Kunajamaa yangu muajiliwa amemaliza diploma ya computer science ameniomba ushauri ya kuwa asomee course gani degree ambayo itabaki ndani ya ICT lakini isiwe ngumu sana ushauri course gani ambayo...
Habari!
Kwa wale wanaotaka kusoma vyuo vikuu nje ya nchi naweza kuwasaidia hatua zote, iwe Ulaya, Asia au Marekani. Pia tunatoa ushauri wa vyuo bora, gharama na tunakusaidia kila hatua.
Tunakuwa...
Kwa wasomao PCB au utabibu.
Wapo wengine hawajui waje kuwa mabingwa wa nini: kasomee masikio!
89.7% ya vijana siku hizi wanavaa "earphone" spika za masikioni kutwa kuchwao. Japo wao ni vijana...
Wakuu habari zenu, kuna jambo naomba mnieleweshe. TCU wameruhusu diploma holders kufanya maombi ya pamoja kupitia CAS, na muda ni mchache sana. Sasa kuna wale diploma holders ambao tuli/waliapply...
Jamani msaada nimefanya maombi ya ajira za ualimu mpaka nikafika kwenye kipengele cha submit siku submit lakini appliction inanambia iko completed sasa kwa mwenye uzoefu anisaidie mambi yangu...
Nimekutana na vedeo na audio nyingi alizo zitoa huyu ndugu yetu Mtanzania.
Ambae ameweza kusoma vitabu vingi na kuvichambua Kwa Kiswahili na kuturahisishia Sisi tusio soma na hata tusio jua Lugha...
Mimi ni mfanyakazi wa sekta binafsi, nina shahada ya kwanza ya usimamiz wa rasilimali watu kutoka chuo gwiji ktk mambo ya utawala na usimamizi MZUMBE UNIVERSITY (MU).Naweza kusoma masters ya...
Salamu wakuu
Wataalamu naombeni mwenye kujua shule nzuri na affordable hapa Dar es Salaam au pwani ya wasichana.
NB Mtoto kasoma shule za serikali St. Kayumba
Natanguliza shukrani.
Nimeandika barua ya transfer chuo na nmefata procedure zote za TCU lakin jina langu la waliochaguliwa na chuo husika halipo.
Naomben msaada nini cha kufanya.
Habari jamani,.samahanini ninaomba kwa mwenye notes za physics,chemistry na mathematics anitumie ili nipate kujisomea maana hali ngumu alafu sina hata chanzo cha kupata maarifa ivyo naomba mwenye...
Wana Jf nahitaji msaada wa mawazo yenu kwa wale wazoefu wa hizo courses..
Nimechaguliwa Course ya Insurance and Risk management "IFM",, But Nina wazo la kubadili niende Accountancy.
So kwa...
Je uchumi wa Canada ukoje kwa sasa?
Kazi zikoje kwa professional?
Gharama za kusoma vipi?
Nilikuwa nataka kulinganisha na US maana najua Canada ni expensive zaidi
Nakumbuka siku ya mwanzo nilipofika Tabora Boys sikujua kama ukitaka kwenda chooni lazima nguo uvulie nje kisha uingie chooni
Nikazama na nguo zangu ebwana nilipotoka chooni nguo zote zinanuka...
Wakuu
Hivi kwa Wale walio maliza darasa la saba kuanzia mwaka 2009 kurudi nyuma wanawezaje kuona matokeo yao huku mtandaoni???
Kama kuna link basi naomba iwekwe ili tuangalie
Wengine hata...
Dodoma. Jumla ya wanafunzi 759,706 sawa asilimia 91.1 kati ya wanafunzi 759,737 waliokuwa na sifa za kujiunga na kidato cha kwanza, wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2021...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.