Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nina miaka 36, mama wa watoto 2, elimu yangu form 4 nilisoma medical attendant ambapo nimefanikiwa kufungua duka la dawa. Naombeni mnishauri nataka nianze kusoma mwaka huu kurudia masomo ya O...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Kwako Mwalimu kashasha. Binafsi nimefika chuo lakini sijawahi kuhudhuria hizi graduation toka msingi mpaka namaliza masomo yangu ya chuo. Kuna maanishwa kipi hasa au ndiyo modernization?
2 Reactions
3 Replies
306 Views
Kuna aina tofauti za majoho yanayotumiwa katika ngazi mbalimbali za elimu, na kila aina ina muundo na rangi maalum zinazowakilisha ngazi hiyo. Hapa kuna muhtasari wa aina hizo: 1. Majoho ya...
2 Reactions
5 Replies
428 Views
Kiukweli nashangaa sana viongozi na roho zetu binadamu hivi kwann mtu akifanikifanikiwa anasahau maisha ya wenzake hata kama amesota nae au nao? Ndg zangu hivi serikali inafikiliaaje walimu...
1 Reactions
7 Replies
484 Views
Wapendwa nimeanzisha hii thread kwa yeyote mwenye information kuhusu kuhusu hiyo scholarship inayotolewa na IHI kwa wale wenye admission za masters of public health chuo cha nelson mandela, mana...
2 Reactions
4 Replies
417 Views
Wanajanvi habari za wakati hu, Samahani kwa yoyote mwenyewe ABC Za rotary club of osterbay scholarship, I mean when to apply, inatumia muda gani kutoa majibu na majibu yanamfikiaje applicants...
3 Reactions
12 Replies
399 Views
Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini. Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)...
10 Reactions
508 Replies
93K Views
Moja kwa moja niende kwenye mada inayohusu vyuo vingi lakini hasa Chuo cha Usafirishaji Tanzania (NIT), ambapo limetoka tangazo linalowataka wanafunzi kulipa asilimia 50 ya ada ili kuruhusiwa...
0 Reactions
0 Replies
210 Views
Habarini wadau na wazazi wote katika jukwaa hili... Ukizungumza na watoto wadogo waliopo madarasa ya awali, utakutana na wengi wao wakiwa na hulka au ushawishi wa kujua mambo mengi ya kisayansi...
4 Reactions
18 Replies
645 Views
Aisee naomba wadau wa JF wanijuze utaratibu wa kurudia mtihani wa kidato cha 4 na vitu vinavyohitajika kwenye hili Nilimaliza form 4 miaka 13 iliyopita ila now nataka nirudie mtihani kwa sababu...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Kusoma lugha mfano Kingereza kwa miaka 10 bila kuimudu lugha yenyewe vizuri inadhihirisha uduni wa wa mfumo wa elimu, attitude mbovu au IQ ndogo za wasomaji?
12 Reactions
33 Replies
906 Views
Habari JF, Naomba kuuliz kuhusu PMP(Project Management Professional) certified imeanza kuwa ya lazima kwa baadhi ya taasisi za serikali? Maana kuna tetesi nimesikia kwa taasisi kama TANESCO NA...
0 Reactions
0 Replies
204 Views
Habari wadau changamoto niliyonayo ni Matokeo ya Award Verfication Number (AVN) hayaendani na matokeo yaliyo kwenye Transcript kwenye transcript nina GPA ya 3.8 lakini kwenye AVN matokeo yangu...
0 Reactions
11 Replies
651 Views
Nahitaji kununua TV priority yangu ilikua hisense na skyworth ila katika zunguka yangu hizi TV zimekua adimu sana ila wauzaji wamenambia alitop ni best TV kwa upande wa picha na mimi pia...
2 Reactions
57 Replies
23K Views
Wajuvi wa mambo twendeni kazi, Muuguzi mwenye Bachelor Ni course gani za masters nzuri kusoma
0 Reactions
12 Replies
655 Views
Anonymous
Chuo Kikuu cha Dodoma hakijapeleka baadhi ya taarifa za wanafunzi kwenda Bodi ya Mkopo, mpaka hivi sasa karibu asilimia 40 ya Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza hawajapata fedha zao za kujikimu, na pia...
2 Reactions
7 Replies
517 Views
Nimepata one ya saba PCB nilikosa vyuo vya serikali nikapata vyuo vya private na mkopo sikupata wazazi wakasema Awana uwezo wa kulipa ada ya private nikuwa na waza niende veta nikajifunze ufundi...
3 Reactions
18 Replies
706 Views
Kuna taarifa za kuahirishwa kwa mitihani ya supp iliyptarajiwa kufanyika mwezi wa 12 kama kawaida ambavyo hufanyika kila mwaka. Sababu za kuahirishwa mitihani hiyo inasemekana ni kwa sababu...
3 Reactions
5 Replies
391 Views
HESLB hawatutakii mema hata kidogo haiwezekani moaka leo hii mwezi umeisha lakini hamna pesa ya kujikimu mfano mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma nimefuatilia pesa lakini majibu ni kwamba...
0 Reactions
0 Replies
178 Views
Back
Top Bottom