Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari zenu wakuu naomba kufaham vzur kuhus hii kozi mtu akisoma baada ya kumaliza utakuwa Mwalimu? Au . Mwenye kufahamu naomba kuelewa hili, hii kozi ipo Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana jamii Shule za private hasa za msingi sijui kama zinatizamwa kwa ukaribu na wizara ya Elimu. Mama ndalichako tafadhali unda kikosi kazi zichunguzwe hizi shule. Kuna mikataba ya ajabu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa wanasaikolojia na wengine wote ambao mnapenda kudadisi mambo. Kwa kawaida ili mtu aweze kufikiria, lazima tumie lugha, na lazima iwe ni lugha anayoijua, kwa sababu kwa maana nyingine...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu waungwana Naomba kuuliza huu utaratibu wa kila mwanafunzi kutoa elfu kumi (10000/-) kila mwezi upo Serikalini au Mipango ya Walimu tu maana hapa Mafia shule zote hasa Secondary...
1 Reactions
1 Replies
654 Views
You are a product manager of a confectionery company that includes small plastic toys with its chocolate sweets. Having met a potential Ugandan manufacturer of these toys at a trade fair in Dar es...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari ya uzima wana bodi Nimeandika ujumbe huu kufikisha kilio cha wanafunzi wa vyuo vikuu wanufaika wa mikopo kutoka bodi ya mikopo. Sisi Kama wanafunzi wanufaika wa mikopo tumesikitishwa Sana...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina mdogo wangu naona ananichanganya, yeye kasoma Diploma ya Telecom DIT lakini kwa sasa hataki kufanya shahada ya hiyo Telecom anasema anataka akasome shahada ya Industrial Engineering...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
wakuu salaam kwenu. Naomba kujua kama kuna chuo cho chote hapa Tz, kinachotoa kozi ya brewing .
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu Naomba kujua utofauti kati ya IT(information technology) na computer science Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
73 Replies
16K Views
As the title mentioned above, I am grateful inviting you to share your experience, techniques, and common questions mostly asked on how to defend a dissertation.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu, Hivi inawezekana anayetaka kusoma DIPLOMA akaomba Mkopo au ni kwajili ya wanaosoma degree tu? Naomba kuwasilisha
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF mimi matokeo yangu ya Form Four nina: Phy - D Chem - B Bios - C Math - D Engl - C Je, ninaweza kupata katika vyuo hivi kutikana na ushindani uliopo? KCMC - Optimetric Mbeya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za asubuh wakuu. Nimeamua kuunda group la whatsap kwa ajili ya kuwasaidia wale wote wanaotarajia kujiunga na vyuo mbali mbali mara hii kwa diploma na degree na pia wanaotaka kuomba mkopo...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wana JF? Kwa vijana wanaotaka kusoma kozi za uhandisi na hawajui wapi pa kuanzia tafadhali usisite kuuliza swali hapa ili uweze kujuishwa unachotaka kujua!! Nitatoa maelezo kuhusu kozi...
1 Reactions
108 Replies
31K Views
Gharama za udaktari Kwa Tanzania Kwa miaka mitano ni shilingi ngapi?
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Umemaliza kidato cha 4 na kuchaguliwa chuo kwa kupata Division 3; sasa kozi walikupeleka ni Record and Archives Management; ni bora kwenda private wakuu au bora ukisoma hiyo kozi. Msaada wakuu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Heshima Mbele wadau Kuna bwana mdogo kachemsha pepa najaribu kuona namna ya kumsaidia. Naomba kuulizia kituo cha maandalizi/tuition center kizuri kwa maandalizi kilichopo maeneo ya Goba au Mbezi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
ORODHA YA MAJINA WANAOTAKIWA KUSAHIHISHA MAOMBI YA MIKOPO 2019/2020 HESLB imetoa orodha ya waombaji mikopo kwa mwaka wa masomo 2019/2020 ambao fomu zao zina upungufu ili wafanye marekebisho kwa...
1 Reactions
42 Replies
9K Views
Wakuu habari ya usiku huu. Kama kichwa kinavyojieleza, mimi ni kati ya wanafunzi walio hitimu kidato cha sita 2008 shule ya sekondary Makongo. Nimekua nikiyatafuta matokeo hayabkwa muda mrefu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa anayejua ada za vyuo vya ualimu wa Secondary kwenye vyuo vya serikali ngazi ya diploma anisaidiae. Tafadhali karibuni
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom