Habari Wana jukwaa la elimu, je Patandi teachers college inatoa diploma ya special education; na kama inatoa naombeni maelezo jinsi ya kufanya application.
Shule nyingi za serikali hata zile za private ufaulu katika Hili some ni mdogo Sanaa. Tatizo ni nini? Au necta wana kaza pepa ili wanaofaulu kwenda kidato Cha tano wawe wa Chache kwa kuwa Hili...
Nasikia kuna umoja wa maendeleo ya kata Bwanjai, hata juzi mlifanya mkutano (BWANJAI DAY) wa kuona namna ya kusaidia maendeleo ya Bwanjai. Nadhani pa kuanzia ni hapa shuleni! Diwani Phocus...
Wakuu nilipeleka mgonjwa pale kituo cha afya UDSM-Main Campus. Tukiwa pale Kama masaa MAWILI mfululizo. Panapigwa muziki kwa kelele zote. Najiuliza wanafunzi na wagonjwa wanawezaje kuhimili Yale...
Haya ndo matokeo halisi ya shule zilizozagaa mitandaoni kuwa zimekuwa za mwisho katika mitihani ya kidato cha nne 2020.
1. S 3110 Chingungwe ina div I 1, II 1, III 8, IV 27, 0 2. Na imeshika...
toka kupata uhuru wa nchi yetu mwaka 1961 mpaka sasa kama nchi tumepitia mabadiliko makubwa sana kwenye swala la elimu, mabadiliko hayo yapo ambayo yamekuwa na faida kubwa na mengine yameleta...
Wapendwa! Naomben ushauri wenu
Nina mdogo wangu amemaliza form four na amepata four ya 26
Kiswa B, English C, Lit Engl D
Bios, Civics, Geog---- D
Hist F and Math F
Je, anaweza kwenda kusoma...
Mungu ni mwema mdogo wangu amefaulu kwa kupata daraja la kwanza na alama 16 (1 point 6). Physics na Mathematics amepata D. Ila Biology B, Chemistry B na Geography C. Lengo lake lilikuwa ni kusoma...
1.abide..............by
2.absorbed....... In
3.abstain ......from
4.Accomplice......with
5.accused...... (Sb)of(sth)
6.accustomed..... To
7.addicted........ To
8.adhere........ To...
Kama nilivyoelezea hapo wakuu, Kunae ndugu yangu mmoja anahitaji kwenda diploma ila natamani aende kama government sponsored student ili kupunguza gharama.
Kwa yeyote mwenye kufahamu hili na...
Wakubwa Shikamoni, vijana wenzangu wa kike na wa kiume habari zenu?
Natumaini sisi sote tunaendelea vizuri na shughuri zetu za kila siku na M/mungu yu pamoja nasi tumeuona mwaka 2021 but si kwa...
Habari za leo wadau Great Thinkers,
Sasa leo naombeni mnipe mwonozo maana nimechoka kugoogle mimi nimehitimu degree in civil engineering mwaka 2018 na nina GPA ya 3.1 na hapa nina wadau wangu...
Imezoeleka shule za sekondari kuwa Kuna utitiri wa vitabu vya fasihi kwa wastani havipungui 12 nje ya vitabu vya masomo mengine ya kawaidaz ambavyo kimsingi mchango wake ni mdogo Sana kwenye...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natanguliza salamu.
Ni kwamba kuna mtoto wa ndugu yangu kutokana na changamoto fulani fulani anazopitia alitaka kuhama shule aliyoripoti mwaka jana mwezi wa...
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa JamiiForums.
Kwa hiyo, shule zinafunguliwa Jumatatu (11 Jan 2020) halafu Jumanne mapumziko tena ya sikukuu (Mapinduzi Day)?
Kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.