Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wale wote tuliosoma Moshi Tech tupeane stori za miaka hiyo nakumbuka kuna Mwalimu alikuwa anaitwa Mpande ikifika saa 11 tayari yupo mabwenini anaamsha watu mchakamchaka alikuwa noma soma huyo...
1 Reactions
3 Replies
872 Views
Kudos kwenu! Wakuu naomba msaada wa kupata vitabu vya advance soft copy vya language 1. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu natumaini hamjambo mnaendelea na majukumu ya kutafuta mkate wa kila siku. Naomba mwenye uelewa na kozi tajwa hapo juu na chuo kinachotoa hiyo kozi kwa ngazi ya shahada anisaidie...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amwagiza mzabuni wa kufunga mashine katika kiwanda cha kuchapisha vitabu kilicho chini ya Taasisi ya Watu Wazima kukamilisha...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Wasalaam, Natumai mko poa. Naomba mwenye anajua au mwenye nayo syllabus ya computer study inayotumika kwa Sasa anijulishe naipata vipi /anipe(in soft copy) Natanguliza shukrani.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za Nazi wakuu poleni na majukumu, Niende kwenye mada moja kwa moja Hivi kuna mtu anayejua kozi ya Mortuary Attendance inapotolewa hapa Tanzania kwa level yoyote ile?
2 Reactions
14 Replies
5K Views
Habari wakuu. Nimemalza kdato cha 4, 2013, na nimescore div one ya 12 {A ya bios na math, zlozobak B+ kasoro civic ndo B}ila kutokana na matatzo ya kiafya nilisoma kwa miez miwili 2,mpaka juz...
0 Reactions
75 Replies
34K Views
Skills au ujuzi upi ni muhimu kuwa nao kijana wa kitanzania mwenye umri kuanzia 18 na kuendelea labda mwisho35 (awe ana soma au yupo mtaani.)vyovyote vile ilimradi kijana. Nia na madhumuni ya uzi...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari za muda huu na hisi kuna sehemu na kwama kwenye kusoma kwangu hivi ni kipi natakiwa nianze kusoma kati ya notes za mwalimu au hivi vitabu reference books shida yangu kubwa niwe na utambuzi...
0 Reactions
3 Replies
777 Views
Najiuliza swali Hili: Kutakuwa na masomo mawili ya Historia huku somo la Sasa likiendelea kufundishwa kwa kingereza? Je kutakuwa na somo jipya la Historia ya Tanzania litakofundishwa kwa kiswahili...
4 Reactions
77 Replies
5K Views
Nina mtoto wa dada yangu amemaliza degree ya sociology!!! Mwaka 2019 Toufil kisanji mbeya!!anataka kusoma master ya sociology UDSM!!hii ni baada ya yeye kusema anaona bora akasome mastazi ili...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salama wanajamvi. Nimekuwa natafuta sana kuona au kujifunza historia na asili ya mirengo ya vyama vya siasa. Kama yupo wa kuweza kunisaidia naomba msaada ntajifunza kwa lugha yoyote. Naomba...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana Jf, Naomba mwenye notes [pdf] za Physics, Chemistry na Biology form five anisaidie. Nawasilisha.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu ninaomba msaada wa kupata vitabu vya Shule ya Msingi, ambavyo ninaweza kupakua toka mtandaoni. English for Standard Seven, Pupils Book. Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi- Darasa la Saba...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari za muda huu ndugu zangu, naombeni mifano ya cases report maana nahitaji kuandaa cases zangu ila kinachonishinda upangiliaji mzuri wa kazi, asanteni sana na samahani kama kutakuwa nimetumia...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Naomba msaada kwa wenye ufahamu juu ya performance ya Amana bank katika hizi five consecutive years up to 2019 by using CAMELS rating model. Nataraji msaada wenu wakubwa!!
0 Reactions
0 Replies
647 Views
Na nyinyi jaribuni bahati zenu kwa kuomba scholarships nje.. Tanzania (Chevening Scholarship) | Chevening Tanzania - University of Liverpool Tanzania | University of South Wales Your country...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wakurugenzi? Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naombeni maelekezo kwa wenye uzoefu, nahitaji kujua √ Taratiibu za usajili √ Mahitaji ya kuanzia √ Changamoto zake
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu poleni na hongera kwa shughuli za kutafuta riziki. Naomba wale wote wenye experience ya maisha ya ghetto pindi wapo chuo, mnaweza nipa muongozo mdogo wenu ni kwa namna gani nitaweza hustle...
6 Reactions
62 Replies
15K Views
Sheria inasemaje kuhusu hili? Ikiwa mtu umeamua tu kuanza kusoma upya toka elimu ya form one? na ukafuata utaratibu wote kama vile ada, sare n.k Kiufupo nimemiss tu kuwa darasani na kufundishwa/...
5 Reactions
31 Replies
4K Views
Back
Top Bottom