Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari zenu Wana JF, Mtu aliyesoma veta kozi ya muda mfupi anaweza kusoma diploma?
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu SUA. Naombeni msaada wa jinsi ya kuandika barua ya kuhairisha mwaka chuo kikuu!!
0 Reactions
25 Replies
16K Views
Habarini wanajamvi Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kwa muda mrefu sasa najaribu kufanya mawasiliano bila mafanikio kwani namba zao hazipokelewi na email address haijibiwi. Kama kuna namna...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenye uelewa kuhusu hatua za kubadili jina na nini kinatakiwa ili liweze kubadilika anipe mwongozo maana ni mhitimu wa VETA vyeti vingine vinasoma PASCHAL ila cheti cha VETA ni PASCAL Msaada...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nawezaje kuyapata hayo mapepa tafadhali. Mwenye namna ya kujua kupata mapema anipe connection kwa namna yoyote ili lengo litimie. Location; Dar es Salaam. Kwa maongezi zaidi PM ihusike
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nilikua naomba kujua kwa anaefaham vyuo vya nursing vinavyotoa march intake please
0 Reactions
0 Replies
783 Views
wanajukwaa la elimu kwa JF naomba msaada napataje form ya maombi ya chuo cha DIT(Dar es salaam Institute of Technology). Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
3K Views
deleted
0 Reactions
1 Replies
740 Views
Wana Jf naomba kuuliza Ivi mtu aliemaliza diploma ya clinical medicine anaweza chukua degree ya anaesthesia kama ana specialized au itabidi ashuke chini tna upya kwa ngazi ya diploma??
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Habari! Naomba kifahamishwa majina, sehemu na kiwango cha ada kwa shule za msingi zinazofuata mtaala wa kimataifa (international Schools) zenye ada ya kawaida. Sihitaji hizi IST n.k Shukran!
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Salaam wanajukwaa , naitwa omary mkazi wa iringa, ninaweza kuandika mambo yanayohusu fasihi(ushairi, riwaya,tamthiliya na hadithi fupi), sijawahi kufanikiwa kuandika kitabu lakini naishia...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Inafahamika kwa ngazi za chini za elimu mathalani elimu ya sekondari mwanafunzi akiona ana mapungufu sehemu anaomba kukariri darasa na anakubaliwa bila tatizo lolote,je jambo hili kwa ngazi ya...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Hii shule ni Moja kati ya shule bora katika kuaanda watoto level ya primary. A full Graduate wa shule hii humlinganishi na katoto ka shule yeyote ile hapa Tanzania katika communication skills...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Nilitembelea Center moja katika zile zinazotoa elimu ya Computer Nikakuta mfumo tofauti kidogo na mifumo tuliyozoea. Wao wanatoa Diploma kwa mwaka mmoja, Advanced Diploma kwa mwaka mmoja zinaitwa...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Nina ndugu yangu alikuwa IFM, cheti kilikuwa na makarai mengi kwasababu yeye chuoni alikuwa mzee wa bata sana, Baada ya kuona ana GPA ya 3.1 hakufurahi kwasababu kazi ya ndoto yake ilikuwa kuwa...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
hbari wadau naomba kuuliza hvi ni lini chuo cha walimu veta kinatoa maombi ya wanajiunga na mafunzo ya ualimu veta.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu. Kwanza natoa pongezi kwa uwepo wa jukwaa hili kwani limekuwa msaada mkubwa kwa watu wengi especially kimawazo. Nahitaji Sana kutiwa moyo kipindi hiki kigumu kwani matokeo...
2 Reactions
126 Replies
16K Views
Mambo n vp wadau wa "JF" Thumuni la uzi ni kuomba msaada toka kwenu kwa mwl yeyote mwenye scheme of work form 3 naomba anisaidie Natanguliza shukrani [emoji120]
1 Reactions
2 Replies
978 Views
Habari za muda huu waungwana. Samahanini kwa usumbufu mimi ni kijana niliemaliza kidato cha nne mwaka 2007 na kupata division four ya point 27. Na matokeo yangu ni kama yafuatayo: B/MATHEMATICS...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom