Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wadau et kwa matokeo haya naweza kusoma PCB phy-D Bios-C Chem-C histor-C Geog-D kiswhl-C Math-D english-C Cvcs-D na chaguo la kwanza ilikuwa PCB
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Kwa mtu aliesomea Highschool na degree yake ya kwanza Nje ya nchi process ya kuomba nafasi vyuo vya medicine Tanzania ikoje: please share thanks
0 Reactions
3 Replies
916 Views
Habari za usiku wana jamvi tukiwa na furaha na ufaulu wa vijana wetu kidato cha nne kwa hakika wanastahili sifa wamefanya vizuri kama matokeo yatakuwa ni ya kweli. Lakini pamoja na kufanya...
4 Reactions
56 Replies
6K Views
Tuna jinasibu kuwa uchumi wetu unategemea kilimo wakati kijana anaemaliza darasa la 12 au kidato cha nne hana ujuzi wowote wa kilimo unaomzidi alieishia darasa la saba. Wakati kijana huyu alisoma...
4 Reactions
3 Replies
976 Views
Cheza mnapochezaga ila tambueni waliomaliza form four 2012 na form six 2013 na wakafaulu hao ndo vipanga ,imagine 60% ya wanafunzi waliomaliza form four 2012 walipata Zero ,34% walipata div four...
11 Reactions
86 Replies
10K Views
Naomba ushauri ni course gan kati ya izo ninzur ambayo nikasomee.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau kwema, natumai mmeanza siku vyema. Moja kwa moja niende kwenye topic.Kuna ndugu yangu mmoja hapa ana ndoto za kufanya kazi kwenye sekta ya usafiri wa anga . Ili kuanzia kufanya kazi kwenye...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Msaada kwa anaefahamu veta inayofundisha ufundi wa pikipiki kwa DSM
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wakuu Salaamu..!! Ningependa kufahamishwa course gani kati ya nitakazozitaja hapa chini ni nzuri katika Chuo Cha kilimo cha Sokoine - SUA na pia upatikanaji wa ajira kwa course hizo. Kozi zenyewe...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Haya vijana changamkieni nafasi hizo. kama ulikosa October intake itumie nafasi hii. SWALI: Vyuo vya serikali hasa vya Afya navyo vinahusika?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jifunze maswali ya interview kuhusu Practical ya Microsoft word... fuata link hapo chini https://m.youtube.com/channel/UCCTZ8iCy4CaUI4oxDJcO7_Q Maswali ya ni possible kuulizwa kwenye usahili si...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama ambavyo tunaona siku hizi matokeo wanawekewa online unatazamia ukiwa kitandani. Tofauti kidogo nasie wakongwe wa enzi hizo kulikuwa hakunaga cha mambo ya kuwekewa online bali mnabandikiwa...
5 Reactions
40 Replies
3K Views
Wakuu, nawasalimu! Naomba nisaidiwe kuhusu suala la hapo juu. Nimeyaona matokeo fulani ya mwanafunzi ambaye amepata alama 'F' kwenye Basic Mathematics lakini amepata daraja la kwanza la alama 16...
4 Reactions
58 Replies
7K Views
Hivi utaratibu wa kuomba vyuo vya serikali kwa ngazi ya cheti na diploma kwa walomaliza kidato cha nne mwaka jana uko vipi? Wanaomba kupitia nacte au chuoni moja kwa moja.Mwenye taarifa juu ya...
0 Reactions
14 Replies
21K Views
Habari zenu wanajamvi. NILIKUA naomba msaada kwa anayejua kitabu kizuri cha Electrical Engineering ambacho kinahusu Umeme wa viwandani na system zake ili niweze kukidownload. Ni hayo tu.
0 Reactions
2 Replies
883 Views
Arusha yasika nafasi ya kwanza, Kilimanjaro ya pili na iringa nafasi ya tatu matokeo ya kidato Cha nne yaliyotangazwa juzi
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba uzi uwe safi, udini usiingie humu, nazungumzia shule za kiislam sio dini ya kiislamu, maana huko kweny shule hata walimu wakristo wapo, ila huwezi kumkuta mkristo kwenye dini ya Kiislamu...
5 Reactions
35 Replies
5K Views
Habari inayobamba kwa sasa kuhusu Elimu yetu baada ya kutangazwa kwa matokeo ya darasa la 4, darasa la 7 na kidato cha 4 ni kuhusu mkoa wa Mtwara kuingiza shule 9 kati ya 10 kwenye orodha ya shule...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninaomba kufahamu ni kozi gani za degree ambazo sina soko kwa vijana waliosoma comb. ya E.G.M kwa sasa. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Appeal ya bodi ya mikopo imetoka tokea tarehe 24 lakini wamesema tu ni watu 2000 lakini hakuna pdf ya majina sasa mtu atajuaje km kapewa? Pili wanasema watu wachek kwa account zao akaunt zipo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom