Wakuu mtakumbuka miaka ile kuingia UDSM hata Kama una Division One ya point 3 Lazima ufanye na kufaulu Matriculation Exam. Tofauti na Zama hizi za Dot.com jitu linamaliza chuo hata kuandika...
Kama nlivoanza hapo juu nahitaji msaada kwa wanafunzi wanaosoma UDSM au chuo chochote. Ni kuhusu course yangu ya Bachelor of art in language nahitaji kufanya online registration na sielewi nfanye...
Habari za Leo wakuu,
Ni vitabu vipi vizuri wa combination ya ECA (Economics, Commerce and Accounting).
Au kama una vitabu vya hii combination nijuze hapahapa.
Habari wana JF,
Kama kuna anayejua hatma ya hawa vijana ambao Serikali iliwapangia kwenda kusoma Vyuo vya Ualimu level ya Diploma na baada ya miezi sita chuoni wakarudishwa nyumbani kwa kuambiwa...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Miaka tofauti tofauti yamekuwa yakitolewa maandiko mbali kuhusu lugha inayotakiwa itumike kwa ajili ya ufundishaji.
Ambapo wengi wamekuwa...
Kwanza kabisa, nipende kumshukuru sana Mungu kwa pumzi hii alituma, Maana hatuilipii ila Tunaipata kwa Neema tu yake, Hakika anashahiri kupewa heshima na utukufu.
Lakini kipekee nipende...
Ndugu zangu,
Mimi ni ndugu yenu nimemaliza chuo mwaka huu nina Degree ya Human Resource Management. Nimesomea Morogoro Mzumbe nina GPA ya 4.2.
Kwa muda mrefu nilikua natamani sana kuwa mwalimu...
Je Mzigu taaluma inashuka, ada inapanda tuwaeleweje???
ni kama sasa headteacher umeshindwa kusimamia walimu wako, unampotosha sana mmliki wa shule. Walimu wako hawafundishi, Kujumlisha tu maksi...
Title ya thread inajieleza.
Nahitaji shule ya English medium kwa mwanangu inayopayikana mitaa ya Goba na viunga vyake. Tafadhari sana share nami shule ambayo nikimpeleka mwanangu sitojuta
Wadau wa jukwaa la elimu.
Ningependa kujua kwa mwenye uelewa.
Na hii course ya youth Work Development and Commonwealth inatoa mtu gani katika jamii? Unakuwa nani?
Wana JF, mwenye uelewa na hili naomba ufafanuzi tafadhali.
Hivi? kwa mwalimu aliyejiendeleza kitaaluma kutoka ngaz ya cheti hadi shahada ya ualimu, inamchukua muda gani ili abadilishiwe Daraja...
Habari za wasaa huu wakuu natumaini mu wazima niende moja kwa moja katika mada.
Wakuu hii elimu kwa Sasa tunaweza tukaiweka level gani na elimu ya sasa, maana wazee walioipata hii elimu...
Naombeni msaada tafadhari namna ya kusearch na kuinstal friquency za radio kwenye television ili niweze kusikiliza radio kwa kutumia satelite dish
kupitia tv
Natumia dekoda ya star times
ushauri...
Wakuu habari zenu poleni na majukumu.
Ningependa niulize hivi uhamisho kwa mwanafunzi anayeenda kuanza kidato cha kwanza ingefaa nifanye mchakato kwa mda Gani je huu ndo mda wa kufuatilia wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.