzuri ya msingi inayofundisha wanafunzi wenye ulemalevu wa akili Mkoa wa Mwanza. Ikiwa ya boarding itapendeza zaidi.
Asanteni.
Students who perform well in Science subjects in their Form Six national examinations are eligible for the scholarship at the University of Dar es Salaam
You may be among those who have applied...
l
Larry Shaw mwanzilishi wa Pi Day akiwa ktk exploratorium. Keki maalumu.
Siku ya Pi (π) duniani 3.14, March 14 kila mwaka.
Je ulishawahi kusikia sherehe za Siku ya Pi (π) ? Ikiwa...
Watu wengi wasiokuwa na mafanikio ni Wale wasio jua na muda. Muda ni mali hawa ni wale wanaoona jua linachomoza na kuzama na pengine wanapenda lizame mapema waende kulala.
Maana hawana cha...
Habari wakuu wa jukwaa la wachache
Tunapoongelea hesabu hakuna asiyefahamu umuhimu wake. Maana matumizi ya hesabu yapo kwenye masomo mengine yote isipokuwa yale ya lugha tu ambayo yametawaliwa...
Najua wanamahesabu mmenielewa namkaribisha yeyete achanganue hiyo maneno
pie=3.14
l
Larry Shaw mwanzilishi wa Pi Day akiwa ktk exploratorium. Keki maalumu.
Siku ya Pi (π) duniani –...
Nimefanya mtihani mwaka 2017 nikapata iv ya 31 yaani c,moja na D mbili nikarisit nikapata tena D mbili. Kwa vigezo hivi ninaweza kujiunga na course pale Bandari college ngazi ya certificate?
Asante.
HABARI WANAJAMVI,
1. Mercury- ktk hii sayari kwanza ndio sayari iliyopo karibu na jua letu. Wataalamu wanasema kwamba hii sayari hakuna mvua inayonyesha huko kwa sababu mercury haina atmosphere...
Habari ya saa hizi ndugu zangu.
Naomba msaada kwa yeyote mwenye detail na kozi ya CYBER SECURITY AND DIGITAL FORENSIC SCIENCE inayofundishwa Chuo Kikuu cha Dodoma.
Kuna mdgo wangu anahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.