Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Naombeni kuuliza hapa kuna nduguu angu anahitimu chuo kikuu kwa kozi ya bachelor of education in physics, Je anaweza kutumia cheti cha f4 au f6 kuweza kuanza kozi nyingine mbali na hiyo
1 Reactions
7 Replies
481 Views
Aisee hivi unaweza kusoma computing sciences na kusoma code bila ya mfumo rasmi wa elimu kwa Tanzania na je kuanzisha financial technology company(fintech) vigezo vyake ni vipi? *********
1 Reactions
10 Replies
609 Views
Wakuu za leo naomba kuuliza kwa idara ya Afya kama umemaliza ngazi ya cheti unaweza kuomba academic transcript baada ya matokeo kutoka au inatakiwa ukae mda gani ndo uapply iyo academic transcript...
1 Reactions
3 Replies
319 Views
Habari, Mimi nina Certificate ya Community Health. Je, course gani naweza soma kwa Certificate au Diploma?
1 Reactions
12 Replies
569 Views
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika kozi ya Bachelor of Health Services Management nina shauku ya kupata GPA ya 4.5 had 5. Naomba ushauri wenu wataalamu nin nikazie au nifanye! Ahsante...
4 Reactions
11 Replies
403 Views
Habari wakuu naombeni mimi ni CO muajiriwa serikalin kutokana na kuwa na muda mwingi kazin kwangu nimewaza kusoma kozi ya data management pale open university bika kuomba ruhusa kazin,vipi kuhusu...
1 Reactions
4 Replies
280 Views
Habari Wadau, Katika pilika pilika za maisha hapa na pale nimeona Tangazo la chuo cha IAA linalosema wanatoa Masters kwa mwaka mmoja. Naomba kuuliza wadau hii kitu imekaaje. Je, Mamlaka husika...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Wakubwa natarajia kuhamia huko soon. Naomba mnielekeze shule zinazotoa taaluma nzuri Kwa binti yangu wa darasa la tano. Iwe shule ya kutwa, natanguliza shukrani.
0 Reactions
4 Replies
315 Views
Ndugu Zangu Shule Na Vyuo Mpaka Ufadhili Kuanzia Kidato Cha Kwanza Mpaka Vyuo. Tafadhali Tembea Shule Iliyo Jirani Nawe Elimu Ni Bure,
1 Reactions
2 Replies
303 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nataka kujifunza ufundi wa vifaa vya umeme kama TV, Redio, simu na vinginevyo naomba kujuzwa chuo kizuri cha kujifunza ufundi huo hapa Mwanza.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Serikali yetu sikivu iruhusu shule zake za msingi zitoe elimu kwa lugha ya kiarabu Kwa kuzingatia mitaala ya kiserikali sawasawa na zile za kiingereza almaarufu...
2 Reactions
9 Replies
311 Views
Habrini wadau Je kwa wakati kama huu, je ni kozi zipi za ufundi zinazotolewa kwenye vyuo vya serikali kama VETA kijana anayependa kujiajiri kwa kufungua ofisi yake zina soko kubwa kwa sasa kama...
2 Reactions
3 Replies
874 Views
Chuo cha City College kimewaaacha njia panda wanafunzi waliohitimu masomo yao Mwaka huu 2024 baada ya kutangaza kuwa mahafali( graduation) yatafanyika tarehe 22/11/2024 na kuwahimiza wanafunzi...
2 Reactions
4 Replies
563 Views
Samahani viongoz wangu!Nilikuwa naomba mnisaidie je naweza kuhama kozi katika chuo cha udom kutoka nursing kwenda pharmacy au md nanabidi nifuate hatua zp? Na itakuaje kuhusu mkopo? Naomben...
2 Reactions
5 Replies
695 Views
Wakuu habari? Nina mdogo wangu anasoma diploma in pharmaceutical sciences chuo kimoja Cha private hapa Mwanza, Amemaliza First year mwezi huu anaenda Second year nilihitaji kujua process za...
2 Reactions
4 Replies
329 Views
Habari zenu wakuu Jaman naomba msaada kozi gani nzuri ya kusomea kati ya gender and development na management of social development Na vipi kwenye upande wa kujiajiri au kuajiriwa je ipi ni...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Naombeni msaada wa uelewa kuhusu online courses, nahitaji kusoma online je niwapi nitapata course za online ambazo nitakuwa certfied? Na je hizi course gharama yake ikoje? Je ziko kozi za bure...
1 Reactions
3 Replies
665 Views
Habari zenu. Naona kuna kitu kinaitwa Project Management Professional certification ambapo ukifuatilia wanasema kinatolea na chuo cha project cha P,I kilichopo marekani lakini ukipata cheti chake...
0 Reactions
0 Replies
148 Views
Nimeona katika tangazo la kazi wizara ya afya Tamisemi, kuna nafasi za Clinical Asistsnts. 1. Hawa ndio akina nani na imeanzishwa lini ? Nijuavyo ngazi ya chini ya tabibu ni Clinical Officers...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Back
Top Bottom