Jamani naomba kujua kuhusu diploma levels hizi wanaita NTA 4,5 na 6 naelewa 4 ni basic technician certificates 5 ni technician certificate na 6 ni ordinary diploma sasa swali langu je maximum GPA...
Habari za muda huu ndugu zangu. Na mshukuru mungu mimi ni mzima wa afya. Nimekuja hapa ndugu zangu naombeni msaada wenu wa mawazo baada ya kupita level 4 semester 2 kwa GPA ndogo(GPA 3) mtihani wa...
Wakuu, Nataka niisome hiyo Aws kwa ajili ya cloud storage...Natafuta hicho cheti cha mambo ya storage with amazon.
Nataka kujua, Is it worth it in 2020 in Tz?
Kwa mlio makazini storage mnafanyia...
Nauliza hvi walimu wa degree hawatakiw kupewa kazi na serikali?
Je walimu wa sanaa hawatakiw kupewa kazi
Kuna watu wanajitolea shule za serikal hawapew kazi
Kwann msiajiri degree kw mshahar...
KWENU WALIMU WAPYA: MSISAHAU KUTUMIA P TWO NA CON...🤔
Naandika Mwl wa akiba
📌Itoshe kusema kuwa wale wote ambao mmebahatika kupata ajira mpya za ualimu tambueni kwamba mmeaminiwa na nyie...
Kulingana na matangazo ya ajira serikalini yanavyotoka na wanavyoajiri, sijawahi kuona wakiwazungumzia hawa wahitimu wa shahada ya elimu ya awali.
Huenda Joyce Ndalichako aliiruhusu hii course...
Ipo hivi: unajua mtu mwaka wa kwanza na wapili ulipata allocation yako vizuri, sasa mwaka wa tatu huu unajiandaa kwenda chuo bado siku tatu unakuta ada imepunguzwa na hela za stationery nazo...
wakuu salaam nyingi sana kwenu. Mimi naenda kwenye mada, mwaka jana niliacha chuo baada ya kukosa mkopo ikabidi nirudi home kujipanga upya na nikaaply mkopo mwaka huu huku nikiambatanisha death...
Niende kwenye mada moja kwa moja wakuu.
Kijana asomee kitu gani katika hivi hapa chini[emoji116]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nb: orodha ya vitu vyote hapo juu ni juu ya Applied physics...
Habarini za masiku mengi ndugu zangu, naombeni aliyefanya kazi kwenye iyo industry ya INFORMATION SYSTEM AUDIT na ambaye amekuwa certified na iyo industry aje PM anisaidie kimawazo/ ki ushauri...
Katika shule nilizopitia nimejifunza kidogo,najua vitu vidogo vidogo kama Capacitors,Diode, Transistor, Rectifier, Transformer etc.
Lakini kama mnavojua ni elimu tu ya kujibia mtihani. Ila...
Kama Ambavyo kichwa Cha habari hapo juu,
Nimehitimu kidato Cha sita mwake huu(2020).
Nilisoma PCB na nimepata DDD Nina two ya 12, Je naweza kupata bachelor ya Medical Laboratory pale MUHIMBILI???
Wakuu naomb msaada wa kujua mtu akisoma course ya international relations and diplomacy anapata faida ganii na ni kazi zipi ambazo anawez pata kwa Tanzania yetu ya sas iwe ni serikalini ama NGO's??
MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, ametajwa kuwa miongoni mwa wanafunzi bora watatu ambao ni wahitimu wa Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam (TUDARCO) katika kozi ya Shahada ya...
Husika na kichwa hapo juu.
Ndugu zangu wapendwa naomben ushauri wenu
Kwan mwaka huu nilihitimu kidato cha sita kwa ufaulu wa division two ya 12 nikiwa na D flat kweny combination yangu ya PCB...
Katika pita pita yangu ya kwenye mitandao nimekutana na jina la dada wa baba mdogo na kiasli jina la ukoo wetu sijapata kulisikia sehemu yoyote zaidi ya ukoo wetu hilo sio la kutania namaanisha...
Je kunautofauti gani kati ya bachelor of science with education (chemistry and biology) na bachelor of education in science ( chemistry and biology) katika upande wa job opportunities na upana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.