Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Naomba kujua taratibu za Scholarship kwa aliyemaliza degree ya HRM. njia za kupata scholarship
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Wasalaam, ninaombeni msaada wa notes za English paper one na Two Kwa Advanced level. Ahsanteni.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani nauliza tu hivi naweza kusoma kuazia chekechea mpaka chuo kikuu na kufikia kiwango cha phd bila ya kwenda kusoma ulaya au nchi za nje
2 Reactions
11 Replies
2K Views
wakuu naombeni ufafanuzi kwa mwenye uelewa kuhusu hiki kinachoitwa A degree with honours
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari Jamani naombeni mniambie jamani ninaweza kusomea makeup kwa miezi 3? Nikawa makeup artist? Na je nitapataje wateja kama sina saluni? Na je makeup inalipa kwa maisha ya sasahivi???
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nilinunua kifurushi cha mwezi voda kwa bahati nzuri kuna dakika na data zimebaki na muda wa mwisho wa matumizi ni kesho Je kuna namna naweza kuokoa hilo salio?
0 Reactions
1 Replies
541 Views
Schools are non business organizations.But it is surprising that in Tanzania they have become business organizations.They have become profit oriented more than meeting the community goals. This...
1 Reactions
3 Replies
489 Views
Mwenye kujua tarehe mwisho wa kulipa hela ya mtihani ni lini
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana JF, Bila kupoteza muda wenu, Ninaomba kujua ni wapi wanafundisha kupiga vyombo vya mziki kama gitaa na piano kwa Jiji la Dodoma. Nashukuru
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Salam wana jamvi! Dogo angu kapata LOWER SECOND WITH HONOURS. Hivi nini maana yake na inafaida gani katika life applications
1 Reactions
73 Replies
26K Views
Bachelor degree with Honours should be awarded only to a candidate who completes studies within the prescribed period of the programme at second class level and above and without supplementing any...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Ivi honourable degree zipo? Zinakuaje?ili uipate ufanye nn? Ukiipata ina faida gani? IFM wanazitoa?
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Wana jf msaada wenu jaman.Natafuta chuo cha kusoma katika fan ya autoelectrical na hasa wawe wanafundisha huu mfumo mpya wa electronics na ikiwezekana kama wanafundisha na jinsi ya kutumia...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Hivi mtu mwenye four ya 26 alafu ana hisC geogC engC kiswC civD biosF alf math hakufany physics hakufany na kemia ila alijisajiri vipi anaweza kwenda advance? Na je cheti chake watamuandikia vipi...
0 Reactions
5 Replies
895 Views
Ila me najiuliza kibongo bongo wasanii wengi hawajasoma ila wametusua bila elimu, je ni kweli kipaji na elimu hutegemeana?
0 Reactions
1 Replies
619 Views
Niliapply chuo mwaka Jana nikachaguliwa vyuo viwili Ila sikufanikiwa kwenda na pia siku confirm vyuo vyote viwili je? Naweza kuapply tena mwaka huu
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanabodi, Kama ilivyo ada ya maendeleo ya tecnolojia ya habari na mawasiliano yaani TEHAMA. Kuna kijana kaamua tu kusumbua watu huko Arusha,ame hack website ya chuo kikuu cha Tumaini Makumira...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimefaulu Chemistry, Biology na Geography form 4. Je, ni kozi gani nzuri naweza nikapata chuo. Note: Hesabu nimefeli
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Salam, Je, naweza kusoma IT nimefeli Fizikia tu kama naweza ni kozi gani nzuri chuo bora cha binafsi au serikali ila ada iwe nafuu napendelea mkoa wa Dar. Nitashukuru kwa msaada
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Niliapply chuo mwaka Jana nikachaguliwa zaidi ya chuo kimoja ,Ila sikufanikiwa kwenda na pia siku confirm vyuo vyote viwili . Je? Naweza kuapply Tena mwaka huu
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Back
Top Bottom