Ningependa kujua kwa mtu aliyemaliza certificate (mfano: Certificate in Information and Communication Technology) chuo kimoja na anataka kua-apply Diploma (NTA 5 and 6) chuo kingine anatakiwa...
Wakabwa poleni na majukumu,
Mimi mdogo wenu nimechaguliwa kozi ya Botanical Science UDSM na mkopo nimepata asilimia zote lakini pia kuna chuo nimepata diploma ya medical labaratory, kulingana na...
The pathway of glycolysis as it is known today took almost 100 years to fully discover .
The combined results of many smaller experiments were required in order to understand the pathway as a...
Wanangu wa Electrical Engineering hasa Electrical installation naombeni jina la hiki kitabu nidownload au hata kama una link unaweza share nashida nacho sana.Ni cha maswali na majibu.
Walimu waliotajwa kuhusika na udanganyifu katika mitihani ya darasa la saba katika jiji la Arusha na Wilaya ya Kiteto, mashauri yao wamepelekwa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru)...
Kuna baadhi ya wanafunzi tulichaguliwa na TAMISEMI Kwenda chuo lakin hatuku verify kutokana na kutokua na uelewa na changamoto nyng za kimaisha, nn kwa namna gani tunaweza fanya kutudisha nafasi...
Wakuu nlikuja na uzi hapa kitambo kuwa nilichaguliwa kusoma clinical medicine nikaomba ushauri nikapewa.
Nimeanza masomo ila kuna vitu vinanichanganya kidogo. Basic anatomy na clinical anatomy...
Wana JF,
Naomba kujua kutoka lwa mtu anayejua, km kuna usafiri wa bus wa moja kwa moja kutoka Dodoma mpk Bagamoyo au namna gani ya kufika Bagamoyo kwa kutokea Dodoma.
Aidha nauli ni sh ngapi...
Ndugu wana jamii wenzangu hasa wale wanaosoma open university degree ya ualimu naomba mnijuze ada kwa mwaka mmoja ni kiasi gani kwani nataka kuomba nafasi.Naomba msaada wa taarifa sahihi ndugu zangu.
Leo vijana wetu wa kidato cha Nne wamefanya mtihani wao wa tatu kwa mujibu wa ratiba yao ya mitihani. Asubuhi saa 2 asubuhi vijana wote Tanzania walianza kupambana kupata tiketi ya ufaulu wa somo...
Mim nilichaguliwa na TAMISEMI mwaka 2019 kwenda chuo cha utabibu maswa, lakini sku verify kua ntafika chuoni apo kutokana na kutokua na ufahamu na simu yenye kushika internet. Kama na ww umekutana...
Habari ya mchana wadau wa JF.
Kuna kitu nilikuwa najiuliza sana, nikaona niwashirikishe na nyie.
Je, serikali ya awamu ya 6 chini ya Mh. Magufuli itaendelea kutoa elimu bure kwa ngazi ya elimu...
Naomba ujumbe huu uwafikie Chuo Kikuu Huria cha Tanzania ambao wameweka Tangazo kwenye tovuti yao kwa ajili ya wanafunzi wapya, lakini tangazo hilo halipakuliki (Undownloadable).
Hii ni hata...
Hivi inakuaje ukalipa ada chuo halafu badae batch 3 ikaja unakuta umepata mkopo. Je, watanirudishia ada?
Au nisubiri hadi batch 3 itoke
Chuo chenyewe ni UDSM
Naamini sio mimi peke ya gu niliyekumbana na suala la kusomea jambo nisilokuwa na ndoto nalo.
Nilikuja kushtuka zaidi wakati wa kutafuta sehemu za kufanyia field. Kuna wenzangu wengi sana ambao...
Habari Wakuu,
Inawezekana hivi sasa ni miaka kadhaa uko nyumbani au mtaani au pengine mwaka huu ulitamani kujiendeleza kielimu kwa ngazi yeyote, Lakini umekumbwa na changamoto ambazo zimepelekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.