Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari wana JF, Mimi ni mwanachuo wa diploma mwaka wa pili nilikuwa naulizia kwa wazoefu kuwa naweza kupata scholarship ya kusoma nje ya nchi kusomea bachelor degree na kama ni ndio, vigezo vyake...
2 Reactions
7 Replies
595 Views
Wadau,, nimeambia kunavyo vya ufundi Donbosco Dodoma na chuo cha Abc Arusha.Nwuliza je kunawatu wamesoma hivi vyuo? Na je elimu yao ikoje ukilinganisha na kusoma VETA. Asante
0 Reactions
3 Replies
353 Views
Habari WanaJF. Nahitaji kwenda kusoma master kati ya econimics au statistics, nimeangalia prospector za vyuo mbalimbali nikakutana vyuo kama UDSM wanatoa MASTERS OF APPLIED ECONOMICS NA MASTER OF...
1 Reactions
15 Replies
734 Views
👉One of the biggest concerns people have during interviews is the fear of being unfairly judged by the interviewer based on attitude and perception. Today, I will share how your marks are...
0 Reactions
0 Replies
672 Views
Habarini za WAkati huu wakuu wangu Kuna Shule inaitwa GRAIYAKI SECONDARY SCHOOL IPO MUGUMU _SERENGETI MKOA wa MARA ni moja kati ya Shule nzuri sana kwa Olevel na primary ingia NECTA angalia...
1 Reactions
7 Replies
917 Views
Tulianza wanafunzi 20 katika fani ya electrical power engineering,mpaka hvi ninavoandika hii thread tunao endelea na masomo yan 3rd year tumebaki 6,kati ya hao 6,kuna wasichana wawili ambao nao...
5 Reactions
114 Replies
30K Views
Naombeni ushauri chuo gani kizuri kwa kozi ya ICT kati ya vyuo hivyo hapo kwa level ya degree!. Chuo kizuri kwa kozi ya ict kati ya must, arusha tech na ardhi
1 Reactions
7 Replies
545 Views
Habari, Dogo kamaliza form six PCB ufaulu wake ni Phy-E, Chem-D na Bios-C, je, anaweza kusoma afya kwa vyuo vya serikali au binafsi? Binafsi anapenda Udaktari au Ufamasia, ushauri afanyaje...
9 Reactions
90 Replies
3K Views
Kutoka UDSM wahitimu wa mahafari 51 duru ya Pili wamefanyika Milimani City kama ilivyo ada. DVP-Academic amewatangaza Wanawake 3 ambao eamepata ufaulu mkubwa zaidi huku kinara wao akipiga GPA ya...
12 Reactions
86 Replies
4K Views
Hello, Jina Langu Mr Documentor, Founder and Owner of Mr Documentor Academic Hub. Nitumie Furse hii ya uhai kuwakaribisha wanafunzi wote Tanzania hii na Nje ya Tanzania Ambao wanatarajia kufanya...
1 Reactions
1 Replies
318 Views
Madam Opiyo bingwa wa Chemistry aliyefanya kazi Thaqaafa secondary school zaidi ya miaka 28 ameacha kazi. Wakurugenzi wa shule za Mwanza na mikoa Jirani huu ni muda sahihi wa kunasa sahihi ya...
0 Reactions
9 Replies
791 Views
Yule mwalimu bingwa wa chemistry madam Opiyo aliyefanya kazi miaka 28 Thaqaafa secondary na kuwapa maendeleo makubwa hatimaye ameacha kazi Thaqaafa secondary. Wakurugenzi wa shule za Mwanza...
2 Reactions
3 Replies
413 Views
Kuna mtoto wangu anaomba akasome mambo ya banking au kodi. kati ya TRA academy na BOT academy, wapi bora unafikiri aende? which one is better than the other. asante.
3 Reactions
8 Replies
509 Views
Anonymous
Takriban wahitimu 20 wa chuo kikuu Cha Dodoma (UDOM) kitivo Cha Elimu tuliohitimu mwaka wa masomo 2019-2020 hatujapatiwa vyeti vya kuhitimu Tumefatilia wanasema changamoto ni matokeo ya mwaka wa...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu habari Naomba kuuliza, Kuna hii kozi inaitwa Geographical information systems ( GIS) and remote sensing .. Naomba kupewa details zaidi kuhusu hii kozi, Kama nitakuwa interested...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Nitashukuru zaidi kama utaniambia na Bei ya hiyo kozi na muda wake hadi kozi kuisha. Natanguliza shukrani
1 Reactions
5 Replies
413 Views
Kama umesoma PCB hivi ukichukua bachelor of commerce in accounting ambayo ipo udsm pia o level alipata C ya math na Advance alipata B ya Bam hii course ni nzuri kwake
4 Reactions
5 Replies
255 Views
Shule zote za mjini na vijijini, serikali na binafsi, zenye walimu na zisizo walimu, zenye vifaa vya kufundishia na zisizokuwa na vifaa vya kufundishia zoote zinatungiwa mtihani mmoja wa taifa...
2 Reactions
9 Replies
297 Views
Jamani Kuna mdogo wangu kapata degree ya Medical Doctor Kairuki na pia diploma in radiology Muhumbili. Anauliza yeye kama yeye achague wapi coz anahisi sasa MD haina deal tena kwa siku hizi.
1 Reactions
17 Replies
441 Views
Nimechaguliwa DIT kusoma computer Ingineering naomba kujua fursa Zake katika kujiajiri kuajiriwa pia! Niongozeni wakuu.
4 Reactions
14 Replies
562 Views
Back
Top Bottom