Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Waungwana naombeni ushauri mimi ni muhitimu wa diploma ya Business administration . Nlishindwa kuendelea pindi tu nlivyomaliza kwasababu ya changamoto za matokeo (Nacte) nina mpango wa kufanya...
2 Reactions
46 Replies
3K Views
Amani ya bwana iwe pamoja nanyi, mi ni mwanafunz ninaechukua kozi ya afya(pharmacy) kwa bahati mbaya sikufanikiwa kufanya mtihani wa nacte mwezi Jana, kutokana na kuugua. Nikashauriwa na academic...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi nafikiria PhD nzuri ni ile Jopo la Maprofesa linaitana na kukujadili baada ya kuona Utendaji/ Uwezo/ Ubunifu wako Uliotukuka Katika eneo fulani ambao hata watafiti hawajaufikia. Baadae Jopo...
2 Reactions
7 Replies
342 Views
Naomba kufahamu kama Sebastian Kolowa Memorial University,ambayo ipo Mkoa wa Tanga bado inatoa Huduma ya Elimu? Na je inatoa kozi zipi?
1 Reactions
13 Replies
574 Views
Habarini ndugu, Hii inawahusu moja kwa moja bodi ya mikopo elimu ya juu,kunashida gani mpka wanachuo mpka wiki jana hawajapata boom? Na nikiangalia kwa umakini huo ni mkataba kati yenu ninyi na...
0 Reactions
0 Replies
197 Views
Embu tuelelewesheni utofauti hapa kwanini hii Taasisi inaitwa Chuo kikuu Mzumbe na isiwe Chuo kikuu Cha Mzumbe. Kama ilivyo kwa Chuo Kikuu Cha Dodoma, au Chuo Kikuu Cha Dar-Es-Salaam n.k
3 Reactions
19 Replies
920 Views
Mlau wa mahafali ya 23 ya Chuo Kikuu Mzumbe yanayofanyika leo Novemba 24, 2024 mkoani Morogoro Profesa Hawa Tundui amesema ajira ni chache lakini fursa bado ni nyingi, na hivyo kuwataka wahitimu...
2 Reactions
0 Replies
239 Views
Jamani naomba kuuliza mwenye taarifa au uzoefu wowote atusaidie kwa sisi tuliokata rufaa kweny dirisha la mkopo HESLB majibu lini tujue wapo kimya hatuelewa lolote jamani
0 Reactions
4 Replies
462 Views
Habari wa jukwaa natumaini ni wazima,Nina kimeo carry ya quantitive Technics Postgraduate natakiwa ndani wiki mbili zijazo nikafanye mtihani,please naomba nipate mwalimu wa kunibrush niweZe...
2 Reactions
17 Replies
590 Views
Habari zenu wakuu Leo nimeikumbuka shule yangu niliyosoma Advanced level 2010-11 Nimewakumbuka jamaa zangu, walimu wangu Mzee Kaaya japo alikua mtata sana(alihama), Mr Chungu, Gerald...
5 Reactions
45 Replies
8K Views
(C&P) - "Mgeni Maalumu wa Mahafali ya 23 ya Chuo Kikuu Mzumbe ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu katika...
0 Reactions
0 Replies
175 Views
habari za sahizi wakubw ivi ni tuition center gani nzuri DSM kwa ajili ya CPA?
0 Reactions
6 Replies
493 Views
Ni kijana wa kiume aliyemaliza kidato cha nne mwaka Jana na kuchaguliwa kuendelea na kidato cha tano mchepuo wa Sanaa mwaka huu. Hakuweza kuripoti shuleni mwaka huu kwa sababu alikuwa mgonjwa...
2 Reactions
5 Replies
259 Views
Vyuo vyote Tanzania vya elimu ya juu vimeshafunguliwa. Kadhia kubwa iliyopo kwa Sasa ni bodi ya mikopo kushindwa kuwapatia wanafunzi boom yaan meals and accomodations kitendo ambacho kinasababisha...
2 Reactions
5 Replies
462 Views
Samahani, naomba kujua hivi bodi ya mkopo wa elimu ya juu Inatuchukuliaje Watanzania? Maana kwenye mwongozo wa mkopo wa diploma 2024/25 wanaruhusu mwenye elimu ya form four, certificate na form 6...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari wanaJF, Natanguliza shukrani. Kuna mdogo wangu kwenye haya matokeo ya mwaka huu mwezi wa pili ya kidato cha nne alipata ufaulu wa DIV 2 YA 18(CIVICS: C, HISTORY: B, GEOGRAPHY: C...
6 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari wakuu, Udsm kwa nyakati tofauti huwa inakuwa na viongozi DARUSO pamoja na kambi za wanaharakati. Na wote kwa pamoja wana mchango mzuri sana. Sasa tukumbushane wanaharakati maarufu...
1 Reactions
221 Replies
28K Views
Anonymous
Mradi wa SEQUIP - AEP unafadhiliwa na Benki ya Dunia na unatekelezwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI. Mradi huu unalenga kuwarudisha watoto wa kike waliokatisha masomo kwa sababu mbalimbali kupitia...
0 Reactions
0 Replies
178 Views
Ni walimu wakenya wanao fundisha kwenye shule za English Medium za Tanzania. Wanasema ; 👇👇👇👇👇 " Zamani tulikuwa na soko kubwa Tz kwa sababu kwenye mfumo wa elimu wa Tz kulikuwa na mitihani ya...
6 Reactions
26 Replies
2K Views
Anonymous
Ni jambo la ajabu kwa ngazi ya certificate kukosa cheti eti mpaka umalize diploma ndio upewe cheti. Hii haipo sawa na inatukwamisha kimaisha. Tunaomba mtoe vyeti kwa wahitaji muache janja janja...
2 Reactions
3 Replies
344 Views
Back
Top Bottom