Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Mdogo wangu mtihani wa kidato cha nne mwaka huu amepata Kiswahili B English C Geography D History D Biology D Geography D Biology D Hesabu D he ataenda kidato cha tano?
0 Reactions
3 Replies
996 Views
Hvi kuna utofauti gani kati ya Audit Plan na Audit Program pia naomba types za audit program kwa anaefahamu.
0 Reactions
1 Replies
783 Views
Wafamasia wote bila kujali ni wa kada gani tukutane hapa, kujadili ishu zetu mbali mbali! Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
38 Replies
7K Views
Habari wakuu. Naombeni Mwenye kujua kitabu kizuri kinachohusu Electrical Installation activities na Electrical Maintenance na Shughuli zote za Electrical eg.Calibration maeneo ya kiwandani au...
1 Reactions
0 Replies
810 Views
Hivi kuna mtu yu na mawazo kama yangu? Tunahitaji nchi ya viwanda, kujiajiri na ubunifu na ujasiriamali Nadhani somo la ujasiriamali na utengenezaji wa bidhaa vitu na mitambo ndio lingetiliwa...
6 Reactions
27 Replies
3K Views
Mwenye ufahamu anisaidie kujua unverified increase account in Transit ni nini na ina athari gani kwa Financial statement?. Naomba mnisaidie maana nimebananishwa na mhasibu anajibu querry za TRA.
0 Reactions
2 Replies
838 Views
1.Soko la hisa ni nini? 2.Bidhaa za ndani ya soko la hisa.. 3.Hisa (shares) ni nini? Unapataje faida katika hisa.. 4.Hatifungani ni nini? Unapateje faida katika hatifungani.. 5.Umuhimu wa soko la...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wakuu, Naomba kuulizia chuo kinachotoa certificate and diploma of law, kwa March/April intake.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwanza naomba nitangulize samahan kama ntakua nmetoka nje ya jukwaa husika,ila pia ntaomba msamaha wenu uambatane na maelekezo kuwa napaswa kwenda jukwaa lipi. Mimi ni fundi kuchomea (arc...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu Habari, Kama kuna mtu ambaye amewahi kusoma college hii inayotoa Kozi zake kwa mfumo wa Online,Naomba atusaidie juu ya eligibility yake na equivalency ya certificates zake kwa vigezo vya...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau, Kuna wanafunzi wengi wamalizapo form six au diploma huamua kwenda chuo kikuu kusoma kozi ambazo hawazifahamu vyema. Baadae mtu anakuja kugundua kuwa alifanya uchaguzi mbovu baada ya...
17 Reactions
453 Replies
91K Views
Wadau mbali mbali mliomaliza six karibuni muapply open kwani nichuo kizuri sana ila wengi wetu hawakijui vizuri, karibu tujuzane
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Once you graduate from college and land a job, your next immediate concern is how to succeed in your career. Because the world has become so competitive, doing well in your job and moving forward...
2 Reactions
0 Replies
508 Views
Kwa mara ya kwanza kabisa naingia jukwaa hili la elimu nimepitia michango michache nami nina jambo naona ni muhimu pia kwa lengo la kuboresha elimu yetu Shule chache za Sekondari zimekuwa na...
0 Reactions
0 Replies
611 Views
Naweza kupata wapi video za hivi vitabu? Watoto wangu wanataka kuangalia video zake Kama zipo. Ahsanteni.
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba kujua chuo kinachotoa degree katika fani za IT chenye masomo ya jioni kwa hapa Dar es Salaaam?
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu habari, Baadhi ya vyuo vimeanza kutoa matokeo kwa waliochaguliwa kujiunga na vyuo hivyo. Mfano chuo cha NIT na CBE sijajua kwa vyuo vingine hivyo login katika website chuo kwanzia leo mpaka...
7 Reactions
1K Replies
126K Views
Inabidi nianze field j tatu lakini Nina stress sana naogopa kuharibu kazi za watu huko field nifanyeje alafu mood sina kabisa ya kufanya field.
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Wanabodi, Mengi yameongelewa kuhusu ufaulu wa safari hii wa ST Francis secondary yaani nusu ya darasa kupata division one za point 7.Point saba kwa kidato cha nne ndio kiwango kikubwa cha ufaulu...
34 Reactions
164 Replies
21K Views
Habari wataalam, kuna ndugu hapa ameomba kupata information kutoka kwa wadau..ni hivi jamaa aliharibu matokeo ya bachelor hayakua mazuri (GPA) lower second. Kwani hakua serious na shule wakati...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Back
Top Bottom