Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Mdogo wangu mpendwa amechaguliwa hapo first round, naomba msaada kufahamishwa mambo kadhaa.. 1. Malazi, vp kuhusu hili, kuna hostel za kutosha au ajipange kuchukua room mtaani, au anatakiwa awahi...
2 Reactions
52 Replies
8K Views
Habari wadau na wakereketwa wote wa elimu ya bongo. Mimi ni kijana mwenzenu ambaye TCU ishanikatisha ndoto za kuwa daktari si bongo tu dunia nzima MD ina ushindani sana. TCU guide book...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Msaada tutani, naomba kufahamu ni chuo kipi kinaweza kumruhusu mwanafunzi wa PhD kuandika Thesis kwa kiswahili au ni nchi ipi. Msaada. UPDATES: --------------------- Maana yangu ni kwamba kuna...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau habari zenu, Nahitaji kuhama chuo lakini sijui taratibu za mimi kufanikisha hili suala langu. Tafadhali nisaidieni kujua taratibu za kufuata hili nifanikishe hili.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za humu wakuu, Naomba kuuliza kuhusu nacte mwaka huu kuna issue gani inaendelea? Mbona wamechelewa sana kutoa matokeo ya semester two ? Je, matokeo ni mabaya sana? Mwenye anajua au...
1 Reactions
3 Replies
861 Views
Anayejua anipe taarifa maana kuna dogo kachaguliwa hapo, na vip kuhusu upatikanaji wa nyumba za kupanga ukoje? Karibuni wadau
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Salute Bosses!!! Habari mkuu , Leo nipo kwenye moody kabisa wa kukuletea uzi ambao hujawahi kufundishwa shule, chuo ama nyumbani!!! Yaani nataka TUJIFUNZE madini muhimu sana ambayo ni kama...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Ndugu zangu wanaJF, ninaomba mwenye uelewa kuhusiana na hili swala anisaidie nilielewe. Nitajaribu kulielezea mpaka pale uelewa wangu utakapokwamia. Katika kipindi cha nyuma, ulipaji wa ada...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hello, Wakuu hivi kuna member humu alishawai pata hiyo kitu au aulishawai. Hii encounter kitu kama hicho hata kwa mtu wa chuo kimoja? Vp taratibu zake pale TCU?
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu samahan nataka kuuliza kati ya DIT na NIT wapi mnanishauri nikasome diploma ya mechanical engineering? Nawasilisha na Asanten[emoji120][emoji120]
2 Reactions
26 Replies
6K Views
Hii nauliza kwa wale tuliokosa mpaka rounds zote mbili tujuzane wadau hivi watafungua dirisha tena au ndiyo nitolee.
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Ni utaratibu wa vyuo karibu vyote kwa ngazi tofauti kuwa na ratiba ambayo inaonesha mambo muhimu yanayohusiana na chuo husika. Ujumuisha sheria na kanuni za chuo,ufaulu na madaraja tofauti...
5 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Bila shaka nyote wazima wa afya. naomba kuuliza hostel zinapatikanaje je za ndani kuna process gan kuzipata na ni bei gan kwa mwaka au kwa semester?, na za nje je? zipo karibu...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Husika na kichwa cha Uzi apo juu. Kam mfatiliaji wa mambo ya chuo utagundua vyuo vingi vya serikali haswa institute hizi au college gharama za hostel zipo juu sanaa. Mfano IFM, CBE na TIA...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu, ni ufundi upi kwenye mambo ya vifaa vya electronics ambao unahitaji ujuzi wa hali ya juu na soko lake ni zuri, kuanzia computers, simu, smart tvs, printers & office machinery na kadhalika.
1 Reactions
20 Replies
7K Views
Hivi kutokana namatatizo ya Internet yaliyo jitokea ' kunauwezekano wa TCU wakatoa tena nafasi ya dhahabu?[emoji56][emoji56]mmh Mana naona bado kunavijana wengi wanahiitaji hi nafasi, hasa vijijini.
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Nilulize swali lolote kuhusu Mtwara college of health and Allied Sciences kinachopatikana Mtwara mjini. Kinachotoa course za Pharmacy, Clinical medicine, Health information and Nursing
1 Reactions
8 Replies
8K Views
Wakuu mim Bado ni mwanafunzi hivyo napenda utunzi wa vitabu viwe vya elimu/Masomo, hadithi , uchambuzi, Siasa na mengine. Hivyo naomba ushauri na mwongozo kua kipi nifanye kufanikisha hili. Na...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu, habari za majukumu. Naomba kujuzwa, UDSM wanatoa lini admission letters na Joining Instructions, maana siku zinazidi kusonga wazazi hatujui ni nini kinahitajika mpaka sasa.
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Je, hii ishawahi kukukuta?. 1-kwa mfano Kuna mtu ulihisi atakua eneo flani na hutaki kukutana nae ikabidi ubadili njia, lakini ulipo pita ndo na yeye kapita hko hivyo ukakutana nae. 2- Ushawahi...
2 Reactions
7 Replies
875 Views
Back
Top Bottom