Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wadau, Ningependa kufahamu mtu anayesoma kozi TAXATION anaweza kufanya kazi sehemu zipi? Na kati ya kozi ya TAXATION na PROCUREMENT ni ikozi ipi yenye soko zaidi
1 Reactions
13 Replies
7K Views
Wadau Mimi nashauri Serikali iangalie kuunda tume ya pamoja na shule za binafsi kuhusu suala la ada. Kuna shule zinapandisha ada kila kukicha yaani kila mwaka aisee na kwa kiwango kikubwa bila...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
School Results Management Spreadsheet Application! Mkombozi wa Mashule mbalimbali Tanzania! Ni Spreadsheet (Excel) Application ambayo nimeiandaa kwa ajili ya kuchakata Matokeo ya wanafunzi (Kwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni muda muafaka kwa Waajiri na Makampuni binafsi kutoa mrejesho kwa Wanafunzi wa Vyuo gani Wanafanya Vizuri katika Maeneo yao ya kazi. Pia tunaomba watoe mrejesho ni maeneo gani ambayo yana...
4 Reactions
53 Replies
6K Views
Habari wakuu hivi kukaa nje ya chuo yaani kupanga na kukaa hostels ni kipi nafuu? Naulizia hili kwa wale wa vyuo vya udsm na ardhi Jee ni maeneo gani kwa dar hapa wanafunzi wa vyuo vya ardhi na...
1 Reactions
133 Replies
21K Views
Habari za majukumu wana JF education? Naamini katika mafanikio ya kila mtu kuna mtu nyuma yake hata kama mafanikio yako yalikuja bila kusaidiwa na mtu naamini umewahi kusaidia mtu. Humu ndani...
1 Reactions
2 Replies
833 Views
Wako wapi vijana waliojichukulia ujiko wa zawadi na headlines magazetini na vyombo vya habari wako wapi kaka zetu na dada zetu waliotesa kwa ufaulu wa kutisha? Wako wapi jamani? Tusaidiane. Je...
3 Reactions
37 Replies
7K Views
Miye ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka 2012 kwa masomo ya HGL, ningependa kupata mwongozo wa nini nifanye. Je, HGL yangu ya div 2 inatosha? Au kuna somo inabidi niyareseat? Na kama kwa HGL...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari jamani, Mimi nina shida ya msaada wa nini nifanye katika hili. Mimi cheti changu cha kuhitimu elimu yangu ya sekondari(form for certificate) kiliungua moto mara baada ya nyumba yetu kupata...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimefuatilia na kupata kufahamu kuwa baadhi ya taasisi kwa elimu ya juu bado wanafanya michezo mibaya kwa fedha ya kujikimu ya wanafunzi. Wako watumishi wa hizo taasisi sio waaminifu na...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wadau, Ningependa kujifunza kitu/au kujua kutoka kwenu. Kuna kazi nyingi hasa za serekali zinataka mtu akisomea nje ya nchi wawe awamesajiliwa. Ninacho taka kujua: Mimi nimesomea...
0 Reactions
4 Replies
682 Views
Nimepitia baadhi ya prospectus mbalimbali za baadhi ya vyuo vyetu na nimegundua shida kidogo, ufundishwaji wa geography bado umebaki kuwa wa zamani usioendana na maendeleo ya sayansi na...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna mtu anataka nimtumie clip kama document kwa njia ya WhatsApp nafanyaje?[emoji1621][emoji1541] " Naomba utanitumia kama document ili kutopoteza quality".
1 Reactions
8 Replies
869 Views
Wanafunzi waliofauru darasa la saba na hawajapangiwa shule nini hatima yao?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari ya jioni. Nahitaji mwalimu wa masomo ya Physics na Chemistry (form 5) kwa ajili ya private Tuition. *Muda ni wiki mbili tu. *Kwa siku muda wa kusoma ni masaa 2 tu. Topics zifuatazo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani nimechaguliwa chuo cha St Francis Ifakara... Anaekijua au aliesoma au anaesoma aniambie kikoje.
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Jamani kwa wale wa shamba la mabali sua cheki.........................:A S-confused1: SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTUREP.O.BOX 3000 – CHUO KIKUU – MOROGORO – TANZANIA TELEPHONES: 2603511/4...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Happy new year wana JF! Hope mko poa. Ninatafuta kituo cha kurisiti mtihani wa kidato cha nne chenye gharama nafuu nimejaribu kufatilia kwenye hivi vituo vyenye majina makubwa hapa Dar kama...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Je, inawezekana kwa mwanafunzi anayeinga mwaka wa pili kozi ya diploma ktk afya kupostpone(due to fee issues) na kusoma kozi nyingine ktk chuo kingine?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom