Ndugu wana JF natumai mko salama kabisa.
Lengo la kuanzisha uzi huu ni kutaka kujua mchango wa wataalam wetu juu ya janga la corona ama covid19?
Wakati mataifa mbali mbali yakihangaika kutafuta...
Inasemekana kwamba, wamiliki wa hotel ya Ngurdoto, wamewapa chuo cha uhasibu Arusha, siku zisizozidi 90 kuwa wamewahamisha wanafunzi wote walihamishiwa hapo Ngurdoto kutokea Njiro Compus. Tetesi...
Kutokana hali ya maisha inavyokwenda nimejikuta nataka kufanya kazi ya ualimu nifundishe
Angalau tuition au wanafunzi wa shule ila ningependa kufahamu mambo muhimu ya kuzingatia kama mwalimu...
Habari za wakati huu, ni matumaini yangu kuwa mnaendekea vizuri na shughili za kujenga taifa..hongereni sana
Kuna mdogo wangu yupo chuo kikuu mwaka wa kwanza chuo kikuu cha dodoma (udom) anasomea...
Mimi ni mdau wa Elimu, napendekeza Sana tuweze kubadili mfumo mzima wa Elimu kwa kuwa pengine inaweza kutokuwa na faida ya kujinasua na wimbi la umasikini.
Miaka Michache ijayo tutakuwa na...
Kumekuwa na wimbi la kuchapisha mitihani maeneo ya mijini kwa siku za hivi karibuni nimeona video imesambaa kwenye mitandao kuwa sasa ni marufuku kununua mitihani hiyo wasiwasi wangu biashara hii...
Kama kichwa kinavyojieleza ninaomba MSAADA wa kitabu tajwa hapo juu kwa yeyote mwenye nacho in soft copy. Mwandishi ni Mwl. Ambrose Odhiambo wa Bagamoyo.
Habari za asubuhi, naenda straight to the point Niko mwaka wa mwisho nachukua Multimedia Technology and Animation. Nilikuwa naomba kupata idea nzuri ambayo inaweza ikawa tatizo katika jamii yetu...
UTANGULIZI
Kuanzia wiki ya tar 4 mpaka tar 12,mwezi wa tisa zilikuwa wiki muhimu sana kwa wahitim wote kutoka vyuo mbali mbali vya elimu ya juu hapa Tanzania, kwani ni wiki ambazo wengi wetu...
Ordinary Diploma in Computer Science VS Ordinary Diploma in Computing , Infomation Communication Technology.
Ni kozi ambazo zinatolewa na chuo Cha Jordan University hapa Morogoro kwa upande wa...
Habarini za muda huu wakuu.
Nilikuwa nauliza.. kama mnufaika wa mkopo wa elimu ya juu (HESLB) nikiamua kusitisha masomo chuoni kwa mwaka husika, halafu nikataka kuomba tena kwa mwaka unaofuata...
Ni kweli hii au ni usanii tu? Maana majina ya mawaziri na wabunge wenye vyeti vya bandia yalikabidhiwa kwa spika na yeye akadai kukabidhi majina hayo polisi lakini hadi hii leo hatujasikia...
Nimehama chuo(transfer) nilikuwa na mkopo lakini ni pungufu ukilinganisha chuo nilichopo. Je, Mwakani itanibidi niombe tena?
Naombeni mnisaidie wakubwa
Naombeni msaada mimi ni muhitimu wa kidato Cha nne kwenye selform yangu nilijaza advance ndo chaguo la kwanza lakini Kwa Sasa nimebadili maamuzi nahitaji kwenda health college nikibadili Tahasusi...
Mwanafunzi mtanzania Felister Rushubiza, ameibuka kidedea kwa kuongoza kitaifa katika matokeo ya kumaliza elimu ya juu ya sekondari yaani 2018 Grade 12 Ordinary Level Top Ten, yaliyotolewa nchini...
Nimemaliza degree yangu ya kwanza mwaka huu mwanzoni ktk chuo kikuu huria tanzania na nilisoma bachelor of social work na nilifaulu kwa GPA ya 4.3, sasa ninaomba ushauri nisome faculty ipi kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.