MWAMBIE MDOGO WAKO
Mkumbushe ndugu au rafiki yako kuwa maisha ya CHUO ni sawa na BONGO MOVIE watu wengi huigiza. Hata yule alie tokea Mbeya vijijini atasema kwao Jijini Mwanza...
1. Mwambie...
Habarini za mihangaiko ndugu wana jamvi.
Langu ni swali tu, ningependa kujua kozi (takribani 3) zeye tija na uhitaji mkubwa katika soko la ajira yaani kuajiriwa ama kujiajiri kwa sasa kutoka...
Tafadhali kwanza naomba mods mtusaidie kuunganisha threads zote zinazohusu SUA katika thread moja
Pili nyinyi mpo jirani sana na IT wengine kama was SUA,hebu jaribuni kuwauliza na kusaidia vijana...
Kozi za bure kutoka Open Univesity na unapewa cheti cha kushiriki mafunzo
Fungua account ni bure
Pendeni kujisomea kwa ajili ya CPD- Carrier Professional Development, hivi vyeti kama unatafuta...
Habari za weekend wapendwa katika bwana.
Naomba nianze na historia yangu kiufupi ili uweze kunisaidia ushauri.
Nina umli wa takribani miaka 24 kwa sasa. Miaka kadhaa iliyopita nilipohitimu...
NB
je ungependa kutengeneza pesa online wakati ukiwa unaperuzi internet?? ni bure na rahisi mno
bofya hapa http://signup.wazzub.info/?lrRef=d56aa5e9
hafu fuata maelekezo mpaka mwisho na...
Habari, wana jukwaaEs.
Naamini JF imekuwa nyenzo muhimu kwa kupashana habari na kusaidiana mawazo kwa takribani miaka 14 sasa.
Uzi huu napenda uwape nafasi basi wale waliowahi kuomba ushauri ama...
Habari Nina diploma ya ualimu wa masomo ya chemistry na biology nilie ajiriwa na nilipata GPA 4.9 upper first class je Nina weza kusoma masters degree na ni chuo gan hapa Tanzania kinaweza...
Inasikitisha Sana kwamba vijana wetu wanajitahidi kimasomo katika mazingira magumu Sana. Wakati mwingine fedha za mikopo ya kujikimu inachelewa, na hata wengine hawapati kabisa. Licha ya magumu...
Naona wanafunzi wengi wa hapa nchini kwetu hasa wanaosoma PCB wanatamani kusoma MD tu... Kwani haiwezekani mtu kusoma PCB na asome course nyingine iliyonzuri zaidi tofauti na hiyo iliyozoeleka kwa...
Ndugu zangu mnangoja matokeo ya rufaa vipi uko akaunti zenu zinaujumbe UPI adi mda huu mana Siku imeisha hii sijaona mrejesho wowote kwa upande wa akaunti yangu.
EXAMINATION TECHNIQUES
GENERAL PRECAUTIONS
How to get high Score on your exams
Sir Jr Geography and Biology tutor|| 0784214792
1. Ensure that your handwriting is good and if not, start...
Habarini wanaJF,
Mimi ni mhitimu wa kidato chasita mwaka 2017 lengo la kuja hapa mbele yenu ni kuomba ushauri kwa wenye experience ya kusoma nchini USA kwa maana mwakani nataka nijiunge katika...
Habari wakuu,
Nauliza baada ya TCU kufunga dirisha tarehe 14th December 2020 kwa waombaji wa kuhama chuo
Je, majibu huchukua muda gani?
Je, majibu unayapata wapi?
Ndugu yangu ananisumbua hapa...
Wandugu wa Jf, habarini za majukum,
Naomben ushaur hapa, nategemea kumaliza stashahada ya Medical Lab hapo mwakan kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu, ila hapa nina mgogolo wa nafsi.
Kuna wakati naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.