Mwenye kuelewa namna ya kufanya Apply For Appeal kwenye mfumo wa OLAMS HESLB naomba msaada maana kila nikiingia mfumo unaniandikia "An Error Occurred Please Try Again"
Msaada kwenye tuta wakuu
Wengi wetu tunatamani kufanikiwa, lakini ni wachache wanaojua siri ya mafanikio ya kweli.
Mara nyingi tunaamini kuwa mafanikio yanatokana na kitendo fulani kikubwa au tukio maalum,
lakini ukweli...
Na kumbuka Mabweni ya Urafiki, umoja, maendeleo, ujamaa na muungano!
Nakumbuka shida ya umeme iliyokuwa itokea na kulazimika kutumia chemli!
Kama mtakumbuka Kuna kisima cha kupampu a.k.a...
Habari wanajamii,
Naomba kuuliza jambo kuna mtu amekutwa na changamoto, amepoteza kadi yake ya bank aliye tumia wakati wa maombi ya mkopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kisha kwenye kusajiri...
Kama kichwa kinavyojieleza, Leo mwanangu amenipa taarifa kuwa shule yao,yaan Ubungo Nhc msingi inabadilishwa na kuwa mchepuo wa kingereza
Nikapata mshituko kidogo, ikabidi nifanye uchunguzi...
Chuo cha Uhasibu Arusha kutoa mafunzo ya Uhasibu, Tehama na Uongozi Comoro
Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Profesa Eliamani Sedoyeka anaongoza ujumbe wa chuo hicho katika mazungumzo na...
Comrades and fellow members here are some tips you should know;
Top of Form
Bottom of Form
How to Write an Essay
This concise guide to writing an essay by PhD Professor...
Ni awamu ya kwanza yenye wanafunzi 21,509
Mikopo yao ina thamani ya TZS 70.78 bilioni
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo Jumamosi (Septemba 28, 2024) imeanza kutangaza...
Wakuu karibu tujadili.
Sahivi Kuna sera mpya ya Elimu, na imepitishwa na serikali, na katika sera hiyo, Kuna mabadiliko kwenye eneo la walimu.
Katika sera mpya Ili ufundishe Sekondari ni lazima...
1. Proceed from simple to complex
2. Proceed from known to unknown
3. Proceed from part to whole
4. Proceed from particular to general
5. Motivate learners to learn
6. Do not teach in isolation
7...
Nimejaribu kuzura kuangalia matokeo kwa shule mbalimbali nikilinganisha.privaye schools na kayumba napaa wasiwasi hujuma inafanyika kuzipa promo private schools.
Kwa kweli Matoleo ya ovyo mno...
Niweke wazi kuwa nina maslah ya moja kwa moja na huu uzi.
Nimezaliwa, nimekulia, nimesoma Machame, nimetoka nikiwa mtu mzima kidogo..
Kipindi tunasoma tulikuwa si chini ya Wanafunzi 40 kwa...
Habari ndugu zangu wanaJf
Natumaini mko salama na wenye afya njema. Ninaomba msaada wenu kwa jambo muhimu. Natafuta Kitabu cha Enock kilichoandikwa kwa Kiswahili. Ikiwa kuna yeyote kati yenu...
Mtoto wa dada yangu aliazima joho la mwenzie, akapiga nalo picha kisha akamtumia mama yake mkoani. Lakini kiukweli alikuwa ame DISCO CBE mwaka 2020.
Mama alikuja kugundua baadaye sana wakati...
Habari zenu,
Chinese Government Scholarships zimefunguliwa kwa sasa.
Ni full funded kwa undergraduate, masters na PhD
Ukitaka hatua zote za application zipo kwa website Yao, nenda google alafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.