Hbari za jioni,
Naomba aliye na andiko mradi wowote unaohusu shule naomba anisaidie nina shida nalo sana !! Nataka kutumia kama fremu work niandae kazi mradi ya shule, natanguliza shukrani zangu...
Habari wana Jamii forum! Kuna dogo Amemaliza Form Four na matokeo yake sio ya kuridhisha kwakweli amepata Division 4 ya Point 29 ambayo ni
KISW - C
ENG - D
GEO - D
HIST - D
CIV - D
ENG LIT - F...
Habari Jf,
Nina kijana wangu kahitimu elimu ya secondary mwaka 2020 kwa ufaulu ufuatao;
Physics-D
B/Mathematics-D
Civics-C
Chemistry-C
Geography-C
History-C
Biology-B
Kiswahili-B
English-B
Div-...
Wadau salama?
Walimu wale tulioajiliwa kipindi cha kampeni za uchaguzi kuna ambaye kaingiziwa pesa za january? Maana Desemba ilikuwa hakuna kitu na january kwangu hakuna kitu afu sina hapa pesa...
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein amesema kuna haja ya sera ya elimu visiwani humo kuwa ya kisasa zaidi ili kuendana na mabadiliko mbalimbali yaliyotokea katika sekta hiyo.
Dk Mwinyi amebainisha...
Habari zenu wadau wa jukwaa hili!
Naomba heading ya sred ihusike!
Nimekua nikipata changamoto ya jinsi gani yakumuhakikishia mwajiri mtarajiwa juu ya kigezo cha kitaaluma cha stashahada ya juu...
Draft a simple contract for sale of 50 computers worth of 50 million tzs,between PLANET CONNECTION CO LTD as Seller and CITY STAYLEY GROUP as a buyer payment will be by cash,the contract is on...
Ninataaluma ya Ualimu,mpango wangu ni kufungua tuition centre,kipindi nasubiri Ajira Serikalini (Allah akijalia).
Ni vigezo vipi vinahitajika,hatua zipi nifuate?
Kuna kodi?
Wenye uelewa au...
Kusoma hakuishi kabisa yaani.
Wataalam wa Accounts nisaidieni
haka kaswali, wakuu.
"Mechanism used in dealing with professional misconduct of accountants"
Leo Tanzania tufanyaje juu ya wasomi wetu wanao hitimu kila mwaka vyuo mbalimbali???
Kila mwaka huku mtaani kwetu tumekuwa tukipokea wasomi mbalimbali tulio somesha kwa gharama nyingi sisi wazazi...
Eliasi Kihombo T.O mwaka 2006 na Tishio katika baadhi ya vitabu vya advanced physics katika kurasa ya mwanzo kabisa ameandika kama ifuatavyo:-
""This book contain embedded holograms in some pages...
Habari zenu jamani,
Nauliza ukisoma degree ya public administration.
Unaweza fanya kazi gani kwa hapa Tanzania?
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Ni ipi Kati ya hizi combination mtu akipiga One jamii inamuangalia tofauti? Tuchukulie wote wana one ya tano (1.5)
Nani ataonekana zaidi ya wenzie?
1 - PCM
2 - PGM
3 - PCB
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.