Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Awali ya yote napenda kuweka sawa au kumrekebisha Deadbody maana niliona kwenye Uzi fulani akimtaja huyo T.O ni Immaculate Mosha kitu ambacho si cha kweli. Mnamo mwaka 2010 mwanadada yatima...
35 Reactions
188 Replies
46K Views
I have come to realize this as I grow up, many educated people are just so poor, can't be able to meet their own needs and can't even make some decent achievements despite being considered very...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Naomba kujua wapi kuna driving school Morogoro. Ukiachana na VETA. Nimeenda VETA wamenambia mpaka mwakani.
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Natafuta kitabu cha Robert Kiyosaki kinaitwa Fake Book name: FAKE author; Robert Kiyosaki nmejatibu angalia www.pdfdrive.net sijakipata na website nyingine nnazozijua Ambae anacho anaweza...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndugu wanaJF, Tumezoea baada ya mitihani ya darasa la saba inachukua mwezi mmoja matokeo kutoka. Lakini mwaka huu matokeo yamezidi kiasi hicho cha muda na hakuna tetesi. Kwa kuwa JF ni sehemu...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Nina tamaa ya kujifunza lugha ya kiarabu. naombeni msaada wa wanajukwaa je kozi ya lugha ya kiarabu inatolewa sehemu gani kwa hapa Dar?
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Wadau nauliza utaratibu wa HESLB 2020/2021 juu ya wanafunzi wa POSTGRADUATE kunako upewaji wa Mkopo, JE nawao wanaunganishwa kwenye hizi BATCH 2 zilizotangazwa?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu hamjambo!!? Naomba kusaidiwa, hivi tatizo Ni Nini maana nimechaguliwa chuo Cha maji lakin mimeenda wananiambia sina sifa za kujiunga na hicho chuo kwa sababu nimesoma PCB mpk ningekuwa...
0 Reactions
9 Replies
933 Views
Habari ya muda huu wanajukwaa! Naomba kufahamishwa / kuelekezwa namna ya kupata INVOICE kwa ajili ya kulipia ya Accommodation (makazi) na Tuition Fee (Ada) kwa chuo cha Sokoine University of...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Naomba kufahamu wanachuo wanaoendelea na masomo, wengi wakiwa mwaka wa pili walioomba mkopo mwaka huu(2020/2021) wamaweza kupata? Na huwa batch ya kwanza haiwahusu kabisa! Au inakuwaje! Wakuu...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza orodha ya wanafunzi 5168 wa awamu ya pili wa mwaka wa kwanza waliopangiwa mikopo yenye thamani ya TZS 19.9 bilioni. Taarifa...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Habarii zenuu .. Naombeni ushauri wenu jamani , nime pata Repeat module ya CA clinical assistance , nataka kwenda Advance nikapige HKL niachane tu na Afya kabisa umri wangu ni miaka 20 .
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari ya majukumu members; Tafadhalini saana, naomba ushauri wenu ili niweze kumsaidia mdogo wangu kufanya uamuzi wa busara. Mdogo wangu jinsia KE amebahatika kupata admission ya kozi mbili...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Samahani wakuu, nilikua nauliza utaratibu wa mwanafunzi kujiunga na law school of Tanzania akitokea Kenya. Ni vitu gani vya muhimu anahitajika kuwa navyo. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwanza ningependa kutoa hongera zangu za dhati kwa wanafunzi ambao wamechaguliwa katika vyuo mbali mbali kujiunga na elimu ya juu hasa kwa ngazi ya degree pia ningependa kutoa pongez kwa hata pia...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wakati uleeee tukisoma, kulikuwa na Tuition moja ipo pale Mwenge nyuma ya Nakiete Phamacy (MAPAMBANO TUITION CENTRE) Nakumbuka kipindi kile wanafundisha wakina Selemani matipa, Magnus kibonde...
5 Reactions
131 Replies
25K Views
Je, mtu anaweza kudahiliwa kozi ya shahada ya Famasi kwa kupitia foundation kozi inayotolewa na Open University of Tanzania?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Necta imeifungia Shule ya wasichana Alliance ya Mwanza na sasa shule hiyo itakuwa kituo cha kufanyia mitihani tu kutokana na kasoro mbalimbali pamoja na Udanganyifu uliofanywa na shule hiyo katika...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kumekuwepo na matatizo makubwa NACTE mnapotuma matokeo ya watoto vyuoni. Mtoto hawezi kuyaona ontime pia na wazazi. Kumekuwa au kuna uwezekano mkubwa hata wa ku- manipulate/ku-temper na ufaulu wa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu naomba mbili tatu za hii kozi Soko lake kwa Tanzania Ajira zake ni zipi na wapi? Ugumu wake Je Kama kunauwezekano wa kubadilisha na kwenda kozi nyingine?
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom