Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Linapokuja suala la self education, yaani elimu binafsi ambayo huhitaji kufanya mitihani darasani au kuhudhuria darasani basi ni vyema ukathamini unachosoma kwa kununua vitabu na sio pdf. Hizi...
5 Reactions
21 Replies
4K Views
Mitaala ya shule za wazungu tangu shule za awali hadi vyuoni Kuna somo linalowafundisha wanafunzi namna ya kufikiria ( critical thinking and problems solving). Mfano, wazungu wanakwambia there...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Habari GTs wote! Awali ya yote nipende kushare na nyie utata ambao nimeshindwa kufikia mwafaka mimi binafsi. Hii ni kutoka normal life we encounter every day. Tukio lenyewe lilikuwa hivi, jana...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
  • Closed
Nimepata Taarifa za kuhuzunisha kuwa mtihani wa kidato cha sita kuvuja na kwamba maneno ya Ndlichako na Dr.Charles msonde kuibua maswali mengi Mara ya kwanza sauti ya ndalichako Akiwa mezani...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Habarini wakuu, Zaman nakumbuka ukihitimu degree basi inakubidi uwe na GPA ya 3.5 ili uwe na sifa ya kuweza kufundisha chuo, lakini sikuhizi naona wanaweka GPA ya 3.8 kwa degree,swali langu ni je...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wanajukwaa leo nimekuja na shida. Nilipotelewa na vyeti vyote vya elimu, hati ya kusafiria na cheti cha kuzaliwa. Vilipotea mwaka jana nilifanikiwa kutaarifu polisi. Nikapata kiapo cha mahakama...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari wana JF Mwezi ujao namaliza Diploma ya Procurement pale t.i.a sasa nilikua nataka nibadilishe kozi, ipi ni kozi nzuri kati ya project planning management vs community development...
1 Reactions
8 Replies
6K Views
Mtaalamu wa elimu ya awali na elimu ya watoto wadogo (early childhood education). Level yake ya elimu ni shahada kutoka chuo kikuu kinachotambulika na serikali hapa Tanzania, pia ana uwezo mkubwa...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Mpaka sasa maombi ya vyuo yaliyofunguliwa ni kwa vyo vya afya. Je, vyuo vingine apart from Afya maombi yanafunguliwa lini? Mwenye taarifa anijuze. NACTE tunaomba majibu!
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Habari wakuu poleni na majukumu nina ndugu yangu wa kike kamaliza four six sasa anawaza aendele na elimuya juu sasa utata unakuja hajui akosome nini na vyuo gani vinawez kuwa vizuri na kozi gani...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wanafunzi wakutwa na majibu ndani ya chumba cha mtihani Na Abdalla Nsabi, Maswa SAKATA la kuvuja kwa mitihani ya kidato cha pili inayoendelea kote nchini imeingaia hatua mpya baada ya baadhi...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ufanuzi wa computing field zote hapa kwa form six lever wote kama information technology,computer science,computer engenering,software engeneering na related course kwa ngaz ya bachelor degree...
1 Reactions
1 Replies
684 Views
Naitwa RUKIKO LAWRENCE tangu Jumatano nimetuma cheti changu cha kuzaliwa kihakikiwe kwa njia ya mtandao lakini mpaka sasa hakijarudi wala hakuna taarifa yoyote. Wakati ukimaliza kufanya...
1 Reactions
21 Replies
8K Views
Habari, Naomba msaada kidogo wanajukwaa, Nilikuwa na tatizo kwenye cheti cha kuzaliwa na nimefanikiwa kupata deed poll tayari. Je, natakiwa niipeleke Rita kuhakikiwa? au naituma heslb moja kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina dogo hapa amemaliza 4m4 mwaka Jana na kupata division 4 ya point 26 Matokeo yake ni kama ifwatavyo History C Kiswahili C ENGLISH C CIVICS D BIOS D GEO D MATH F Je naweza mpeleka chuo gani...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Mfumo wetu wa elimu umekuwa sio rafiki kwa muda mrefu haubadiliki miaka nenda rudi. Kuna mabadiko ya kitekinolojia katika mifumo ya baadhi ya vitu kwa mfano magari ya zamani na ya sasa, Simu za...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Mimi pia ni mnufaika wa mkopo wa Elimu ya juu unaotolewa na serikali.Nimeona kumekuwa na minong'ono mingi na kuna kipande cha video kikitembea kikionesha baadhi ya wanafunzi wakiandamana kuhusu...
6 Reactions
41 Replies
6K Views
habari members! Jamani natafta chuo kizuri kinachotoa mafunzo ya udereva kwa hapa dar tofauti na VETA. Thanks in Advance
0 Reactions
4 Replies
3K Views
JAMANI WANAJAMII FORUM, MSAADA WENU NAOMBA NDUGU ZANGU, NIMEFANYA UHAKIKI WA CHETI CHA KUZALIWA RITA LEO NI SIKU YA KUMI NA TATU SIJAPATA MAJIBU NA KWENYE SYSTEM YAO HAIONESHI IPTION YA KUVIEW...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hi for every one and I wish God is able for every one my name is mr Derrick Deo have a problem concern about education issue come there to search a sponsor you help me to pair tuition fee for...
0 Reactions
0 Replies
516 Views
Back
Top Bottom