Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari za muda huu tena wakuu. Naomba msaada na ufafanuzi juu ya Kozi hii inahusika na mambo Gani? BACHELOR OF SCIENCE IN BIOTECHNOLOGY AND BIOINFORMATICS Natanguliza Shukrani
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Hivi hii course ya Molecular biology and biotechnology inalipa hapa Tanzania au ni Kuhangaika mwanzo mwisho afu ningependa kujua unaweza ajiriwa mahali gani? Na ingekua vizuri mngeniambia mshahara...
0 Reactions
26 Replies
12K Views
Habari, kama kichwa cha habari. Msaada wa shule nzuri kwa mtoto wa kike boarding O level. Nataman sana za kikatoliki kwa anaejua. Pia na connection naomba tafadhali. Asante.
1 Reactions
7 Replies
760 Views
Habari wakuu Ninaomba ushauri Kwa mdogo wangu asome kozi ipi Kwa ngazi ya degree kati ya famasi na radiology,na ipi Ina nafasi nzuri Katika kujiajiri mwenyewe hata ukikosa nafasi ya ajira...
2 Reactions
11 Replies
657 Views
Naomba kujua vylyuo vinavyotoa Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) na ada zao.
2 Reactions
6 Replies
627 Views
Wadau nimesom diploma ya pharmacy now niko chemistry degree najiuliza nikiajiriwa kwa diploma hii degree kada nitabadilishaje? Mshahara utapandaje ushauri please.
3 Reactions
3 Replies
368 Views
Nimeon tangazo la short course ya industrial pharmacy je hapa tz inasoko?
1 Reactions
2 Replies
194 Views
Za jioni wadau Naomba msaada wenu mimi nina diploma ya pharmacy nimemaliza mwaka jana nikataka kuendelea mwaka huu lakini nilikosa awamu zota tatu. Likaja dirisha la huruma la awamu ya nne...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani naomba msaada kati ya bachelor of accounting with IT na bachelor in IT
4 Reactions
13 Replies
455 Views
Nikiwa mwanafunzi wa shahada ya juu katika chuo flani cha kilimo hapa nchini, nilipata nafasi ya pekee ya kuhudhuria kozi fupi (short course) usawa wa siku 14 ivi nchini Israeli. Katika safari...
4 Reactions
6 Replies
407 Views
Shule ya Msingi Mpigamiti iliyoko Liwale mkoani Lindi iongeze ufaulu ni mbovu shida nini? Ona matokeo https://onlinesys.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0804024.htm
2 Reactions
17 Replies
424 Views
Habari zenu wakuu, Naitwa Jason kwa sasa nasoma Chuo Cha uhasibu Arusha (IAA), kozi ni Bachelor Degree in Computer Science naingia sasa mwaka wa pili lakini nina dukuduku nyumbani wanasema hii...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Mfumo wa NACTVET kushindwa kutoa AWARD VERIFICATION NUMBER. USERNAME na PASSWORD walionitumia baada ya ku create account hazikubali ku log in na hata nikifanya FORGOT PASSWORD bado mfumo unanipa...
1 Reactions
5 Replies
785 Views
Jinsi ya ku re-apply chuo cha Muhimbili, maana kwenye akaunti yangu niliyoombea sioni sehemu ya ku re-apply.
1 Reactions
11 Replies
357 Views
Nimelaliza kidato cha sita 2024 nimesoma special diploma na nimesomea kombi ya PCE Yan physics, chemistry na Education na nimepata div 1 ya 6. Physics B, chemistry A na education C. Je kwa...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Wadau natafuta chuo Marekani ambacho hawahitaji test ya IELTS au TEOFL. Dogo kasoma bongo huo mtihani unasumbua ila ada ipo na application fee ipo. Wasalaam!
1 Reactions
6 Replies
300 Views
Wakuu, nipo huku Mtwara ndani ndani,natamani kujiendeleza kielimu ngazi ya degree kwa kozi za Afya. Naomba mnielekeze chuo kizuri cha nje ya nchi ambacho kinatoa elimu kwa njia ya masafa na...
5 Reactions
29 Replies
1K Views
Habari wakuu! Kwa wanotaka kuanza kusoma na waliosoma CPA karibuni mtushauri lolote, kwanza kabisa nahitaji kufahamu, 1) Intake ni mara ngapi kwa mwaka, yaani unaweza anza mwezi gani? Now...
29 Reactions
622 Replies
75K Views
Naomba msaada, Nimechaguliwa multiple selection ila napo confirm naambiwa kwa kutumia code niliyotumiwa na TCU naambiwa invalid confirmation code
0 Reactions
2 Replies
159 Views
Wadau nna kijana wangu amemaliza kidato cha nne mwaka huu kapata division one anataka kusoma combination ya EGM nimekuja kwenye jukwaa hili kuomba kujuzwa shule ipi ya serkali ya wasichana ni...
0 Reactions
2 Replies
994 Views
Back
Top Bottom