Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nimeambiwa ni kozi nzuri na inapatikana mzumbe. Napenda kufahamu juu ya upatikanaji wa ajira na mishahara kama unafahamu. Nb:[emoji120] naomba tu mnijibu kistaarabu najua tuna hasira na mambo mengi.
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Je, Hili jina la scholarship ni sahihi? Je, Marais wengine walipewa majina kwenye mkopo ambao fedha ni za walipa kodi? Je, nani alaumiwe, kama kuna lawama, kwa kila kitu kukiita ch aRais hata kama...
1 Reactions
9 Replies
801 Views
Wanafunzi wa shahada mwaka wa kwanza 30,311 Wanufaika 2,157 mikopo ya ‘Diploma’ Wanafunzi 588 kunufaika na ‘Samia Scholarship’ TZS 99.7 bilioni kutumika kuwagharimia mikopo, ruzuku TZS 2.9...
2 Reactions
104 Replies
8K Views
Wakuu Naomba kuuliza kama Kwenye account yako ya sipa kuna allocation ya meals and accommodation pamoja na tuition fee! Ila hakuna disbursement wala check number. Na hujapata message ya boom...
3 Reactions
15 Replies
636 Views
NDUGU Mwana CHUO* Usomapo Usisahau kutafuta connection kutoka nje. Ili ujue Baada ya kumaliza chuo utafanya kazi gani. Chuo kuna TIMETABLE LAKINI Haijasema uwe Unaenda chuo kila Dakika. Au Haina...
3 Reactions
1 Replies
209 Views
Utangulizi Katika ulimwengu wa elimu ya juu, umuhimu wa kuwasilisha kazi za kitaaluma zisizo na plagiarism hauwezi kupuuzwa. Plagiarism si tu kosa la kimaadili bali pia linaweza kuathiri vibaya...
2 Reactions
4 Replies
447 Views
Utangulizi Wanafunzi wa postgraduate mara nyingi wanakabiliwa na kazi nyingi za kitaaluma, ikiwa ni pamoja na assignments ngumu zinazohitaji utafiti wa kina na uwasilishaji wa maudhui ya kipekee...
0 Reactions
1 Replies
196 Views
Wadau nilikuwa naomba maoni yenu juu ya changamoto zinazokabiliwa na maktaba wilaya uliyopo
0 Reactions
2 Replies
266 Views
Habari Wakuu Naomba kuuliza AFISA MAUZO husomea Combination Gan Kwa level ya advance
1 Reactions
0 Replies
132 Views
Habari zenu wakuu? Nina mwanangu amemalz o-level na amepangwa Mining Engeneering na TAMISEMI lakini yeye hataki anataka asome Computer Engeneering. Je, nimuache asome anachoktaka ama aend 2 huko...
2 Reactions
3 Replies
406 Views
Mnamo tarehe 28 Septemba bodi ya mikopo HESLB ilianza kutangaza waliopangiwa mkopo awamu ya kwanza yenye wanafunzi 21,509 wa mwaka wa kwanza kwa mwaka wa masomo 2024/2025. Kadhalika Bodi ya...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Serikali inawapangia wanaomaliza form four kwenda kusoma diploma either ya nursing, clinical officer, pharmaceutical science, tena wanahitaji Mwanafunzi awe na D 4 tu. Mdogo wangu form four...
10 Reactions
94 Replies
4K Views
Habari zenu wana JF mimi ni mgeni humu, na nilikua naomba mnisaidie japo ushauri. Nina mjomba wangu .amemaliza kidato cha nne mwaka huu na nikimuuliza kuhusu ndoto zake na kitu anachopenda...
1 Reactions
9 Replies
432 Views
Wadau, nimejaribu ku'attach' doc hii nimeshindwa. Nimeamua niipaste hapa: WARAKA WA WANAFUNZI WA ELIMU JUU KWA SERIKALI KUHUSU MIGOMO NA MAANDAMANOYA MARA KWA MARA VYUO VIKUU HAPA NCHINI...
1 Reactions
10 Replies
26K Views
Masters by course work na by thesis tofauti yake ni nini hasa?
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Wakuu, Kama kichwa kinavyoeleza hapo juu. Naomba kuuliza Kwa anaefahamu majina ya waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya veta January 2021 lini yatatoka? Maana tuliambiwa tarehe 1/12/2020...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Bila elimu kuna sehemu huwezi ukafika, hii kauli huwa ina maana gani?
1 Reactions
2 Replies
237 Views
Kuna chuo kinaitwa Ebonite cha Kimara Bucha kinatoa Diploma ya Ualimu kwa Kiswahili. Hii diploma ni halali na nikitaka kuthibitisha uhalali wake nafanyaje!?
1 Reactions
2 Replies
310 Views
Anonymous
Mimi ni Mwanafunzi nimehitimu katika Chuo cha Mipango Dodoma Mwaka 2024, changamoto tuliyoipata ni kwamba baada ya Serikali kutuongezea hela ya ada Wanafunzi tuliyokuwa tumeshalipa hatujarudishiwa...
0 Reactions
6 Replies
387 Views
Wizara ya Elimu imelitataja somo la Hisabati kama ni Janga la Taifa Tuanzie hapa, najua kuna wakali wa hesabu humu Jamii Forum Tuanzie hapa kutoa msaada wa bure(Tuisheni) ya Hisabati kwa...
4 Reactions
47 Replies
5K Views
Back
Top Bottom