Mojawapo ya wadau muhimu wa matokeo ya mitihani kwa vyuo vya NACTE ni WAZAZI. Ni vema matokeo yakatolewa kama wanavyofanya NECTA ili iwe rahisi kwa wazazi kupata matokeo ya watoto wao kutoka...
Mimi kwa majina naitwa JUMANNE SELEMAN JUMANNE
NI kijana wa umri wa miaka 17,
Nmemaliza kidato cha nne mwaka jana 2019, Baada ya hapo nlichaguliwa na TAMISEMI kujiunga na chuo cha utabibu Maswa-...
Wazee nitoe angalizo mimi sio mzuri wa kuandika ila naomba tupige kelele angalau watawala wasikie katika elimu yetu hii kuna shida mahala.
Wazee huyu baba(kuna video hapo chini) hapa anazungumza...
Habari wakuu,
Kumekuwa na changamoto ya ku-confirm chuo kwa waliopata multiple admission, Uki-request code inaonesha code imetumwa lakini haifiki.Dogo kapata loan na inaonesha amepangwa chuo...
Ushauri: Online class masomo ya sayansi katika kipindi cha corona wapewe walimu wazoefu;- Muddy physics, Mgote, Mbuga, Mkandawire na makumaku
Kutokana na mchango mkubwa wa hawa manguli wa lecture...
Je unakumbuka nini katika maisha yako ya kitaaluma ukitajiwa hawa watu? Kama wewe umesoma sekondari miaka ya 1998 kwenda juu utakua unanielewa sana hapa. Mwenye update za hawa mageneus Wa hapo dar...
Kwa wastani wa siku nzima (Saa 24).
Paka hutumia masaa 16 kulala, na masaa 5 kwa ajili ya kujilemba/kujipamba, kwa masaa mengine 3 hutumia kufanya mambo mengine.
Wakuu naomba kuuliza Kama syllabus mpya kwa ajili ya wanafunzi watakaoingia darasa la 7 mwakani waliopo darasa la 6 mwaka huu ambao ilitakiwa wamalize shule mwaka huu, kwa maana kulikuwa na mpango...
The Erasmus Mundus Joint Master Degree Programme is inviting applications for the Erasmus Mundus BDMA International Masters Programme in Europe 2020.
The Erasmus Mundus Joint Master Degree...
Hii Ni kwaufupi sana.
Vifuatavyo Ni Vyuo bora katika Nafasi na Taaluma zake.
Taaluma na Chuo bora.
1-Mhimbili University of health and allied science (MUHAS) kwa Afya.
2-National Institute of...
Habari ndugu,
Naomba kuuliza kama nitaruhusiwa kuappeal mkopo kwani nilipata asilimia chache sana kwa mwaka wakwanza na nilishindwa ku-appeal kipind kile kutokana na sababu zilizokua nje na uwezo...
Wadau wote tunajua jinsi gani Social media ikiwemo Favebook zilileta mabadiliko makubwa katika ulimwengu wa leo kuanzia Siasa, kiuchumi na hata Kiutamaduni sasa hapa najaribu kufikiria je matokeo...
Chuo cha Usafirishaji (NIT) kitaanza kutoa mafunzo ya urubani ambapo tayari kimepokea Tsh. 48.9 bilioni kutoka Benki ya Dunia (WB) kwa ajili ya ununuzi wa ndege 3 za mafunzo, kujenga karakana, na...
Habari wanajamii ,namaswali naomba tusaidiane kuhusu koz ya business administration kwa bachelor d
*kozi ipi Bora ya B.A ya -BA in general , - B.A in logistics and procurement, -B.A in marketing...
Habari zenu wadau,husika na kichwa cha uzi hapo juu naomba kujuzwa mbinu,ujanja na connection ambazo watu wanatumia hadi wanafanikiwa kubadili course hapo Udom.
Kwa ufupi mimi nimechaguliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.