Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
KWA WALIO KOSA SELECTION FORM FIVE. Soma hapa👇👇👇👇👇👇👇👇. Usipate stress kwa waliokosa nafasi kujiunga kidato cha tano na wanao itaji kurudia mitiani kidato cha NNE, SiTA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Naomba msaada kwa anayefahamu namna ya kufanya ili kupata uthibitisho wa vyeti vilivyopotea unaokubalika au kutengenezewa vingine.Nimepoteza vyeti vya chuo
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari ya asubuhi wandugu Naomba mwenye hiyo syllabus ya pre & primary syllabus in Tanzania pamoja na teaching and learning materials kwenye soft copy anisaidie Asanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar za jioni! Nina mtoto anasoma form six shule moja huko mkoani ya serikali, hivi tunavyoongea kafukuzwa shule kwa makosa ya utovu wa nidhamu. Nimejaribu kuongea na mkuu wa shule kumuomba...
0 Reactions
3 Replies
810 Views
Wakuu naomba ushauri: KIjana anafikiria kuanza masomo ya Diploma IT jijini Dar mwezi march/april 2021 lakini vyuo vyenye March intake ni vichache. Najua UCC wana dahili intake hiyo. Swali je...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Msaada nina mdogo anasoma Bachelor of Nursing ila anahitaji kuhamia Md. Je, inawezekana kuhamia baada ya semister ya kwanza au anaweza kuhamia MD akiwa anaingia mwaka wa pili.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
EDIT: THE ORIGINAL TITLE WAS, Private Candidate Primary School Tanzania. The thread title was stealthily edited. Shame on the mod who cannot formulate his/her own ideas and stand by them. If you...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ajira mpya za walimu mlizoajiri mwishoni mwa Mwaka jana mtu amepata ajira na ameripoti , mnamuandikia barua tena ya kusitishwa ajira sababu ikiwa hajasoma General studies huku mkijua kuwa Vyuo...
4 Reactions
52 Replies
6K Views
Wadau angalieni matokeo ya rufaa kidato cha sita 2020. Hakuna liyeweza kubdili grade ya mwanzo. Swali la haja: Kama kuna mwenye kujua hizi rufaa zinakuwa handled vipi i.e aliyeomba rufaa...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Niaje wadau, nawatafuta waliomaliza form 4 mwaka 2012 pale St. Mathews kwa boss Mutembei mwaka 2012. Asee wadau nimewamiss sana, the likes of Mr. Kaskazi, Mutembei, Mr Bokole, Muhikwa, tule...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mzazi wake anaomba ushauri kuhusu kijana wake kapata 1v ya 26 Eng B Phy F Chem D Kisw F Engl B Civ F Agric F Hist D Bio C Math D Anaweza kuenda advance?au arepeat maana kijana anataka PCM
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wadau! Katika kusoma au kusomesha usije kuruhusu au kusomesha mwanao course ya ualimu. Hii kozi ni ya watu ambao hawajui kesho yao. Mimi Kuna mdogo wangu kamaliza chuo mwaka huu. Nimeamua...
5 Reactions
42 Replies
7K Views
Wanafunzi wengi ambao walipaswa wapite katika mfumo wa kawaida wa masomo ya sekondari ambao walipaswa wawe darasani na kupata elimu nzuri ihususuyo mazoezi na mitihani ya mara kwa mara, sasa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Huyu ni mtoto wa ndugu yangu, anadai haikumbuki namba yake, ila ukweli ni kwamba anajaribu kuficha matokeo yake.
4 Reactions
39 Replies
4K Views
Wakati matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa Januari 15 mwaka huu yakionyesha ufaulu kupanda kwa asilimia 5.19, zaidi ya nusu ya waliofanya mtihani huo wamepata daraja la nne. Kulingana na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
MAKOSA 3 YA MAISHA YANGU -na Chetan Bhagat MUHTASARI Makosa 3 ya Maisha Yangu yanazunguka Govind, Omi, na Ishaan. Ingawa wana haiba tofauti, mapenzi yao kwa kriketi huwaunganisha. Wanaamua...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Hellow.. Mimi ni muhitimu wa kidato cha nne nina divison 2 ya point 19 physics nimepata D chemistry B biology C math C Geography C Je. naweza kuchaguliwa kwenda advance kwa combination gani?
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Leo mida fulani hivi nilimuuliza dogo langu ambae amepiga pepa la form mwaka jana 2020 anipe matokeo yake nikiwa na shauku labda dogo amepiga vizuri pepa. Dogo ameniambia amepata Div 4...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom