Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Msaada:will someone kindly solve this(I am bit mathematically rusty off late) Ay"+By'+Cy=D+E(sinwt)
2 Reactions
41 Replies
4K Views
Habari za muda huu ndugu zangu eti kuna ujanja wowote wa kujua matokeo ya NACTE kabla ya chuo kuyatoa? Maana kuna mtu ameniambia unaweza kuyaona online kama kuna mtu anajua naomba anielekeze ilo...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Samahani kwa kiswahili kibovu nilikiwa na maanisha college(vyuo vya kati kama sija kosea) ila nimeshidwa ku edit kichwa cha habari ila shida yangu kujua Je unaweza kuhama college huku ukiwa una...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Kipindi cha kuwa mwanafunzi,Ni kipindi muhimu sana unachoweza pitia katika ngazi tofauti za Kitaaluma. Wakati mwingine kwa mwanafunzi huwa na shauku ya kutaka kuhitimu ili tu ayafikie malengo...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za uzima, Ndugu zangu, kuna mtoto wa dada yangu nimemfanyia application ndoto zake kubwa ni kusoma udaktari na aya ndio matokeo yake ya O-LEVEL (NI BINTI) O LEVEL Civics..........B...
4 Reactions
77 Replies
14K Views
Wale watalaam wa mambo haya ambao mnawezakuwa mnajua naomba hata neno la faraja Mimi nina Diploma in Clinical Medicine (Clinical Officer) na GPA ya 3.4 O'level Nina Phys C, Chem C, Biology D...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Naomba kuuliza mtu mwenye cheti Cha kidato Cha nne chenye huu mwonekano..... Geography-C Kiswahili-C English-C Civics-C Biology-C History-D Chemistry-D Mathematics-F Physics-F Anaweza ku...apply...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni kifupi cha maneno ya kiingereza "Occupational Safety and Health Authority". OSHA ni taasisi ya serikali iliyopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na wenye Ulemavu) ambayo husimamia...
3 Reactions
1 Replies
6K Views
Habari wana JF! Mimi ni mwana JF mwenzenu, elimu yangu ni ya kidato cha nne, na course ya Nursing, pia napenda zaidi kusomea mambo ya ushauri nasaha, ila sielewi hivyo vyuo vipo sehemu gani...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu. Mdogo wenu nilipata div 2 kwa kombi ya PCB yaani flat D na nikaaply vyuo vitatu :- SUA, UDSM na Udom lakini nimekosa kote sasa nina wazo pia la kuapply diploma ya pharmacy...
1 Reactions
134 Replies
17K Views
Kutokana na matatizo mbali mbali niliyopitia mwaka wa kwanza chuo semester ya pili yamevuruga akili yangu imekuwa sio ile yenye nguvu kila kitu kwangu naona uvivu tu hadi kushika daftar Nipo mwaka...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
wakuu nina kijana wangu anamaliza darasa la 7 mwakani. nataka akiwa tayari kuenda o level nimpeleke shule ambayo haijali tu masomo ya kawaida bali michezo pia. nataka kutengeneza bonge la...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Nimetumiwa hili tangazo ya kuwa SUA wameshafungua raundi ya pili ya application. Naomba tukumbushane ndugu zetu, tuombe kabla ya tarehe 18/10/2020. Nawasilisha.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Umepewa Tsh.100 ukanunue kuku, bata,na Njiwa. Jumla yao wawe 100. Ikiwa kuku mmoja anauza Tsh.1, bata mmoja anauza Tsh.5 na Njiwa mmoja anauza Cent 1. Je, utanunua kuku, Njiwa na Bata wangapi?
2 Reactions
5 Replies
612 Views
Wakuu hamjambo, Vijana wetu wa darasa la Saba wako mtaani kwa muda wa miezi mitatu Hadi hapo watakapojiunga na kidato cha kwanza mwezi Januari mwakani. Kwa umuhimu wa kipindi hiki na ukizingatia...
3 Reactions
5 Replies
911 Views
Habari wakuu, Nilikua napenda kujua hivi MUST ada huwa inalipwa kwa semister au ni yote kwa mkupuo?
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Nina mdogo wangu amechaguliwa mipango tu kwenye 1st round aka confirme, ilipotangazwa 2nd round akaomba tena akapata aridhi university, ila aridhi wamekataa kumtumia code kwaajili ya ku confirme...
1 Reactions
2 Replies
973 Views
Habarini wadau, najaribu kumsaidia mdogo wangu kufanya online application kwa chuo cha Kilimo cha Sokoine, naomba msaada kwa wadau walioweza kufanya application kwa chuo cha Kilimo cha Sokoine...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Natafuta mtu anaesoma law campus ya mbeya, Mzumbe uni. Tuwasiliane PM
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sorry wakuu nilihitaji kujuzwa coz wanazotoa mzumbe campus ya mbeya,pia ni vyuo vipi mbeya vinatoa degree ya education
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom