Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Pamoja na Sherehe mnazofanya mitaani kumbukeni pesa za Mkopo zinarudishwa kwa Rate ya 15% kwenye Basic Salary let say umeajiriwa unalipwa 2.5M utakatwa jumla ya sh. 0.375 Million so tukumbuke kuwa...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu nilikuwa naomba kwa wale wanaosoma na waliosoma chuo kati ya hiki cha DIT na NIT... Nilikuwa naomba mnijuze je kwa kozi ya DIPLOMA in MECHANICAL ENGINEERING kwa DIT na NIT kwa miaka hii ni...
4 Reactions
17 Replies
4K Views
Habari wanajamii forums, Leo wakuu naomba kujulishwa vyuo gani vinavyotoa kozi za wanyamapori (WILDLIFE COURSES) kwa AFRICA. Nilikuwa naomba kufahamu na Courses zinazotolewa. Kuna watu watauliza...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Chagua somo lolote ulilokuwa unaliweza halafu utaulizwa swali na member yeyote yule iwe Mathematics, physics, Literature, Geography, Chemistry, Biology, Geometry au History.
6 Reactions
1K Replies
65K Views
Naombeni mnisaidie nimeomba vyuo round zote tatu sijafanikiwa kupata je nifanye nini ? Niweze kupata chuo
0 Reactions
43 Replies
3K Views
Niliona kwa mdogo wangu kakosa kila chuo na wakati anaomba md ana DCB kwa comb ya PCB. Yaani hadi St fransis na kcmc wamemkataaa sasa huu niuite au?
4 Reactions
94 Replies
9K Views
Habari wakuu, Mdogo wenu Yuzo mawe ni mzima kabisa,kwakweli ashukuriwe muumba wa mbingu na ardhi kwa kutufanya mpaka sasa hivi tunapumua, Sasa ndugu 'zanguni' Wana jf nilikua naomba kujua...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni mateso matupu kwa wanafunzi na wazazi mpaka sasa mwanafunzi hajui kama aanze safari kutoka kwao kuja chuoni wakati vyuo vinafunguliwa jtatu 16/11/2020. Mwanafunzi hawezi kutoka say Sumbawanga...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu watu wema wa JF, Naomba mwenye uelewa na hii bima ya elimu toka NIC Tanzania anipe maelezo au kama kuna mtu yeyote ambae ni mnufaika na hii bima? maana nimepitia kwny tovuti yao...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Dr. Ayub Rioba, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa, TBC Katika kipindi cha Nyimbo Zetu kilichorushwa asubuhi ya tarehe 15 Novemba 2020, kupitia luninga ya TBC, mtangazaji wa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Watanzania wenzangu sijui tunaelekea wapi! TULIKUA NA SHULE NZURI SANA TENA NYINGINE ZA VIPAJI MAALUM...... nazikumbuka shule za wasichana za WERUWERU, TABORA, ASHIRA, MACHAME, KILAKALA...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari zenu jamani... Ninaombeni ushauri wenu kuwa kati ya Interior Design na kozi ya Multimedia Technology and Animation ipi ni kozi nzuri kusomea na yenye wigo mpana wa ajira hapa Tanzania...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habarini Wakuu Wote! Huu Ni Uzi Nilioanzisha Mwaka Jana Kuwasaidia Wanachuo Watarajiwa Kufahamu Kiundani Kuhusu Udahili Vyuoni, Nikiri Huu Uzi Uliwasaidia Sana Wahitimu Wa Kidato Cha Sita Ambao Ni...
19 Reactions
3K Replies
370K Views
Ni wakati wa wanafunzi kuwa wapole, walitegemea riba itapunguzwa imekuwa tofauti badala yake fedha zitaongezwa ili wengi wapate mikopo maana yake ni mtaji unawekezwa ili ukue kwa riba ile ile ya...
0 Reactions
4 Replies
954 Views
Hii ni orodha ya vyuo vikuu katika nchi ya Tanzania. Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKU) Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU) Chuo Kikuu cha Arusha (UoA) Chuo Kikuu cha Bukoba Chuo Kikuu cha Hubert Kairuki...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Elimu nchini Tanzania hutolewa na sekta zote mbili, yaani, sekta za serikali na binafsi. Muundo wake kiujumla ni kama ifuatavyo:[ 👉Miaka 2 au 1 elimu ya vidudu/cheke-chea hutolewa kwa wanafunzi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello, Do you know any good forum site for students in tanzania to discuss and share notes, ideas?
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanaJF, Wakuu nilikuwa naomba msaada jinsi ya kupata list ya majina ya waliopata mkopo kwa mwaka 2020/21 maana naangalia kwenye website ya bodi ya mikopo sijayaona au kama kuna yeyote...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau habari zenu, nahitaji kuhama chuo lakini sijui utaratibu wa mimi kufanikisha hili, tafadhali nisaidieni kujua hatua za mimi kufanikisha hili suala langu.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom