Naombeni msaada jamani comb gani mngenishauri kusoma nilianza kufanya mtihani wa QT 2019 then mwaka jana nikafanya CSEE 2020 Mungu amesaidia nina Dvn 1:12 lakini natamani kusoma CBG advance nipeni...
Angalau hicho chuo kiwe kinatoa kozi mojawapo inayohusiana na magari. Kiwe ni chuo cha private. Nasisitiza.
Kama una mtu wa aina hiyo au ni wewe, please naomba tuwasiliane. Nina shida ya muhimu...
Uzi huu nimeamua kufikisha jamvin kwa lengo la kuonyesha njinsi Uongoz wa SUA unavyofanya mambo kwa kutokutafakari kwa kina kama Ifuatavyo;
Hivi punde uongoz umechukua maamuz ya kuwafutia pesa...
Wakuu natanguliza salaam.
Kiukweli hii tabia ya serikali kufungia vyuo hasa vya ngazi ya chini tunaoteseka ni sisi maskini. Unakuta mzazi amejichanga na kuweza kulipa ada ya chuo husika ndani ya...
Wakuu JamiiForums ndio kibanda changu cha ushauri hapa nafurahi kushauriwa mambo kadha kadhaa na wadau,nikipata shida nakuja hapa naamini kuna wataalamu mbalimbali.
Ni hivi wakuu mimi nimemaliza...
Habari zenu wadau,
Hapa mkoa wa Mwanza Shule ya Msingi Nyanza imeabadilishwa kuwa ya English medium. Ni moja ya shule za msingi kongwe hapa mjini alizoacha mkoloni mana nikipitaga hapo nje...
Husika na kichwa hapo juu mm ni mwidofo napenda kuuliza vigezo vya mtu kujiunga na Chuo cha wanyamapori ngazi ya degree namanisha ni masomo gani wanaangalia kwa upande wa advance ...Ahsante
Mimi nimemaliza form 4 2020
Nimepata
Kiswa- B
History D
Eng- C
Geo - C
Civ - C
Bios - C
Math F
Nina division 3 ya 23.
Je, naweza kuchaguliwa shule za serikali?
Wadau natafuta shule ya secondary kwa ajili ya mwanangu, yupo kidato cha kwanza, kwa hapa Dar shule gani nzuri napenda asome day, nipo Kimara ada isizidi 1,400,000
Community development na public administration ni kozi ipi Kati ya hizi nimshauri ndugu yangu akasome maana matokeo yake ya form four siyo mazur
Biology-b
chemistry-f
Physics-f
Math-f...
Wakuu Habari,
Naomba msaada wa kujua ni njia gani zinaweza kutumika kukariri darasa kwa mtoto aliekuwa kidato cha kwanza na ambae nahitaji arudie tena kidato hicho hicho kutokana na ufaulu wake...
Hebu jamani hivi kuna tofauti kubwa sana kati ya wazee wetu walioishia darasa la nane na hawa graduates wa leo wa chuo kikuu?
Graduates hawajui Kiingereza wala Kiswahili fasaha.
Uandishi wao na...
Katika kusoma soma huku na kule nimekuatana na kitu ambacho kimenichanganya; labda nilete kwenu wana ndugu. Ipo hivi:
Katika kufuatilia historia ya Dinosaurs inasamekana kwamba waliishi miaka...
Habarini Wakuu, poleni na majukumu
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza mimi ni mwanafunzi nasoma degree ya Procurement and Supply Management. Nilikuwa naomba mnishauri kampuni au taasisi nzuri za...
Kwa wale ndugu waliohitimu na kufaulu kidato cha nne mwaka 2018.
Serikali imetoa fursa kwa wanafunzi waliofaulu kidato cha nne mwaka 2018 na wanaotegemea kujiunga na kidato cha tano pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.