Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hallow wana jamvi kwa wale ambao wamechaguliwa kuja kuwa student teachers kama mimi na wale wote wanahtaji kufahamu kuhusu chuo hiki cha Dar Es Salaam University College Of Education(DUCE)...
1 Reactions
79 Replies
13K Views
Ndugu yangu anatakiwa kuverify cheti TCU alisoma nje miaka kadhaa nyuma, nchi na chuo vinajuliakana na wamesoma wengi tu huko. Amewasilisha vitu vyote vinavyohitajika anasubiri wampe majibu. Sasa...
0 Reactions
6 Replies
679 Views
Anonymous
Sisi Wanafunzi wa St. John's University of Tanzania cha Dodoma tunakidai chuo hela ambazo tulilipa kabla hatujalipiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), tumeandika barua nyingi sana kuomba...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani naomba kuuliza! wanafunzi waliomaliza kidato cha nne 2023, lini majina ya kujiunga kidato cha tano yatatoka? Necta au wawakilishi wao watuambie lini?
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Usijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha. Dunia ya Leo imejaa Statistical analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza...
65 Reactions
399 Replies
30K Views
Samahan wadau naomben kwa yoyote aliosoma physics a level aniorodheshe subtopic zinasotakiwa kusomwa katika topic ya mechanics kutokana na. Syllabus ya tanzania. Na pia anaejua wapi naweza patia...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kitabu nilichotumia A level Physics ni hiki hapa, na tulikimaliza chote ndani ya miaka miwili. Ninatafuta kitabu cha Physics A level kinachotumiwa leo sijafanikiwa kukipata; mwenye kopi yake...
1 Reactions
3 Replies
617 Views
Niende moja kwa moja kwenye mada kutokana na uwepo wa degree nyingi mtaani bora kuwe na mfumo mpya wa elimu kutokana na kanda husika kutoka primary hadi high level. Kwa mfano watu wa Mwanza...
0 Reactions
0 Replies
151 Views
Wadau habari zenu, Leo nimeona bodi ya mikopo wametoa taarifa lakini ghafla wakaifuta katika mitandao yao ya kijamii, je bado majibu ya appeal hayajatoka rasmi? Naomba tutumie uzi huu kupeana...
0 Reactions
9 Replies
300 Views
Eti waungwana mtu ambaye amesoma course ya community development ni wizara gani anaweza pata kazi.
1 Reactions
17 Replies
6K Views
TAARIFA YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WALIOKATA RUFAA WANAFUNZI 4,676 WAPANGIWA MIKOPO YENYE THAMANI YA TZS 15.5 BILIONI Mfuko wa Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) umetangaza kukamilika kwa upangaji wa...
3 Reactions
1 Replies
295 Views
Hamza Salum ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya amebuni mfumo wa kulinda mitihani ambao unatajwa kuleta tija katika kukabiliana na wizi na...
4 Reactions
12 Replies
473 Views
Mbona kama selection ya form one 2025 imechelewa kiasi hiki? Tatizo nini? Leo tarehe 3 December bado kimya na mwezi ujao ndo January!
1 Reactions
9 Replies
6K Views
Soma kwa makini hizi Scholarship anza kutuma maombi: 1. Commonwealth Scholarship 2024/2025: https://cscuk.fcdo.gov.uk/about-us/scholarships-and-fellowships/ 2. Queen Elizabeth Commonwealth...
15 Reactions
315 Replies
17K Views
Habari wakuu, natafuta chuo au sehem ambayo wanafundisha muziki. Nina mtoto wangu wa kiume anapenda drums sana. Kwa hapa dar es salaam ni sehem gani naweza pata?
1 Reactions
6 Replies
374 Views
Msaada wakuu account yangu baada ya kujisajili Jana nkatakiwa kulogin ,,wakati wa kulogin password nliyoweka akat na sajili iligoma nkajua labda ni mtandao kujalbu mara kadhaa naambiwa account...
0 Reactions
8 Replies
578 Views
Moja kwa moja.. 1. Kusovu past papers imekuwa dili kwa Wanafunzi Kumekuwa na misemo maswali au mitihani inajirudia na hili ni ukweli ambao hauna shaka. Unakuta Wanafunzi pamoja na walimu...
7 Reactions
20 Replies
767 Views
Kwema wadau wa Jf, nauliza hivi umemaliza form four umepiga C mbili ya history na kiswahili, na D ya english na mengine F,sasa ukataka kurisiti masomo mengine matano pamoja na english uliyopata D...
0 Reactions
8 Replies
363 Views
Huwa sitaki kuamini kuwa hapa bongo kuna chuo kigumu kuliko chuo cha Ardhi sana sana kwa kozi ya environmental engineering hawa muda wote wapo busy na engineering drawing na assignments za kutosha...
8 Reactions
142 Replies
23K Views
Wanafunzi wa sekondari (O level) hasa wale wanaopenda science msiache Somo la physics kwa shinikizo la mwalimu au bila kujua umuhimu wake. Walimu wengi hasa wa shule za vipaji wanapenda...
11 Reactions
21 Replies
1K Views
Back
Top Bottom