Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Msaada Wana jamvi jinsi ya kuandika barua na kufanyiwa recategorization kazini pls tusaidiane kidogo.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Ni hivi majuzi tu matokeo ya Darasa la Saba yametoka ya Shule mbalimbali nchini. Kuna baadhi ya Shule zimefutiwa matokeo kutokana na uzembe na ulaji rushwa wa wasimamizi, tuseme wanafunzi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu nataka kumuhamisha mdogo angu shule, matokeo yametoka jana ya Darasa la saba huyu dogo amefaulu lakini alisoma mkoa wa Mbeya kwasasa nataka nimuhamishe asome hapa DSM ili iwe rahisi kwangu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jumla ya Wanafunzi 490,103 wanatarajiwa kufanya mtihani wa Kidato cha Nne leo Novemba 23 ambapo wavulana ni 213,553 sawa na asilimia 47 huku wasichana wakiwa ni 234,103 sawa na asilimia 52.3...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
NACTE badilishen mifumo yenu ya matokeo elimu sio vita mkiwaiga TCU sio vibaya. Yaani diploma ya AFYA kama unachukua degree ukikaa vibaya utasoma Ata kwa miaka 7.. Ukitoka apo kwnye msoto uo uanze...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Nataka kujua ada ya chuo hicho na taratibu nyngine za kujiunga na chuo
0 Reactions
0 Replies
2K Views
MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA. SHULE 38 ZAFUTIWA MATOKEO KWA UDANGANYIFU Baraza la Mitihani nchini #Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kuhitimu Elimu ya Msingi ambapo limezifutia matokeo...
6 Reactions
28 Replies
9K Views
Jamani ndugu zangu naomba mnisaidie mwenye uelewa na hii course ya procurement kama bado Ina soko au nibadilishe nisome accountancy.
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habarini mihangaiko wana jukwaa, Nawaleteeeni habari cha kushangaza kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) wao wamekuja na mpya kufanya mitihani kwa kuongea? Tunataka tuzalishe wataalamu wa...
2 Reactions
70 Replies
12K Views
Ni combination gani rahisi ambayo mtu anaweza akaisoma kwa wale wanao re-seat mtihani wa form six. Ambayo mtu anaweza akajisomea mwenyewe na kwenda kufanya mtihani. Hasa kwa mtu ambaye tayari...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Salam wakuu Naomba mtaalam anayeweza kunielezea hii inafanyikaje ,nitashukuru. Naihitaji kufanyia Economic analysis kwa uwekezaji katika kampuni flani. Asanteni.
0 Reactions
1 Replies
364 Views
Heshima kwenu wanajamvi. Naomba nwenye kujua shule nzuri ya msingi ya kutwa / day kumwanzisha mtoto darasa la kwanza. Shule iwe Dar Es Salaam maeneo ya Mbezi beach au Goba au maeneo ya jirani...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Anasema yeye ni mwalimu wa Darja la tatu A yaani mwalimu wa Msingi ngazi ya cheti. Anataka kwenda kujiendeleza lakini hajui ni course gani za education ngazi ya Diploma ambazo zina soko kwa sasa...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Uongozi wa Shule ya Sekondari ya Majengo, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro inayomilikiwa na Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi umeridhia kuacha kazi kwa mwalimu wa kiume wa shule hiyo anayedaiwa...
2 Reactions
64 Replies
15K Views
Make the subject P=150_0.5Q make Q the subject. P=30+0.25Q
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba kuwasilisha uzi huu kwa mfumo wa maswali kwa wadau juu ya sakata hili; 1) Je, sehemu pakufanyia kazi ni tofauti? 2) Kwanini hospital nyingi zinakataa kuwapokea watu biotechnology and...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Wadau, kwa mfanyakazi anayetaka kujiendeleza na elimu ya juu kupitia mkopo kutoka PSPF. Anatakiwa afate taratibu zipi?
1 Reactions
19 Replies
18K Views
LLB degree ya sheria (law) Kwa wanafunzi wa form six wanaangalia vigezo gani kuchagua!? Kwa msichana na mvulana!? Kwa upande wa udom.
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Habarini wadau wote wa elimu. Nina mdogo wangu kapangiwa hiyo course hapo UDOM Napenda kujua changamoto za course ndani ya chuo na nje ya chuo, hususani katika soko la ajira kwa sababu course za...
1 Reactions
46 Replies
11K Views
Back
Top Bottom