Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Natumaini mpo salama wana jf, Nina swali hapa, napenda kupata maelezo kwa anayeelewa zaidi kuhusu course inaitwa NABE. Sijui ina maana gani ila kwa tetesi nasikia usipofikisha 'D' 4 form four...
2 Reactions
10 Replies
6K Views
Wakuu Kuna uwezekano Bodi ya mkopo kusitisha mkopo kisa carry over ya course moja.?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu Kuna uwezekano Bodi ya mkopo kusitisha mkopo kisa carry over ya course moja?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Today I want to speak about success through the famous book titled '' SECRETS OF THE MILLIONAIRE MIND" BY T.HARV EKER. from Eker's work I am encouraged with the following quotations:- 1. "if you...
1 Reactions
6 Replies
826 Views
Habari zenu wana jukwaa! Nimekuwa nikijiuliza sana hilo swali mpaka sipati jibu. Eti lecturer anatoka Dar Anakuja kufundisha Dodoma INA mana kuna uhaba sana Wa vijana Wa Ku cover hizo nafasi...
8 Reactions
41 Replies
5K Views
Ninaomba kama kuna mdau anaweza kuni connect na DJ yoyote anayetoa mafunzo ya UDJ hasa kwa mashine hizi za kisasa pioneer Serato etc. Nina kijana naona mzuka wake ni kuwa DJ, ndoto yake ni kuwa...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Sorry ukitaka kuwa petroleum engineering unaweza kuchukua PGM a level au ni lazima kuchukua PCM.
1 Reactions
52 Replies
7K Views
Nina matumaini wote ni wazima humu ndani, naomba kuuliza hivi kwa mfano mtu amesomea ualimu na baadae akataka labda kuwa mphamasia inawezekana akaenda kusomea ufamasia? Hivyo akawa na taaluma...
1 Reactions
4 Replies
896 Views
Habari Wana Jf, Nina mdogo wang kamalza form four mwaka huu alisoma hats kapata masomo yote D isipo kuwa mathe kapata F je ni course gan itamfaa na yenye ajira? Na je akienda kusomea mambo ya...
1 Reactions
45 Replies
4K Views
Naomba kujuzwa kama naweza kusoma sheria huku nikiwa sipo chuoni moja kwa moja. Yaani nikiwa naendelea na shughuli zingine. Naomba list ya vyuo kama vipo, vya Tanzania pekee, gharama na jinsi ya...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Tuboreshe mifumo yetu ya elimu kwa kuboresha mitaala iendane na mahitaji yetu ya leo na kesho. 1. Elimu ya msingi na sekondari iwe miaka 7 pekee Y 1-3 kusoma na kuandika Y 4-7 Basic life skills...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu habari, hivi inawezekana kusoma Dip/cert ya sheria part time au kama wanavyofanya Open University. Kama inawezekana Ada yake sh ngapi na vyuo vipi vinafanya hivyo.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za kazi wandugu Natarajia kumaliza degree yangu hivi karibuni mwaka huu, sasa kutokana na uhaba wa ajira na ukizingatia umri umeshaenda nataka walau nijifunze na udereva kwa ngazi ya VIP...
3 Reactions
31 Replies
11K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema hivi hii course niunakua mwalimu was ppschology au inakuaje kwenye solo Lla ajira
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za Jumamosi waungwana, Mara nyingi nimetafakari, nimejisomea na hata kuuliza maswali kuhusu bahari na mambo yake. Kwa watumiaji wa usafiri wa majini bila shaka wamekutana na misuko suko...
2 Reactions
22 Replies
7K Views
Hii kozi ni science au arts ? Vipi kuhusu ajira zake ? Zinaweza patikana ? Wapi na unaajiriwa kama Nani ?
0 Reactions
219 Replies
19K Views
Naibu waziri ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe David Lusinde (Mb) amesema kitendo cha ubunifu wa ujenzi wa shule tatu za mchepuo wa kingereza ambazo zitakuwa zinamilikiwa na Serikali kupitia Halmashauri...
0 Reactions
2 Replies
820 Views
Habari wana jukwaa. Chuo cha Maji kinapenda kutangaza nafasi za masomo katika ngazi ya certificate na diploma kwa mwaka wa masomo 2017/18. Courses zitolewazo katika chuo hiki ni: Water Supply...
4 Reactions
106 Replies
56K Views
Habari za muda huu ndugu zangu. Mimi ni mwalimu wa masomo ya bailojia (Biology) na kemia (Chemistry) kwa ngazi ya kidato cha 1 mpaka cha 4. Hivyo kutokana na mzunguko wa materials kuwa bado...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi ni kijan 26,nmehitm kdato cha 4 mwak2015 ,nmesom katk mazngir magumu nkaambulia 3 kwa ufaul huu, Civ D His D Geo C Eng C Kisw C Lit D Phy F Chem D Bio D Math D Nliomb chuo kwa ahad ya mzee...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom