Jamani naombeni mnisaidie namtafuta mwalimu wa Kunifundisha English so that i can speak fluent English.
Niko karagwe mjini its very urgent i need teacher to teach me fluently English. Niko tayari...
Naomba kuchukua fursa hii kuuliza juu ya mafunzo yanayotolewa vyuo vya ufundi,na kwa umuhimu wa pekee natafuta kujua ni muda upi unahusika kwa mtu kusoma hadi kuhitimu course ya Hotel Management...
The existence of be perfect competition depend on number of strict condition prevailing on the market with firm operates.with example discuss the condition and show if it applicable be in the...
Ombi kwako Rais wangu.
Shule za Serikali za english medium ni chache sana.
Najua unajua ukweli kwamba hata viongozi kama mawaziri na wakurugenzi hawapeleki watoto wao kwenye shule za msingi za...
Ndugu wanafunzi kama mnavyokumbuka HESLB walitangaza majina ya wanufaika wapya wa mikopo(1 year) tarehe 24/12/2020 kupitia dirisha la rufaa.
So nauliza kama kuna mwanafunzi yeyote wa chuo...
Habar zenu jamani mi ni mgeni humu ndan nina shauku ya kujua kuwa naweza fanya kazi ya aina gani baada ya kusomea it?.
Na pia kama nilisoma mchepuo wa arts o- level na mathematics nilifeli je...
Habari za leo wakuu,
Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu njoo tujadili ni sekta zipi katika soko la Tanzania hazina perfect competition of market.
Perfect competition ni hali ya kuwepo kwa...
Samahani,
Naomba kuuliza mtu anayesoma kozi hiyo ya project planning and management anaweza kuapply wapi kazi?
Nahitaji kusoma kozi iyo nitakapomaliza form six.
Msaada tafadhali.
Hakuna jambo baya kama wizi wa mitihani kwani hupelekea kupata mabosi Vilaza na kutuletea tabu kwenye taifa.
Wilaya ya Kilindi ilikua ni mojawapo ya Ngome za uvujaji wa mitihani , ilifikia hatua...
Habari wakuu,
Nina kijana anahitaji kusoma masuala ya ufundi anapenda hasa masuala ya bomba yupo kanda ya ziwa na nikaona Chato ni karibu zaidi lakini mpaka sasa sijui utaratibu wa VETA hii uko...
Wandugu, nimeuliza wahadhiri, wanafunzi wa vyuo hawakueza kunijibu. Je, degree with Honors inakuaje?
1. Kuna waliosema anapewa mtu ambae hakuwahi kuwa kuwa na Supplimentary ila nimeshuhudia wenye...
Katika kukabiliana na tatizo kubwa la wanafunzi wa vyuo vikuu kukosa mikopo,napendekeza zianzishwe tozo maalumu kwa ajili ya kutunisha mfuko wa Bodi ya Mikopo kwa lengo la kuwezesha watoto wa...
Jamani wadau naombeni msaada wenu mm nilifanya mthni wa kujiunga na veta mwaka Jana nikachaguliwa kozi hii LABORATORY ASSISTANT.
Hivyo wadau, naombeni msaada: je, kozi hii vp ajira yake yani soko...
Katika pitapita zangu mjini si nikakutana na mchette akiwa kwenye mishe zake akaniita 'we idara nyeti upo kijana wangu mtukutu nikamwambia mie saivi mtukufu nikakumbuka long maisha ya Kigoma...
Hivi hii taarifa inayoenea kuwa deni linaloonekana kupungua kwenye salary slip ni tofauti na uhalisia uliopo kwenye database ya HESLB ina ukweli?
Tupeni uzoefu kwa mliowahi kuomba Loan statement...
Baada ya watu Jana kuniomba niwaelezee jinsi ya kupata nafasi kusoma ulaya.
Kwa ujumla nchi nyingi ulaya hazilipishi ada kwa wanafunzi(ufaransa +Germany+ Finland+Norway{not sure}[Belgium ipo ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.