Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu kwa anaeifahamu agronomy au ameshaisoma ninaomba ufafanuzi kidogo, na vip kuhusu soko lake la ajira??
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari za muda Wana jukwaa, Mimi ni mwanafuzii nilie hitimu kidato Cha sita mwaka Jana lkn wakati wa udahili nikipata chuo kikuu Cha Ardhii University lakini mm ndoto zangu n kwenda kusoma nje ya...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Naombeni ushauri, je ni nchi gani itanifaa kwenda kusoma journalism kati ya North Korea, South Korea, Holland, Canada, France, New Zealand? I want where it is possible to study while working...
0 Reactions
1 Replies
826 Views
Wasomi wa zamani naomba msaada wa namna ya kuipata Novel inayokwenda kwa jina la "NEW LIFE IN KEREFASO"
0 Reactions
0 Replies
759 Views
Kuanzia miaka ya 2000 kurudi nyuma Tanzania ni moja ya nchi zilizokabiliwa na upungufu mkubwa wa walimu katika ngazi zote za elimu kuanzia msingi mpaka Chuo kikuu. Wakati wa awamu ya nne Serikali...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
nahtaj msaada wenu wa coz na zenye dili kwa sasa kwa tuliofaulu HGE o EGM.
0 Reactions
28 Replies
14K Views
Kufuatia tamko la Serikali juu ya kufunguliwa kwa vyuo na vyuo vikuu vyote nchini pamoja na wanafunzi wa kidato cha sita hapo Tarehe 1 Juni 2020, Mtandao wa Wanafunzi Tanzania – TSNP unapenda...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana JFM, nashukuruni sana kwa mchango wengu wa mawazo na ushauri kwa thread iliyopita. Kiukweli mmenisaidia sana. Leo nimerudi kwenu ninaomba kujua ni lini hawa nacte watafungua dirisha...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
1 Reactions
1 Replies
445 Views
Mimi ni muandishi na nimeandika jumla ya vitabu 12 vya taaluma kama ifuatavyo: -Historical times form 5(245pages) -Historical times form 6(289pages) -History paper two revison Q&A(230pages)...
0 Reactions
1 Replies
723 Views
Wadau heshima kwenu, Nawapongeza kwa jitihada zenu za kujikinga na COVID-19. Hello ndugu natakiwa kutengeneza bajeti kwa ajili ya Master degree proposal. So kwenye template ya hii kitu anisaidie...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa poleni na majukumu Nina kijana wangu anataka kusomea udaktari lakini anataka akimaliza 4m4 aende chuo, sasa ni njia zipi atapitia?
0 Reactions
35 Replies
7K Views
Mwanafunzi wa Sekondary Kuanzia Form 1-Form 4 weka swali linalokutatiza then usaidiwe na walimu waliopo humu na wenye uelewa na mada husika. **karibuni Msiogope**
0 Reactions
3 Replies
977 Views
"Mitihani ya kidato cha sita itaanza rasmi tarehe 29 Juni na itafanyika hadi tarehe 16 Julai 2020, mitihani hiyo ya kidato cha sita itaenda sambamba na mitihani ya ualimu"-Joyce Ndalichako -...
9 Reactions
119 Replies
13K Views
Yaani Watoto wamekaa karibia Miezi Mitatu bila Masomo, huku wengi Wao wakiwa tayari wameshaathirika Kisaikolojia kulingana na Hofu iliyokuwepo na bila shaka wengine hata Topiki zao hawakumaliza...
5 Reactions
25 Replies
3K Views
Ugandan students at Makerere University have produced their first set of electric buses. Africa Facts Zone on Twitter Je hawa wanafunzi wa vyuo vyetu wanatengeneza nini?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba sana kura yako, Mimi naweza kuwa Rais Bora kabisa wa Chama cha Walimu Nina SHAHADA ya Uzamili katika Elimu toka Udsm 2017 Pia nina degree na Cheti cha Ualimu nilichosomea Ilonga ttc 2003...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kipindi nimeanza chuo nilikuwa na hulka ya kusoma hivyo nikajikuta nasoma sana nakufahuru vizuri cheti changu kina A na B tu sap nilikuwa naisikia tu lakini huo mwaka nilikuwa na matizo makubwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu karibuni kwa ajili ya maswali na msaada kwa watahiniwa wa kidato Cha nne na sita , hii ni kwa wale wote wanaojiandaa na kuomba vyuo katika course mbalimbali za arts na sayansi...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Helow guyz naomba wajuzi mnisaidie, nimemaliza Diploma ya Mechanical Engineering nikiwa na GPA 2.9. Naweza kujiendeleza kwa ngazi ya Bachelor kwa ufaulu huo?
0 Reactions
32 Replies
9K Views
Back
Top Bottom